Waliocheka, Walionuna na Waliolia baada superpower kubadili muelekeo.

Yaani uingize 20k dola kwa mwezi halafu usiwe tajiri aaah tafadhali mkuu
 
Hongera mkuu heri nusu shari kuliko shari kamili
 
Nisimpendi kisa anawafuatilia sana watu ngoja wataona wenyewe maisha yao yakiwa mramba
 
Mwaka 2020 Kuna uhuni ulifanyika kule Pennsylvania kwenye ballot boxes, ambao ndio ulimpa edge Biden hatimae akashinda na ndio maana mwaka huu Republicans walikuwa makini sana kwenye Hilo Jimbo hili yasije yanajirudia Yale yale
 
Hakuna hata kimoja kati ya vyote sijawahi zihusudu siasa za marekani
Putin mwenyewe hajawahi kuzihusudu siasa za Marekani ila alikuwa na mtu wake moyoni kwenye huu uchaguzi, itakuwa wewe wa huko Buza.
 
Putin mwenyewe hajawahi kuzihusudu siasa za Marekani ila alikuwa na mtu wake moyoni kwenye huu uchaguzi, itakuwa wewe wa huko Buza.
Una ujinga mwingi sana bwana mdogo.
 
Nawasikitia Waislam tu wa Ulaya na marekani, maana hili ni pigo kubwa sana kwao na kishindo cha kicheko kwa Israel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…