Hakuna Catch-22 hapo. Its sweet Covid-19, pure corona with all the trimmings. Kuna magumashi mengi mno. A failed, botched up, half-baked Amateur operation , at best.
Kuapisha kinyume na katiba, operesheni Nusrat inanuka mno. Haya mawili wala serikali , wala Bunge haijajibu.
Wanaongea juu juu tu. Ila kwa kuonesha msimamo imara, CHADEMA ime-retain heshima yake.
Unasema upinzani hawajakomaa. CCM ya 1977 na yenye mizizi ya TANU ya 1954, kwa chaguzi mbili, ule wa serikali za mitaa na huu mkuu wa 2020, imejionesha wazi kuwa ishakufa kama chama cha siasa, ila ni genge la Mafia. Imeaibisha kabisa historia nzuri ya TANU na ASP.
CHADEMA ndio wakomavu na wastaarabu. Kwa ccm hii ya Magufuli, genge la mafisi wa Serengeti lina afadhali