Kijana umenisikitisha sana hata ulinzi wa Mwinyi wakati anachabangwa Kofi ulikuwa Tofauti na wa Kikwete!
Rais Ronald Regan alikuwa madarakani hivo ulinzi wake lazima uwe mkali na analindwa kuliko chochote
Alafu Trump hata Tofauti na raia Wengine japo ana hadhi ya Rais mstaafu, hivo angefariki wala kusinge gharimu Taifa Kama ambavyo anavyo fariki Rais aliyeko Madarakani,
Chungulia Ulinzi wa Jakaya na SAMIA
Britanicca