nichekie O.I.Likowa POLITICAL SCIENCE / LAW
Sometym mambo lazima yaende kwa kujuana sababu hakuna jambo lisilowezaka Tz...mi ni dume bana, niliposema kubeba, namaanisha mfano we first year utakapofka lazima upate chumba, kwa kawaida mwaka wa 2 na 3 hatupati vyumba, kinachofanyika ni kulala wawili wawili ila tunachangiana kulipa hiyo pesa ya accomodation...ni ishu ambayo imezoeleka na hakuna mtu analala peke ake mpaka kwa mademu..kuna kpindi uongozi ulitaka kumind...wanafunzi nao wakataka kulianzisha kama kawaida!! wakaogopa kwa hiyo hiyo style ya kulala tunaita"kubebana"....Maige alimbeba kikwete wakati Maige yupo first year na Vasco alikuwa 2nd year...umenisoma man!
Teh teh teh....nakumbuka na mimi "nilibebwa" na jamaa yangu main campus coz sikutaka kukaa Mabibo....chumba cha mabibo nikapiga bei..."nikabebwa" hall 2...teh teh ..Mlimani bana...ila nilitimua baada ya mwezi.....madogo mnanikumbusha mbali....
...yan nakumbuka 2008 frst yr io, hol 2 pale nilbeba m2...af nkua cmjui,wenge ilo la unjuka..2kaznguana 2nd sem! Tangu mda uo ni mishe 2 ya kustrago na rum...ad namaliza! Dah! 4 yearz za mlimani....maisha yale.!
hahahaha! Kaka sasa zamu yetu, nikishndwaaa nazama kibangu au survey tukikaa wawili au 3 inaweza kusave cost
wakubwa email na pacwrd ya mshkaji ninayo !! Sasa nimuamini nani? Ili afanye mchakato wa kuya post humu ndani??
Haiwezekani bwana kwa mwanamke kumbeba man, vitanda vidogo duduz kwa sababu ulikuwa umetoka nyumbani, ukishakuwa admitted utaona vikubwa! Ulilala block c!
mkuu mbona kimya!!!!!!!!Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!
1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12
But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7
oya nime KU PM
kama ni hivyo hapa mtaa kwetu kuna bint yupo udsm ngoja nimwambie nimbebendo mpango kaka we utakubalije kubebwa na men mwenzako !!