Waliodai vyama vya upinzani kushirikiana na Magufuli ni uzalendo, wakati wa Magufuli, sasa wanalalamika Chadema haikosoi Serikali

Waliodai vyama vya upinzani kushirikiana na Magufuli ni uzalendo, wakati wa Magufuli, sasa wanalalamika Chadema haikosoi Serikali

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wale wafuasi wa Magufuli leo hii wanalalamika kwamba Chadema haikosoi tena Serikali, imenunuliwa

Lakini watu hawa hawa ndio waliokuwa wakisoma vyama vya upinzani havina umuhimu, inabidi viuawe kwa nguvu kwa kutumia mbinu za kuteka kufunga na kuua viongozi wake

Hawa watu wana matatizo ya akili?
 
Ni wajinga hao.
Chadema wamechelewa sana kufanya walichofanya CUF na NCCR. Werevu tuliwaambia muda mrefu acheni ukaidi wakabisha. Harakati ni ujinga tu
 
Wale wafuasi wa Magufuli leo hii wanalalamika kwamba Chadema haikosoi tena Serikali, imenunuliwa

Lakini watu hawa hawa ndio waliokuwa wakisoma vyama vya upinzani havina umuhimu, inabidi viuawe kwa nguvu kwa kutumia mbinu za kuteka kufunga na kuua viongozi wake

Hawa watu wana matatizo ya akili?
Hao ni Genge S.
 
Ndo maana wakaitwa Wana wa Adamu.....Adamu mwenyewe alikuwa wa mchongo tu🙄
 
u
Ni wajinga hao.
Chadema wamechelewa sana kufanya walichofanya CUF na NCCR. Werevu tuliwaambia muda mrefu acheni ukaidi wakabisha. Harakati ni ujinga tu
uvccm na sukuma gang ni mapumbavu yaliyozoea kuuwa watu, kuteka watu,kuunda genge la kipumbavu la watu wasiojulikana,kupora uchaguz na kupiga watu risas yakiongozwa na nduli magufuli mzoga unaooza chato tunataka tukalifukue tulitupe mto kagera liwe chakula cha mamba.
 
Back
Top Bottom