Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
At least wangetafutwa wenye uelewa wa mambo kidogo basiHata alichokuwa anaelrzea alikuwa hakieleweki
Kichwa empty kabisa yule stev
Ova
HahahahWho's next? Mrisho Mpoto!
Tozo ni msiba na ndio maana wametafuta huyu mhamasishaji wa michango ya misiba.Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.....
Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha
mwijaku na babalevo tayari?...nauliza tu.Who's next? Mrisho Mpoto au Piere Liquid?
Umeiweka kitaalam sanaTozo ni msiba na ndio maana wametafuta huyu mhamasishaji wa michango ya misiba.
Atakuwa MLA tozo sioNaona keshakatiwa zake😁😆
Bila kueleza Ile Tril 1.3 zimeenda wapi hatutawaelewaKuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.....
Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha
Uongo unagharamaWao walisema utafiti unaonyesha Watanzania waliowengi wamefurahishwa na Tozo, sasa kwa nini tena wanahangaika?