Krav Maaga ya Israel? Achana na hiyo kitu.Nina knowledge ya baadhi ya sanaa za mapigano. Mtu mwenye kitambi kama wa kwenye hizo picha atakua na faida kama atakua anafanya jiu jitsu lakini ataweza kutamba akikutana na mtu anayefanya krav maga?
Vipi kama akikutana gurkha?
Sijui jeshi letu limespecialize kwenye staili gani ila zamani niliambiwa polisi wanafanya judo wanajeshi kara te.
Hawa waliochaguliwa miongoni mwa walio bora miili yao inawasaliti, labda kama wanavaa bullet proof vest tatu tatu.
Usijaribu kucheza nao watakuumizaHivyo vitambi vyao ni vikubwa sana, kama mtu uko vyema kwenye Martial Arts unaweza ukapanga nao mkono.
Kaka Unanijua? Mpaka sasa nimeshapiga shotokan, boxing, judo na sasa hivi namalizia Muay Thai. Kama napanga nao private hamna wa kuniweka chini hapo.Usijaribu kucheza nao watakuumiza
Ila unawajua vizuri au imekuwa kawaida yetu kutazama tusiowajua na kujilinganisha nao eti tunaweza kuspare nao? You can practice a varieties of martial arts, but remember a street fight is formless, hao jamaa nakuhakikishia usidiriki Ku spare nao, wako vzr pia wengine ni makomandoo idara ya usalama, refer yule jamaa black anaekaaga karibu na mpambe wa raisKaka Unanijua? Mpaka sasa nimeshapiga shotokan, boxing, judo na sasa hivi namalizia Muay Thai. Kama napanga nao private hamna wa kuniweka chini hapo.
Ndo maana nikakuuliza kuwa unanijua? Ngoja niishie hapo. Kitu pekee hapo kilichowaweka majamaa ni mambo ya inteligenc tu. Lakini sio ktk mapigano ya kimwili hasa, ni kweli wapo vyema hata ktk hand to hand combat lakini sio wakali kihivyo, na nikwambie tu kuwa hamna Komando hapo.Ila unawajua vizuri au imekuwa kawaida yetu kutazama tusiowajua na kujilinganisha nao eti tunaweza kuspare nao? You can practice a varieties of martial arts, but remember a street fight is formless, hao jamaa nakuhakikishia usidiriki Ku spare nao, wako vzr pia wengine ni makomandoo idara ya usalama, refer yule jamaa black anaekaaga karibu na mpambe wa rais
Usijaribu kucheza nao watakuumiza
Kaka Unanijua? Mpaka sasa nimeshapiga shotokan, boxing, judo na sasa hivi namalizia Muay Thai. Kama napanga nao private hamna wa kuniweka chini hapo.
Ila unawajua vizuri au imekuwa kawaida yetu kutazama tusiowajua na kujilinganisha nao eti tunaweza kuspare nao? You can practice a varieties of martial arts, but remember a street fight is formless, hao jamaa nakuhakikishia usidiriki Ku spare nao, wako vzr pia wengine ni makomandoo idara ya usalama, refer yule jamaa black anaekaaga karibu na mpambe wa rais
Ukitaka kujua fitness yao nenda kawaingilie maeneo yao alafu uje hapa uanzishe thread nyingine yakutoa ushuhuda..."endapo utafanikiwa kuchomoka salama"
[emoji28] ila ni kweli mkuu umenenaHapa tutakudanganya mkuu kama vp jaribu fitness yao ndiyo tuanze mjadala.
Mambo yakwenye kideo au sio?Mlinzi wa rais lazma awe multipurpose just in case,ebu tafuta hata zile movie kama oympus has fallen,au white house down uone hekaheka za walinzi wa rais zinavyokuwa haraf ujiongeze kama Kwa vitambi vile vya walinzi wetu wanaweza hata robo
Tatizo hujui majukumu ya hiyo taasisi ya TISS, ina mambo mengi kumlinda rais is an integrated task, hapo kuna wanausalama directly kutoka kwenye idara pia kuna maasikari wa medani kutoka jeshini ambao ni wanausalama pia, wapo kwa ajili ya Ku intercept na Ku neutralize fujo na matishio yoyote kwa rais!!Ndo maana nikakuuliza kuwa unanijua? Ngoja niishie hapo. Kitu pekee hapo kilichowaweka majamaa ni mambo ya inteligenc tu. Lakini sio ktk mapigano ya kimwili hasa, ni kweli wapo vyema hata ktk hand to hand combat lakini sio wakali kihivyo, na nikwambie tu kuwa hamna Komando hapo.
Kazi ya Bodgad Mkuu hapo ni kumfica rais tu, wengine ndo wana kazi ya kupambana either kwa silaha au kwa mikono. Tanzania tasinidanganye kwamba eti tupo best sehemu kama hizi kwa zama hizi, labda ile TISS ya Mwalimu.
Ulitaka huyo mama apigwe kabisa na wanausalama? Hapo aliondolewa kwa njia ya kawaida tuHuyu mama wa mirathi amejaribu fitness yao na mimi imenipa wasiwasi; je huyo mama angekuwa na nia mbaya na ana mafunzo ingekuwaje hapo?
Yule bi dada yupo na Mama Samia now dayHuyu mmoja juzi alizidiwa nguvu na m'mama hakuna walinzi pale kuna picha ya walinzi. Yule bi dada alikuwa anaonekana makini sana sijui yupo wapi siku hizi
HahahahaPicha ya kwanza hapo kiston,cheki huyo jamaa alivyosimama stance.Hio inaitwa gusa unate,utapigwa kata funua uishie kua chizi bureee.
jaribu siku moja kwenda kwny mkutano wa hadhara anaohutubia Mh Rais kisha ufanye tukio LA hovyo ndo utapata uhakika na hoja yako...ngoma huwa inanoga kama ukipata fursa ya kuicheza.....Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine
Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa Marais wengine ni wa kikakamavu sana ukilinganisha na walinzi wa Marais wetu hapa tanzania ambao ni watu wazima hv wenye vitambi vyao ambao wananipa shaka kama wanaweza kukurukakara za kukabiliana na mtu mkakamavu au mbio za kukimbizana na mhalifu anayetoroka,nimejaribu kuweka picha za walinzi wa Marais mbalimbali na hawa wa kwetu mjinee.
Karibuni wadau mchangie mnauonaje monekano wa walinzi wetu wa rais na kama unakidhi mahitaji ya unyeti wa kazi yao.