Apply sasa uone hyo ya udom mwisho wake
mkuu vp mbona unapanik? mwenzio naenda kupga bum la diploma bana@
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apply sasa uone hyo ya udom mwisho wake
sikia niwapeni taarifa wadogo mnaosubiri post za ualimu kifupi ni kwamba waliopo chuoni sasa hivi wamefanya mtihani wa mchujo mwez huu mwanzon sasa matokeo mpaka mwezi wa tisa au kumi inamaana watakao rudia mwaka ndo mtaanza nao ho ndo wameanzishiwa kabilishi BIG RISAT NAU BRN
amen ila umekosea sio subilia ni SUBIRIA bhana
Mbona web page ua heslb aifunguk, wakat nmesha lipa 30 kwajil ya maombi ya mkopo wa diploma.
Inamana wamenila pexa yng au vp?
Ndugu,zoezi la kuchagua wanaf wenye sifa ni zito maana wizara kwa mwaka 2014/2015 ilinyumbua na kupata categories nyingi tofauti na miaka ya nyuma,huenda hali hii imefanya mchakato kuchelewa.mswahil anasema haraka haraka haina baraka LAKINI ngojangoja yaumiza matumbo,nina imani na serikali sitegemei serikal iniangushe.TUVUMILIE.
Ndugu,zoezi la kuchagua wanaf wenye sifa ni zito maana wizara kwa mwaka 2014/2015 ilinyumbua na kupata categories nyingi tofauti na miaka ya nyuma,huenda hali hii imefanya mchakato kuchelewa.mswahil anasema haraka haraka haina baraka LAKINI ngojangoja yaumiza matumbo,nina imani na serikali sitegemei serikal iniangushe.TUVUMILIE.