Ni ngapi? Yaani unataka nijibu sawa na la kwako ambalo ni consipiracy theory?!Ni ya corona kwa sababu ndiyo inayokamilisha namba 666. Ya ndui ni ngapi hebu tupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngapi? Yaani unataka nijibu sawa na la kwako ambalo ni consipiracy theory?!Ni ya corona kwa sababu ndiyo inayokamilisha namba 666. Ya ndui ni ngapi hebu tupe
Wala hata huchomi inaandaliwa tu kama ambavyo hatusomi udereva ila lesen zinatokaHii inaitwa bongo, nikitaka kusafiri hakuna mhudumu wa afya wa kituo chochote atakayekataa laki moja(100000), anichome hewa halafu anipe kadi inisaidie. Ila hata uniwekee bunduki kichwani sichanji ng'oo.. Ingawa habari yenyewe haijadhibitishwa.
Hata zikifika 20 nipo tayari kuzipokeaSawa, subiri booster number 3 and 4..
Kuingia mahospitalini na maeneo ya shule na vyuoSamahani,ni huduma zipi ambazo unapo zihitaji ni lazima ui scan hiyo cheti ya covid
r
Chato kwa MwendazakeTusio chanja tuna comment wapi!?
Week hii ni week ya kupiga Nyungu karibu sana!!Chato kwa Mwendazake
Twende taratibu...Mkuu tuendelee!
Ni Maandiko yapi yamepaswa kutimia ili suala la unyakuo litokee??
Ndio hiari hiyo mkuu, usiwaonee wivu wasiotaka chanjo.Hata zikifika 20 nipo tayari kuzipokea
Wacha propaganda chanjo ni hiari! Watoto wa watumwa hata siku moja hawawezi kuwa huru hata wakiachiwa.Wapi hawapewi unadhani huko wana akili kama zenu za kushikiwa na Gwajima tena huko wameenda mbali wanataka kutoa kabisa na pasipoti zenye utambulisho wa chanjo.