Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Wewe fuatilia wapiga somersault kama wote ni vimbaombao, mazoez hayaonekani kwa mwil
 
Mawazo tu...
Wote wanamafunzo maalum na wote wako vizuri.....

Nifikiriavyo mimi ao Wapuni wanaweza pambana Zaidi ya SAA bila kukata pumzi.....
 
Toka lini walinzi wa Rais wakakimbizana na wahalifu?

Kumlinda Rais kunahitaji ukakamavu wa misuli?

Kumlinda Rais kunahitaji akili na Intellijensia ya hali ya juu basi. Hivyo vingine ni mbwe mbwe tu.
 
Toka lini walinzi wa Rais wakakimbizana na wahalifu?

Kumlinda Rais kunahitaji ukakamavu wa misuli?

Kumlinda Rais kunahitaji akili na Intellijensia ya hali ya juu basi. Hivyo vingine ni mbwe mbwe tu.
Mlinzi wa rais lazma awe multipurpose just in case,ebu tafuta hata zile movie kama oympus has fallen,au white house down uone hekaheka za walinzi wa rais zinavyokuwa haraf ujiongeze kama Kwa vitambi vile vya walinzi wetu wanaweza hata robo
 
walinzi wa kiongozi wako wengi. uwaonao hapo ni sehemu tu..kila mmoja anajukumu lake la kila siku.kitambi sio shida maana inategemea aina ya mafunzo ya kujilinda aliyopata
 
Mkuu sijakuelewa, kwa kumuangalia mtu utajuaje kama yuko fit au la, mavazi, ? maumbile ? pia tofautisha picha uliyoiweka hapo ambapo ni mazingira ya chato, muonekano wa hao jamaa sivyo kama wanavyoonekana wakiwa kwenye shughuli za kitaifa mf uwanja wa taifa au hata kiongozi anapokuwa nje ya nchi, kwa ufupi tu ukitaka kujua kama wapo fiti au la, jaribu lolote mbele ya mheshimiwa
 
Kila mtu pale anakazi yake,kuna wa karibu,kuna wa mbele,nyuma na kila upande. Na wengi ni secret.Kumbe bila shaka wewe unaona aliekaribu unahukumu. Ngoma nzito hiyo mzee jaribu uone.
 
Mambo ya ulinzi wa Rais yana usiri mkubwa sana. Tuyaache yalivyo.
 
Wamasai tena wametoka wap Acha ubwege wewe jadili mada husika bac wapelekee mkewo kama unaona ngombe wanafaidi
 
Walinzi wa mtukufu dah kuna yule mmoja sijui huwa ni mnubi ama msudani wa kusini na kati yule ukimuona hapepesi macho yuko ndindi tii kama kifuu cha mkaa. bwana four eyes ukitaka kujua fitness yao jaribu kuchokoa hadhara ya mtukufu. hapa tutaleteana story za kwenye movie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…