Walio apply udzm 2012 soma hapa

Walio apply udzm 2012 soma hapa

Sometym mambo lazima yaende kwa kujuana sababu hakuna jambo lisilowezaka Tz...mi ni dume bana, niliposema kubeba, namaanisha mfano we first year utakapofka lazima upate chumba, kwa kawaida mwaka wa 2 na 3 hatupati vyumba, kinachofanyika ni kulala wawili wawili ila tunachangiana kulipa hiyo pesa ya accomodation...ni ishu ambayo imezoeleka na hakuna mtu analala peke ake mpaka kwa mademu..kuna kpindi uongozi ulitaka kumind...wanafunzi nao wakataka kulianzisha kama kawaida!! wakaogopa kwa hiyo hiyo style ya kulala tunaita"kubebana"....Maige alimbeba kikwete wakati Maige yupo first year na Vasco alikuwa 2nd year...umenisoma man!

...yan nakumbuka 2008 frst yr io, hol 2 pale nilbeba m2...af nkua cmjui,wenge ilo la unjuka..2kaznguana 2nd sem! Tangu mda uo ni mishe 2 ya kustrago na rum...ad namaliza! Dah! 4 yearz za mlimani....maisha yale.!
 
Teh teh teh....nakumbuka na mimi "nilibebwa" na jamaa yangu main campus coz sikutaka kukaa Mabibo....chumba cha mabibo nikapiga bei..."nikabebwa" hall 2...teh teh ..Mlimani bana...ila nilitimua baada ya mwezi.....madogo mnanikumbusha mbali....

La Cosa...kaka nilimbeba 3rd year semister zote 2 ila hakuwa pasua kichwa sana, life la Mabibo naona lipo pouwa kuliko campus, ukikaa hall 2 au 1 balaa bora hall 7 ndio zuri wamelikarabati mademu wanakaa mule! Unamkumbuka yule muuza makaratasi rasta?
 
...yan nakumbuka 2008 frst yr io, hol 2 pale nilbeba m2...af nkua cmjui,wenge ilo la unjuka..2kaznguana 2nd sem! Tangu mda uo ni mishe 2 ya kustrago na rum...ad namaliza! Dah! 4 yearz za mlimani....maisha yale.!

hahahaha! Kaka sasa zamu yetu, nikishndwaaa nazama kibangu au survey tukikaa wawili au 3 inaweza kusave cost
 
hahahaha! Kaka sasa zamu yetu, nikishndwaaa nazama kibangu au survey tukikaa wawili au 3 inaweza kusave cost

vp mnaweza bebana mwanamke na mwanaume !! Afu mbna vile vitanda vya chuma ni vidogo coz nakumbuka mwaka jana nililala kwenye 1 ya block thnk D or C if nt mistaken ile ambyo iko karibu na Block ya mademu?
 
ze duduz unataka kubebwa na demu? kama vip tafuta ila usiwe na aibu
 
Haiwezekani bwana kwa mwanamke kumbeba man, vitanda vidogo duduz kwa sababu ulikuwa umetoka nyumbani, ukishakuwa admitted utaona vikubwa! Ulilala block c!
 
Haiwezekani bwana kwa mwanamke kumbeba man, vitanda vidogo duduz kwa sababu ulikuwa umetoka nyumbani, ukishakuwa admitted utaona vikubwa! Ulilala block c!

mmh kaka maisha ya pale ka uzunguni yaani wale wakina dada wanavyojiachia vile kweli kuna kuxoma kweli?? Afu kwenye discussn wakina dada wanakuja na night dress huku vile viembe dodo vinarukaruka pale kifuani hv kunakuelewa kweli?? Afu kuhusu zile nguo zao za kule nanii?? Wanavyozianika kwenye kamba Nahc huwa zinawatoa udenda wanaume !! Xaxa swali linakuja hv pale huwa amu practice kale ka mchezo kabaya?? Siku iyo niliamua kufanya research ya ukweli kuzungukazunguka kwenye magari yaliyokuwa yamepaki ?? Mamaah weee nikakuta wa2 wananyonyana ama kweli maisha ya chuo ni anasa??
 
Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!

1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12

But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7
mkuu mbona kimya!!!!!!!!
 
hamna kitu hapo,anadanganya 2 huyu ze duduz
 
Irenyi mondo ooh jf kipha kuode kindo kyoose kya maanany...(yani imebidi n2mie maza language).
 
Back
Top Bottom