mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,040
- 2,428
Naona ali pewaga promo kubwa kuliko uwezo wake ana jina kubwa but kaz anazotoa s sawa na jina lakeBaada ya huu uzi naomba tuanzishe mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
Lengo langu hao madogo alikiba awaachie wafanye mziki underground gani wanaotafuta majina kwenye mziki unawaambia watoa ngoma moja au mbili kwa mwaka we umeona wapi hili?mleta Mada alikiba alikukoseaga nn??
hunaga kazi ya kufanya??
Sasa hivi mtanange ni kati ya Harmonize na Diamond. Ali kiba na kikundi chake cha ngonjera wameshakwenda na maji..Madogo ambao wapo chini ya Kings Music ya Ali Kiba walikosea sana kwenda huko coz Kiba hajui kuongoza vizuri na pia hajui kuwapa promotion at the right time.
Angalia sasa wamekalishwa benchi muda mrefu bila kutoa ngoma wakati ndio kwanza ni wasanii underground.
Kama Kiba ameishiwa mashairi ya kutoa ngoma awaachie madogo wafanye muziki.
Anataka hao madogo wale nini wakati 98% wanategemea muziki?
Kwanza kabla ya kujua faida za Lavalava ilitakiwe tujue , wewe umenunua hisa kiasi gani pale WCB ?Baada ya huu uzi naomba tuanzishe mwingine kuhusu lavalava. Hivi analeta faida pale wasafi?
This is too deep. Truth be told Harmonize is currently doing better his former bossHuyo chinga ananini cha maana ? Ubunifu ziro, hayupo realy kabisa kila kitu alikuwa ana copy na kupaste kutoka kwa bosi wake.
Mzee utakuwa unavuta bangi aseeThis is too deep. Truth be told Harmonize is currently doing better his former boss
Inshu siyo kukopi inshu Je ni watu wanakipokeaje hicho ulichokikopi? Kiukweli konde boy nyota ya kukubalika anayo na ndio msanii aliyekuwa anaingiza pesa ndefu wasafi japokuwa mwanzo nilikuwa simuelewi kusound the same as mondHuyo chinga ananini cha maana ? Ubunifu ziro, hayupo realy kabisa kila kitu alikuwa ana copy na kupaste kutoka kwa bosi wake.
Honestly speaking sijui ni aina ya muziki anaofanya au nyota hana?/dizaini km mziki umemkataaa bwana mdogo lavalavaKwanza kabla ya kujua faida za Lavalava ilitakiwe tujue , wewe umenunua hisa kiasi gani pale WCB ?
Kuba mmoja anaimba kama shoga sitakagi hata kumsikia
kama awataki unawalazimisha??Lengo langu hao madogo alikiba awaachie wafanye mziki underground gani wanaotafuta majina kwenye mziki unawaambia watoa ngoma moja au mbili kwa mwaka we umeona wapi hili?
Haya mjukuu furahi kwa hiliMzee utakuwa unavuta bangi asee