kwetukubaya
Senior Member
- Jun 25, 2022
- 108
- 211
halafu unataka uajiriwe kwenye Serikali yake kutwa kwenda DODOMA kwenye sahili za Sekretarieti ya Ajira [emoji1787][emoji1787]Kwani walinzi wa samia ndio hao wawili tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu unataka uajiriwe kwenye Serikali yake kutwa kwenda DODOMA kwenye sahili za Sekretarieti ya Ajira [emoji1787][emoji1787]Kwani walinzi wa samia ndio hao wawili tu?
Hata Majaliwa wala wale wavuvi ziwani hawakuwa na ujuzi wala mafunzo ya uokozi ila si ulisikia walisaidia kuokoa wangapi?Aweso ana ujuzi na mafunzo ya kuwalinda VIP au kutoa huduma ya kwanza.
Ana reflex ya kutosha ku-react kwa usahihi ikitokea tukio la kumdhuru VIP?
Mpuuzi kweli, mama/baba/mumeo ako hajawahi kuchungulia hivi?Picha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.
View attachment 2423413
Anamuonea huruma Samia na wakati mumeo kila siku anachungulia kwenye mashimo na hamuoni huruma? shame on himKwamba yeye hawezi kujizuia hapo mpk walinzi wawepo,!! Acha zako, labda umri ungekuwa umemtupa sana kama the late Mugabe
Huyo ni rais wa nchi yenye amani duniani sidhani kama anahitaji ulinzi kama wa KagameView attachment 2423416
Sio uongo kuongoza nchi kama Tanzagiza si kazi ndogoPengine hata anatamani atumbukie.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Pengine hata anatamani atumbukie.
Wangeeka cage ya nondo! Kwani walikua hawajui atakaefika hapo ni nani!?Openi your eyes, sio ulinzi wa kushambuliwa ni ulinzi wa kuweza kukatika kamba na akatumbukia shimoni
Wangeeka cage ya nondo! Kwani walikua hawajui atakaefika hapo ni nani!?
Mumeo huwa anachungulia snBi kidawa mbona unapayuka hovyo? Mumeo kakuacha tena?
Mie ninachokiona hapo uhatari wa usalama wake kuwa juu kwenye tank huko mtu akikaa umbali wa 2km si anamdungua tuPicha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.
View attachment 2423413
Hiyo kazi anaiweza sn mumeo ndiyo maana mpaka hapo Riverside unapajua na kwa ujinga wako unadhani kila mtu anaishi DarFanya uwahi riverside upeleke tigo yako ikwanguliwe na wateja wako
Walinzi wako sawa, wacha mola afanye yakePicha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.
View attachment 2423413
Ahahahhahaahah yaani nyie hapana aiseeBashiru Ali na chawa wa jiwe wanatamani wamsukumie humo
Hapo pashakuwa calculated ndugu yangu. TISS washafanya kazi yao siku nyingi wameconclude pako salama ndio maana wamemwacha abembeePicha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.
View attachment 2423413