#COVID19 Waliochanja COVID-19 kuanza kupewa kadi za kielektroniki

#COVID19 Waliochanja COVID-19 kuanza kupewa kadi za kielektroniki

Hii inaitwa bongo, nikitaka kusafiri hakuna mhudumu wa afya wa kituo chochote atakayekataa laki moja(100000), anichome hewa halafu anipe kadi inisaidie. Ila hata uniwekee bunduki kichwani sichanji ng'oo.. Ingawa habari yenyewe haijadhibitishwa.
Wala hata huchomi inaandaliwa tu kama ambavyo hatusomi udereva ila lesen zinatoka
 
Mkuu tuendelee!

Ni Maandiko yapi yamepaswa kutimia ili suala la unyakuo litokee??
Twende taratibu...

Ni maandiko gani yamepaswa kutimia, au yanapaswa kutimia?!

Kama nilivyosema, according to Christian Theology, unyakuo utatokea baada ya Yesu kurudi duniani kwa mara ya pili! Na hilo litatokea baada ya ishara kadhaa kutimia... ishahara hizi zimeandikwa kwenye bible!
 
Wapi hawapewi unadhani huko wana akili kama zenu za kushikiwa na Gwajima tena huko wameenda mbali wanataka kutoa kabisa na pasipoti zenye utambulisho wa chanjo.
Wacha propaganda chanjo ni hiari! Watoto wa watumwa hata siku moja hawawezi kuwa huru hata wakiachiwa.
 
Back
Top Bottom