Walinzi walivyoitikia tukio la kupigwa risasi Rais Ronald Reagan wa Marekani, linganisha na tukio la Trump

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Rais wa 40 wa Marekani Ronald Reagan naye aliwahi kushambuliwa na risasi mwaka 1981, angalia secret service wake walivyo react halafu ulinganishe na hawa wa Trump waliokuwa wanaambiwa na Trump wasubiri apige picha na wao kweli wakamwachia awe exposed kichwani kupata picha tu!

Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Reagan alikuwa Sitting president - the most powerful man..well more protected, more valued, namna alivyojeruhiwa na namna mfayatuaji alivyomimina...

Trump, ex president, no no longer valuable kama angekuwa yupo madarakani, risasi haikumpata vizuri - unafikiri jamaa angepiga jicho au angemfumua kichwa Trump angekuwa na nguvu za kunyanyua hata huo mkono..kikubwa na zaidi yupo kwenye kampaign za urais lazima atengeneze mazingira ya kutumia tukio kwa faida yake
 
Sio sawa kulinganisha matukio mawili yanayotofautiana mazingira.

Ulinzi wa Rais aliyeko madarakani na mgombea urais hauko sawa.

Pili, mmoja yupo kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi na mwingine alikua anatembea.

Enzi zimebadilika, ikijumuisha namna ya kuendesha zoezi la usalama zimebadilika pia.
 
Chodaachodaa kwañI huo ulinganifu mbona tukio moja unapotosha kwa manufaa ya nani1😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…