#COVID19 Waliochanja COVID-19 kuanza kupewa kadi za kielektroniki

#COVID19 Waliochanja COVID-19 kuanza kupewa kadi za kielektroniki

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Dar es Salaam.

Serikali imeanza kutoa kadi maalum za kielektroniki zenye vigezo vya kimataifa vya uthibitisho wa kuchanjwa chanjo ya ugonjwa wa Covid 19 zitakazoitwa Vaccine Electronic Certificates.

Shughuli hiyo imeanza leo Alhamisi Agosti 12, 2021 katika ukumbi wa Karimjee ambapo wanahabari, wasanii na watu mbalimbali wamejitokeza kupata chanjo hiyo.

Soma zaidi: Hospitali ya kibinafsi inahusika majibu ya Covid-19 kuchelewa.

Kadi hizo zenye QR Code zina vigezo vya kimataifa zinazohusiana na utambulisho wa siri ambao wanajumuisha taarifa za mpokeaji chanjo, chanjo aliyopata, muda na mahali alipochanjwa.


Source: Mwananchi
___________________________________

Nawaza TU, tunakoelekea hatutakamilisha unabii Kama ilivyoandikwa katika ufunuo wa yohana 13:16-17??


Ufunuo wa Yohana 13:16-17

[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;

[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
 
Maandiko gani sasa ndugu mtoa mada ?
Dar es Salaam.

Serikali imeanza kutoa kadi maalum za kielektroniki zenye vigezo vya kimataifa vya uthibitisho wa kuchanjwa chanjo ya ugonjwa wa Covid 19 zitakazoitwa Vaccine Electronic Certificates.

Shughuli hiyo imeanza leo Alhamisi Agosti 12, 2021 katika ukumbi wa Karimjee ambapo wanahabari, wasanii na watu mbalimbali wamejitokeza kupata chanjo hiyo.

Soma zaidi: Hospitali ya kibinafsi inahusika majibu ya Covid-19 kuchelewa

Kadi hizo zenye QR Code zina vigezo vya kimataifa zinazohusiana na utambulisho wa siri ambao wanajumuisha taarifa za mpokeaji chanjo, chanjo aliyopata, muda na mahali alipochanjwa


Source: Mwananchi
___________________________________

Nawaza TU, tunakoelekea hatutakamilisha unabii Kama ilivyoandikwa katika ufunuo wa yohana 13:16-17??


Ufunuo wa Yohana 13:16-17

[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Hata hivyo dunia inajua sana kuvumilia aisee, mambo yoote inayofanyiwa bado inavumilia tu, acha ifike mwisho mkuu
 
Hii inaitwa bongo, nikitaka kusafiri hakuna mhudumu wa afya wa kituo chochote atakayekataa laki moja(100000), anichome hewa halafu anipe kadi inisaidie. Ila hata uniwekee bunduki kichwani sichanji ng'oo.. Ingawa habari yenyewe haijadhibitishwa.
 
Ufunuo wa Yohana 13:16-17

[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Twende tusome Aya mzima na sio kuchagua mistari...

Anyway, keyword hapo ni miujiza, bila kujali ni miujiza ya aina gani!!!

Je, unaweza kutaja miujiuza ya huyo "mnyama" anayekulazimisha upate chanjo ya corona?!

Na unaweza kumtaja huyo "Mnyama wa Kwanza" anayefanyiwa kazi ya kishetani na huyu "mnyama"anayekulazimisha kukutundika chapa ya corona?!

Kwanini chapa hiyo iwe inayotokana na chanjo ya corona na isiwe chapa ya ndui ambayo tayari wewe na familia yako yote mnayo?!
 
Inakuaje hao wanaochanjwa leo Karimjee wanatumiwa hizo certificate wakati waliochanja last week bado hawajatumiwa?
 
Inakuaje hao wanaochanjwa leo Karimjee wanatumiwa hizo certificate wakati waliochanja last week bado hawajatumiwa?
Jana zote zimeanza kutolewa checki - chanjocovid.moh.go.tz kama hujatumiwa utaingiza ID uliyotumia.
 
Twende tusome Aya mzima na sio kuchagua mistari...


Ukisoma 11-17, badala ya kukimbilia 16-17, utaona ni Mnyama wa Pili ndie alilazimisha watu wapigwe chapa!! Lakini zimetajwa sifa za huyu Mnyama ambapo...

Anyway, keyword hapo ni miujiza, bila kujali ni miujiza ya aina gani!!!

Je, unaweza kutaja miujiuza ya huyo "mnyama" anayekulazimisha upate chanjo ya corona?!

Na unaweza kumtaja huyo "Mnyama wa Kwanza" anayefanyiwa kazi ya kishetani na huyu "mnyama"anayekulazimisha kukutundika chapa ya corona?!

Kwanini chapa hiyo iwe inayotokana na chanjo ya corona na isiwe chapa ya ndui ambayo tayari wewe na familia yako yote mnayo?!
Maswali mazuri sana.
 
Back
Top Bottom