Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Alichojaaliwa ni KUTOKUWA NA AIBUHata alichokuwa anaelrzea alikuwa hakieleweki
Kichwa empty kabisa yule stev
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichojaaliwa ni KUTOKUWA NA AIBUHata alichokuwa anaelrzea alikuwa hakieleweki
Kichwa empty kabisa yule stev
Ova
Haya weeee !!! Ushaharibu !!Who's next? Mrisho Mpoto au Piere Liquid?
Sio poa,dawa yao ni kiwapuuza tu.Inabidi tufikie mahali tuanze kudeal nao mitaani.ndio heshima itakuwepo.
Hapo ashaingiza posho yake Safi....uchawa unalipa ukijitoa akili.Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.....
Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha
Mwijaku tayari kuanzia juzi huko anapiga debe na boda boda.mwijaku na babalevo tayari?...nauliza tu.
Aaamen AMENMungu ibariki JF
Wanaandaa script zao wataanza fujo very soonmwijaku na babalevo tayari?...nauliza tu.
Kuna huyo hapoMarehemu Dr. Shika pia angekuwepo angepewa airtime "Tozo ya bilioni 800 itapendeza"😝
Ila hajatutendea hakiHivi huyu tukimuitia mwizi tukamchoma Moto tutakuwa na kesi so kibaka Kama vibaka wengine??
Umenena vyema sana sana! I wish kila mtu angesoma hapaNi dhambi na aibu kwa familia kwa kijana kuwa mpumbavu kiasi cha kutoka hadharani kutetea ujinga.
Ifike mahala wale tunaokutana na watu kam a hawa kuwaambia ukweli kwamba mtu huyu ni mpumbavu au wewe fulani ni mpumbavu na mjinga.
Aibu hii inakwenda mpaka kwenye familia maana mmoja wa wana familia yuko tayari kutetea upumbavu ili yeye apate hela akanywe pombe na kuhonga malaya, Mtu huyu ili aishi lazima atetea dhulma na kila aina ya ujinga, hii ni dhambi na ni aibu kubwa kwa mtu huyu, "USELESS GUY"
Vijana wote tunapaswa kwenda kwenye account kokote kule na kumshambulua kijan a huyu iwe facebook, tweeter, Insta nk, aambiwe yeye ni mpumbavu na hafai kuwa sehemu ya jamii inayojielewa, Wazazi wake wamepata aibu kubwa dhidi yake, na anachokitetea ni mateso kwa jamii yake leo na kesho.
Nitaongea na best amnyime dawa akienda kuchukua KilosaKuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.....
Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha
Anachukulia KILOSA? Duh anasingizia a aenda ShambaNitaongea na best amnyime dawa akienda kuchukua Kilosa
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu unaweza kushawishiwa kulipa tozo na Steve Nyerere? Kwamba nilipe tozo sababu Tivu Ake kasema[emoji3]
Mkuu huyo ni pimbi kabisa ...mbogamboga wao ni upigaji tu njaa kali..Hata alichokuwa anaelrzea alikuwa hakieleweki
Kichwa empty kabisa yule stev
Ova