Tayari hukuAlienda interview ya asubuhi au mchana[emoji3]
Kiungo chake kuliwa wewe inakuhusu nini?Ameenda ya kuingia ya saa tatu, wametoka saa ngapi?
Hahahahaha unauliza humu kama Kuna mtu ulimkabidhiAmeenda ya kuingia ya saa tatu, wametoka saa ngapi?
Pole kaka....mpaka Sasa hivi hajarudiKama huna jibu tulia, usijikute mjanja
Anaeza akawa ni mwanae, humu kuna wazazi wa vijana waliofanya interview πPole kaka....mpaka Sasa hivi hajarudi
Hahahhaahah amenichekesha huyu jamaa.Anaeza akawa ni mwanae, humu kuna wazazi wa vijana waliofanya interview π
ππ watu wanazitumia fursa vizuri, kama ndio mke mtarajiwa ajifikirie mara mbili mbiliHahahhaahah amenichekesha huyu jamaa.
Amepanick anakaona kagiza Ako kanaingia
Afu unakuta kazima simu....hapo ndo maumivu Hadi kumoyoππ watu wanazitumia fursa vizuri, kama ndio mke mtarajiwa ajifikirie mara mbili mbili
Mapenzi ni hatari sana kama njaa vile hayanaga ujanja πAfu unakuta kazima simu....hapo ndo maumivu Hadi kumoyo