Walio apply udzm 2012 soma hapa


Ile ndo Udsm, kila kitu inabidi uchukulie kawaida, watu wanafanya ufuska wote ila mwisho wa siku hudhuria seminar, test na UE, lecture watu hawaendi sometime, pale parking siku umeme ukikatika unaweza hisi upo ambiance au kimboka! Hakuna shida dogo njoo tu Udsm(peak of knowledge) Perry anapatamani sana Udsm...kama vp aje asomee hata mdegree pale!
 

ahsante sana kaka !! Umeona perry alivyo na hamu ya udzm
 
Mods futeni post zisizo kua na maana kila post ni tcu tu.
 
Ebana nimeona kaka na nimeamini wanobisha waendelee kubisha tu ila kitu kipo!

kama vp ya post hapa tuyaone sisi wenyewe tuna hamu ya kuyafahamu au kama nini check jina la Rajab S hussein, niliomba bachelor education with phychology,bachelor education in early childhood education na bachelor education in adult and continue education
 
Rajab husein wa tanga kasoma mwanga huyo ni vp mkuu!
 
Rajab husein wa tanga kasoma mwanga huyo ni vp mkuu!
afu wewe si ulisema yametoka kwenye gazet la IJUMAA sasa mbona unauliza tena majina si uende ukacheki kwenye gazet la ijumaaa????!!!!
 
afu wewe si ulisema yametoka kwenye gazet la IJUMAA sasa mbona unauliza tena majina si uende ukacheki kwenye gazet la ijumaaa????!!!!

mmh !! Si unajua tena wenge
 
Jaman jaman kwel cha udsm hata me me nmekiona mmmmmmh balaaaa 2pu.....,..
 
ungejua hata cna mzuka napo,ingekua sua au mzumbe ndo ningepashobokea bt udsm cna mzuka kivile.

oya 2ko pamoko xana hope 2takutana pale SUA !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…