Walinzi walivyoitikia tukio la kupigwa risasi Rais Ronald Reagan wa Marekani, linganisha na tukio la Trump

Walinzi walivyoitikia tukio la kupigwa risasi Rais Ronald Reagan wa Marekani, linganisha na tukio la Trump

Wale walinzi walikuwa slow sana kwenye kureact alafu sijaona kama walikuwa na kitu chochote cha kumguard jamaa zaidi ya kuweka miili yao kama ngao.

Wamekuwa kama bongo movies bwana.
Ukisikia ngamia kupenya tundu la sindano ndio kama hivyo! Risasi imetoboa sikio kutokea mbele ikapitiliza nyuma kwenda kuua mtu mwingine huko! Hatari sana.
 
Nafuatilia investigation journalist wanavyofukunyua hilo tukio naona siyo mbali watasema.

Binafsi nasimama na kauli mbiu yangu ya sisemi hadi muda upite, tukio litajisema lenyewe.
 
Reagan alikuwa Sitting president - the most powerful man..well more protected, more valued, namna alivyojeruhiwa na namna mfayatuaji alivyomimina...

Trump, ex president, no no longer valuable kama angekuwa yupo madarakani, risasi haikumpata vizuri - unafikiri jamaa angepiga jicho au angemfumua kichwa Trump angekuwa na nguvu za kunyanyua hata huo mkono..kikubwa na zaidi yupo kwenye kampaign za urais lazima atengeneze mazingira ya kutumia tukio kwa faida yake
Point
 
Tafautisha rais
Rais wa 40 wa Marekani Ronald Reagan naye aliwahi kushambuliwa na risasi mwaka 1981, angalia secret service wake walivyo react halafu ulinganishe na hawa wa Trump waliokuwa wanaambiwa na Trump wasubiri apige picha na wao kweli wakamwachia awe exposed kichwani kupata picha tu!
View attachment 3042154View attachment 3042155

Rais wa 40 wa Marekani Ronald Reagan naye aliwahi kushambuliwa na risasi mwaka 1981, angalia secret service wake walivyo react halafu ulinganishe na hawa wa Trump waliokuwa wanaambiwa na Trump wasubiri apige picha na wao kweli wakamwachia awe exposed kichwani kupata picha tu!
View attachment 3042154View attachment 3042155
na mgombea uraisi. Lazima ulinzi uwe tafauti. Hapo trump alipo ni kama Mzee wa ubwabwa Hashim Rungwe. Tafauti ni kwamba huyu alishakaa ikulu akatoka Sasa anataka Tena
 
Reagan alikuwa Sitting president - the most powerful man..well more protected, more valued, namna alivyojeruhiwa na namna mfayatuaji alivyomimina...

Trump, ex president, no no longer valuable kama angekuwa yupo madarakani, risasi haikumpata vizuri - unafikiri jamaa angepiga jicho au angemfumua kichwa Trump angekuwa na nguvu za kunyanyua hata huo mkono..kikubwa na zaidi yupo kwenye kampaign za urais lazima atengeneze mazingira ya kutumia tukio kwa faida yake
Too Smart thought
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-15_013545-1.jpg
    Screenshot_2024-07-15_013545-1.jpg
    200.2 KB · Views: 2
Hao walipanga tu kutafuta kura za huruma, na sasa ndio kaharibu hazipati tena? Yani hiyo timing ya hao secret service kumuua huyo mtuhumiwa ndiyo inanishangaza, yani walikuwa na uhakika kwamba yeye ndiye aliyempiga risasi ndani ya sekunde kadhaa na wakawa wameshamuua.

Na ukiangalia sniper na spotter wake walikuwa wanajiandaa kabisa hata kabla ya tukio. haya maigizo ya holly wood au tuite bongo wood kabisa.
 
Hao walipanga tu kutafuta kura za huruma, na sasa ndio kaharibu hazipati tena? Yani hiyo timing ya hao secret service kumuua huyo mtuhumiwa ndiyo inanishangaza, yani walikuwa na uhakika kwamba yeye ndiye aliyempiga risasi ndani ya sekunde kadhaa na wakawa wameshamuua.

Na ukiangalia sniper na spotter wake walikuwa wanajiandaa kabisa hata kabla ya tukio. haya maigizo ya holly wood au tuite bongo wood kabisa.
Kwa nini isiwe kinyume chake? Kwamba hao maafisa na sniper walipanga kumuua Trump ila lengo lao halikutimia?

Hivi mtu anaweza kubetia maisha yake kiasi kile kwa lengo tu la kujiongezea umaarufu kisiasa?

Kumbuka risasi iliukosa ubongo kwa sentimeta chache tu na kuna watu walijeruhiwa na kufa!
 
Kumbe haya mambo ya awezekana kabisa hata hapa kwetu awamu ya sita.wao waendelee tu kula Mali ya umma hovyo.
 
Wale walinzi walikuwa slow sana kwenye kureact alafu sijaona kama walikuwa na kitu chochote cha kumguard jamaa zaidi ya kuweka miili yao kama ngao.
Mbona yule aliyepiga risasi naye alipigwa ndani ya sekunde ile ile? Huo u slow mnauzungumzia upi? Au yule snipper hamchukulii kama sehemu ya walinzi? Wabongo bwana!
 
Rais wa 40 wa Marekani Ronald Reagan naye aliwahi kushambuliwa na risasi mwaka 1981, angalia secret service wake walivyo react halafu ulinganishe na hawa wa Trump waliokuwa wanaambiwa na Trump wasubiri apige picha na wao kweli wakamwachia awe exposed kichwani kupata picha tu!
View attachment 3042154View attachment 3042155

WAMATUMBI MMEPATA CHA KUPIGIA STORY WEEK HIZI MBILI.
 
Kijana umenisikitisha sana hata ulinzi wa Mwinyi wakati anachabangwa Kofi ulikuwa Tofauti na wa Kikwete!

Rais Ronald Regan alikuwa madarakani hivo ulinzi wake lazima uwe mkali na analindwa kuliko chochote

Alafu Trump hata Tofauti na raia Wengine japo ana hadhi ya Rais mstaafu, hivo angefariki wala kusinge gharimu Taifa Kama ambavyo anavyo fariki Rais aliyeko Madarakani,

Chungulia Ulinzi wa Jakaya na SAMIA


Britanicca
 
Back
Top Bottom