Walioandaliwa kuipigia "debe" Tozo waanza kujitokeza, leo ni Steve "Nyenyere"

Walioandaliwa kuipigia "debe" Tozo waanza kujitokeza, leo ni Steve "Nyenyere"

Nimesikiliza kidogo sana aliyokuwa anaongea ni utumbo mtupu!
kama wamefikia kuwaleta 'watetezi' wenye upeo mdogo kama huyu basi ni hatare sana!
 
Ni dhambi na aibu kwa familia kwa kijana kuwa mpumbavu kiasi cha kutoka hadharani kutetea ujinga.

Ifike mahala wale tunaokutana na watu kam a hawa kuwaambia ukweli kwamba mtu huyu ni mpumbavu au wewe fulani ni mpumbavu na mjinga.

Aibu hii inakwenda mpaka kwenye familia maana mmoja wa wana familia yuko tayari kutetea upumbavu ili yeye apate hela akanywe pombe na kuhonga malaya, Mtu huyu ili aishi lazima atetea dhulma na kila aina ya ujinga, hii ni dhambi na ni aibu kubwa kwa mtu huyu, "USELESS GUY"

Vijana wote tunapaswa kwenda kwenye account kokote kule na kumshambulua kijan a huyu iwe facebook, tweeter, Insta nk, aambiwe yeye ni mpumbavu na hafai kuwa sehemu ya jamii inayojielewa, Wazazi wake wamepata aibu kubwa dhidi yake, na anachokitetea ni mateso kwa jamii yake leo na kesho.
Ukimwona hata ongea yake unagundua mara moja kuwa kichwani kuna shida!
 
Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
Kinachonishangaza ni vyombo vya habari kumpa coverage kubwa mtu asiye na uelewa wala hadhi!

Hivi kweli Steve ni mtu wa kumnukuu unapojenga hoja!
 
Huyu si ndo wasanii wenzake humiata dalali, ni wa kupuuzwa, yani ni haibu Taifa la watu wenye akili eti uyu au wa ina yake kuwasemea watanzania, tupa kule Hawana effect yoyote, Mandoga aliechangamka kwenye maisha ya watu, maana mandonga Halisi yupo KWa maisha yake na familia yake
Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
Y
 
Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
Serikali imemtuma Steve kuwafokea Watanzania.

Kama msomi tena meneja wa TRL alitoa maoni kuhusu tozo, maana yake ni kwamba huyu swala anayebwatuka bwatuka hapa mjini hajaja mwenyewe
 
Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
Nilisha toa maelekezo kwamba baada tu stivu mengele kumaliza urojo wake angekamtwa pale pale au kutekwa usku na kupewa kipondo kitakatifu kwani kina stivu wana kinga gani mm mwenye goroko naweza kumdhibiti vibaya mno Kisha anatafuwa mwijaku yule wa clouds wamuendee na mafuta ya Nazi biashra yake inaisha Hhapo Hap kusifiania na kutetea ujinga utaisha tz

Wakt hayo yakiendelea inatafutwa namna sas ya kudeal na vigogo wale vywenye dharau na kiburi washughulikiwe nao vilevile kwa kiwango staili ujinga na upuzi utaisha tz haitaji katiba ili upuuzi uishe inaitajika watu wapewe nidhamu tu watawala watabadilika na kuwasikiliza wananchi
 
Back
Top Bottom