Walioandaliwa kuipigia "debe" Tozo waanza kujitokeza, leo ni Steve "Nyenyere"

Walioandaliwa kuipigia "debe" Tozo waanza kujitokeza, leo ni Steve "Nyenyere"

Umemfikia KWa aibu ipi? Mnajificha kwenye kichaka kwamba tozo zimejenga vituo vyao afya ,sijui zahanati ,sijui shule , mwafikili watanzania wajinga , leteni data hapa
Tanzania ina kata ngapi vijiji vingapi then

Then tueleze wakati wa kikwete alikuta zahanati ngapi , vituo vyao afya vingapi , shule za kata ngapi, aliongezea kiasi GANI tuone mapungufu,
Then njoo kwa mwana Chato tueleze hivyo hivyo na mapungufu yaliyokua yamebakia,

Then njoo serikali hii kwamba kabla ya tozo imejenga zahanati ngapi,vituo vya afya , shule za kata ,na mapungufu yaliyokua yamebakia, ambayo Sasa yamefanywa na tozo, ila msisahau taja ma mahali vilipojengwa au vinapojengwa

Sasa nyie mnakuja na porojo hapa, kana kwamba huwa mnajenga na kubomoa na kujenga upya,

Kuna Mambo watu mnaongea mpaka shetani anawacheka, na kumua msiwe upande wake , Hatari sana
Hizo taarifa zote alieleza Bashungwa kafungue you tube utapata hayo majibu..

Harafu usiwe kiazi vitu vingine Hivyo vipo Tamisemi utaona idadi ya kata, Vijiji,mitaa nk..

Ujinga wako usiwe mzigo Kwa wengine.
 
Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
Huyo zezeta tu mwenyewe anajisikia fahari kuitwa Nyerere hataki kuitwa ubini wake Mengere ni mgonjwa wa akili anahitaji msaada wa matibabu.
 
Acha ujinga basi, soma mmepost Nini? Ina maana kabla ya Hapo hakukua na vituo vya Afya? Je hakuna source nyingine Hadi TOZO? NDIO mwisho wa creativity ya kupata fund za ujenzi? Usijitie ujuaji, vituo vilikua vinajengwa miaka yote, nothing new
Unaulizwa swali la kitoto kama vile umebeba kopo.kichwani..

Nimekwambia Nchi hii ina kata zaidi ya 4500 na kati hizo kata toka uhuru kuna chini ya vituo vya afya 1000 kiasi kwamba ukijumlisha na hivi vinavhoendelea na ujenzi havizidi 1200 wakati sera ya Afya inata Kila kata kuwe na kituo Cha afya..

Ndio maana SSH akaja na tozo Ili kukabiliana na huo upungufu wakati idadi ya watu inazidi kuongezeka,kwa mwaka uliopita ndio vimejengwa hivyo 234 na havijakamilika vilivyo vingi..

Ukitumia source za kawaida ndio matokeo yake yabakuwa kama ya Mwendazake yaani unakaa miaka 5 unajenga vituo 352 sasa utamaliza lini kata 4 500? Idadi ya watu inaongeseka huku unajenga kwa kujinyonga yaani wastani WA vituo vya afya 70 tuu kwa mwaka,this is rubbish..
 
Hizo taarifa zote alieleza Bashungwa kafungue you tube utapata hayo majibu..

Harafu usiwe kiazi vitu vingine Hivyo vipo Tamisemi utaona idadi ya kata, Vijiji,mitaa nk..

Ujinga wako usiwe mzigo Kwa wengine.
Hakuna na huna Sababu ya panic disorder hapa , nyie si ndo mnatete tozo hapa, tafuteni data leteni hapa , tunaitaji hizo data KWa Sababu
KILA kata unatakiwa kuwa na kituo Cha afya Tz nzima
KILA Kijiji/ mtaa unatakiwa kuwa na zahanati,

Sasa nyie waimba mapambio tafuteni huko mlete hapa , ili mtuzibe mdomo tunao sema tunachoambiwa sio kweli

Sasa wewe unakimbilia sijui nini leta data hapa tunataka kuona vilivyojengwa na mapungu anzia KWa kikwete mpaka serikali hii kabla ya tozo , vile vilivyojengwa na tozo , hamuwezi leta ,itakua Umandonga tu, katika maisha ya watu, japo yeye mwenye Halisi ni katika maisha yake na familia yake,

Kama mnataka watu wawaelewe kwanini msitoe izo data kuanzia kipindi Cha kikwete mpaka kipindi Cha Tozo?
 
Unaulizwa swali la kitoto kama vile umebeba kopo.kichwani..

Nimekwambia Nchi hii ina kata zaidi ya 4500 na kati hizo kata toka uhuru kuna chini ya vituo vya afya 1000 kiasi kwamba ukijumlisha na hivi vinavhoendelea na ujenzi havizidi 1200 wakati sera ya Afya inata Kila kata kuwe na kituo Cha afya..

Ndio maana SSH akaja na tozo Ili kukabiliana na huo upungufu wakati idadi ya watu inazidi kuongezeka,kwa mwaka uliopita ndio vimejengwa hivyo 234 na havijakamilika vilivyo vingi..

Ukitumia source za kawaida ndio matokeo yake yabakuwa kama ya Mwendazake yaani unakaa miaka 5 unajenga vituo 352 sasa utamaliza lini kata 4 500? Idadi ya watu inaongeseka huku unajenga kwa kujinyonga yaani wastani WA vituo vya afya 70 tuu kwa mwaka,this is rubbish..
Acha kujifanya mjuaji! Tumia akili wewe, JK alijenga vituo vya Afya pia, mkaja na the story. Sibishani nakupa ukweli, huo Ujinga kawadanganye wajinga Akina Steve
 
Hakuna na huna Sababu ya panic disorder hapa , nyie si ndo mnatete tozo hapa, tafuteni data leteni hapa , tunaitaji hizo tata KWa Sababu
KILA kata unatakiwa kuwa na kituo Cha afya Tz nzima
KILA Kijiji/ mtaa unatakiwa kuwa na zahanati,

Sasa nyie waimba mapambio tafuteni huko mlete hapa , ili mtuzibe mdomo tunao sema tunachoambiwa sio kweli

Sasa wewe unakimbilia sijui nini leta data hapa tunataka kuona vilivyojengwa na mapungu anzia KWa kikwete mpaka serikali hii kabla ya tozo , vile vilivyojengwa na tozo , hamuwezi leta ,itakua Umandonga tu, katika maisha ya watu, japo yeye mwenye Halisi ni katika maisha yake na familia yake,

Kama mnataka watu wawaelewe kwanini msitoe izo data kuanzia kipindi Cha kikwete mpaka kipindi Cha Tozo?
Sina nafasi ya kubeba ujinga wako mkuu,kama huwezi tafute acha.
 
Hakuna na huna Sababu ya panic disorder hapa , nyie si ndo mnatete tozo hapa, tafuteni data leteni hapa , tunaitaji hizo data KWa Sababu
KILA kata unatakiwa kuwa na kituo Cha afya Tz nzima
KILA Kijiji/ mtaa unatakiwa kuwa na zahanati,

Sasa nyie waimba mapambio tafuteni huko mlete hapa , ili mtuzibe mdomo tunao sema tunachoambiwa sio kweli

Sasa wewe unakimbilia sijui nini leta data hapa tunataka kuona vilivyojengwa na mapungu anzia KWa kikwete mpaka serikali hii kabla ya tozo , vile vilivyojengwa na tozo , hamuwezi leta ,itakua Umandonga tu, katika maisha ya watu, japo yeye mwenye Halisi ni katika maisha yake na familia yake,

Kama mnataka watu wawaelewe kwanini msitoe izo data kuanzia kipindi Cha kikwete mpaka kipindi Cha Tozo?
Huyu ni Mpuuzi halafu hajui kuwa we have been here Long time
 
Umemfikia KWa aibu ipi? Mnajificha kwenye kichaka kwamba tozo zimejenga vituo vya afya ,sijui zahanati ,sijui shule , mwafikili watanzania wajinga , leteni data hapa
Tanzania ina kata ngapi vijiji vingapi then

Then tueleze wakati wa kikwete alikuta zahanati ngapi , vituo vyao afya vingapi , shule za kata ngapi, aliongezea kiasi GANI tuone mapungufu,
Then njoo kwa mwana Chato tueleze hivyo hivyo na mapungufu yaliyokua yamebakia,

Then njoo serikali hii kwamba kabla ya tozo imejenga zahanati ngapi,vituo vya afya , shule za kata ,na mapungufu yaliyokua yamebakia, ambayo Sasa yamefanywa na tozo, ila msisahau taja ma mahali vilipojengwa au vinapojengwa

Sasa nyie mnakuja na porojo hapa, kana kwamba huwa mnajenga na kubomoa na kujenga upya,

Kuna Mambo watu mnaongea mpaka shetani anawacheka, na kumua msiwe upande wake , Hatari sana
Huyu Dogo ni Mpuuzi Sana sana, wakishakuka TOZO wakivimbiwa ndio wanaanza kuropoka na kujifanya wajuaji
 
Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
Kwa uchawa wa Stive, inawezekana kabisa kajituma mwenyewe ili apate credit kwa mama
 
Acha kujifanya mjuaji! Tumia akili wewe, JK alijenga vituo vya Afya pia, mkaja na the story. Sibishani nakupa ukweli, huo Ujinga kawadanganye wajinga Akina Steve
Wewe akili huna na ni mpumbavu fulani tuu..

Hivyo vituo vya afya havijaanza kujengwa awamu ya JK toka enzi za Mwinyi na Nyerere..

Nakueleza Takwimu unaleta upumbavu eti tunajua mnajua kutoka hewani?

Taarifa za serikali zipo leta hapa Kuni prove wrong naona chuki ndio zinakusumbua..

Mwisho kawatafute wapumbavu wenzako huko Chadomo ndio mtaelewana mnapojazana ujinga..

Juzi nalisikia Li Lisu linadanganya manyumbu eti Serikali imeninua V8 500 😆😆
 
Unaulizwa swali la kitoto kama vile umebeba kopo.kichwani..

Nimekwambia Nchi hii ina kata zaidi ya 4500 na kati hizo kata toka uhuru kuna chini ya vituo vya afya 1000 kiasi kwamba ukijumlisha na hivi vinavhoendelea na ujenzi havizidi 1200 wakati sera ya Afya inata Kila kata kuwe na kituo Cha afya..

Ndio maana SSH akaja na tozo Ili kukabiliana na huo upungufu wakati idadi ya watu inazidi kuongezeka,kwa mwaka uliopita ndio vimejengwa hivyo 234 na havijakamilika vilivyo vingi..

Ukitumia source za kawaida ndio matokeo yake yabakuwa kama ya Mwendazake yaani unakaa miaka 5 unajenga vituo 352 sasa utamaliza lini kata 4 500? Idadi ya watu inaongeseka huku unajenga kwa kujinyonga yaani wastani WA vituo vya afya 70 tuu kwa mwaka,this is rubbish..
Sasa Kama toka uhuru data ziko hivyo, Sasa twambie na tupe data hapa za kipindi Cha
Mkapa
Kikwete
Mwanachato
Serikali hii kabla ya tozo
Serikali hii bahada ya tozo
Mapungufu mpaka Sasa

Haya ndo majibu tunataka hapa
 
Wewe akili huna na ni mpumbavu fulani tuu..

Hivyo vituo vya afya havijaanza kujengwa awamu ya JK toka enzi za Mwinyi na Nyerere..

Nakueleza Takwimu unaleta upumbavu eti tunajua mnajua kutoka hewani?

Taarifa za serikali zipo leta hapa Kuni prove wrong naona chuki ndio zinakusumbua..

Mwisho kawatafute wapumbavu wenzako huko Chadomo ndio mtaelewana mnapojazana ujinga..

Juzi nalisikia Li Lisu linadanganya manyumbu eti Serikali imeninua V8 500 😆😆
Relax, relax, relax! Usipaniki! Twende taratibu tu huu mchezo Wala haihitaji hasira Mbona? Utachoka mapema ukipaniki! Tumuweke Lissu pembeni Kwanza, tuendelee na hili la vituo vya Afya vya TOZO!
 
Sasa Kama toka uhuru data ziko hivyo, Sasa twambie na tupe data hapa za kipindi Cha
Mkapa
Kikwete
Mwanachato
Serikali hii kabla ya tozo
Serikali hii bahada ya tozo
Mapungufu mpaka Sasa

Haya ndo majibu tunataka hapa
Ameshapaniki Dogo
 
Sasa Kama toka uhuru data ziko hivyo, Sasa twambie na tupe data hapa za kipindi Cha
Mkapa
Kikwete
Mwanachato
Serikali hii kabla ya tozo
Serikali hii bahada ya tozo
Mapungufu mpaka Sasa

Haya ndo majibu tunataka hapa
Toa 352 za Magufuli na then zinazosalia ndio za hao unaowataja,harafu hizo zingine gawanya kwa waliosalia..

Soma jedwali hili hapa chini👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220516-121052.png
    Screenshot_20220516-121052.png
    69.7 KB · Views: 2
Huyu ni Mpuuzi halafu hajui kuwa we have been here Long time
Hawa wanadanganya na hawajui pia Hali halisi , hata Kama sera ni KILA kata kuwa na kituo Cha afya ila sio kata zote zimekidhi vigezo, zipo kata zingine zilianzishwa kisiasa na ukiangalia idadi ya watu na ukaribu wa kata izo kituo kimoja Cha Afya kinatosha, mfano kata za kwenye majiji ,miji na manispaa, unakuta kata zimelundikana karibu Sasa inaniambia pale KILA kata iwe na kituo Cha afya wakati hata pa kukijenga hakuna,

So KWa mantiki Iyo idadi ya vituo vya afya hawezi endana na kata tulizonazo tanzania nzima
 
Back
Top Bottom