Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Dada Rebeca, kubali kuwa Halima kaharibu mno. Nadhani hata yeye haamini upepo ulivyogeuka. Aombe msamaha atasamehewa ila kamwe heshima yake haiwezi kurudi.
Akishaomba msamaha akale wapi? Mnajua kweli mnachokiongea? Mtu ka-invest miaka 15 kwenye siasa, maisha yake ni siasa.. Leo chama chake kimekufa unataka aendelee kufight na kitu kisicho na maslahi?
Siasa ndio maisha yake, Kama kweli mnasimamia demokrasia mwacheni afanye maamuzi binafsi .

*Usinitukane.
 
Akienda bungeni anaenda kuendelea kuwawakilisha nyie nyie mliompigia kura, hakutakuwa na tofauti mwacheni aende
Taratibu zipo wazi.
Afuate kanuni zilizowekwa na chama chake ili awakilishe wananchi.
Hata huko CCM huwa wanafuata taratibu walizojiwekea ili kupata wawakilishi
 
Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Mbowe akiwasamehe ujue lao ni moja. Amezuga tu wananchi kwa kujifanya kuwatimua ili kutupotezea maboya

Inaitwa funika kombe mwanaharamu apite
 
Taratibu zipo wazi.
Afuate kanuni zilizowekwa na chama chake ili awakilishe wananchi.
Hata huko CCM huwa wanafuata taratibu walizojiwekea ili kupata wawakilishi
Ipo wazi kuwa uongozi wa chadema usingekubali
 
Wapanga mikakati ndani ya Ccm hawatumii akili. Hii issue ilikuwa very simple
Walitakiwa waongee na wabunge walio shiriki uchaguzi wakashindwa waende mahakamani. Hapo kwa vile mahakama zetu hivi sasa wana fanya kazi kwa maelekezo na sio kufuata sheri, basi mahakimu wangeelekezwa kuwapa ushindi walio fungua kesi asap. Hilo linge pita bila maswali. Lakini jili la kuigiza saini za watu hata mimi nalipinga..
La kuwapa maelekezo mahakimu usingelipinga?
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Barua ya kupeleka wabunge wateuliwa wa chadema ipo dhahiri ukizingatia wameshaapishwa CCM NA NDUGAI ZIBENI MASIKIO WABUNGE WA CHADEMA FUNGENI MACHO EVERY IDENTITY STILL THERE KAZI IENDELEE KWA WABUNGE HAWA 19 FUNGU LAO LA RUZUKU LIPELEKWE CHADEMA WATAKAPOZIONA FEDHA WATAKAA KIMYA AT FINAL CDM JENGENI CHAMA UPYA HUKU MKIJUA HAO WABUNGE WATEULIWA SIO NDUGU ZENU TENA
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Dada yetu Mdee na genge lake pamoja na mama "Nanjengwa" hatuna shida na nyie, tunajua mashinikizo mliopata hasa kuhusu kutakatisha fedha, madeni yenu bungeni, kesi za mdee na wenzake kule Kisutu na kesi ya Hanje ambaye aliambiwa ataozea jela kama wana -uamsho, tusiwawalaumu hawa, tuwaombee na sasa kwakuwa wameanza kujitambua watajivua ubunge waliopewa kw usaliti na kurudi chamani-CHADEMA.
 
Mnhh kazi yako au battle yako,inakufanya ulale selo? upigwe ?? hii ndio maana halisi ya kuwa kwenye real ground naona umechukulia out of context sijaamaanisha mambo ya good time,nilikua namaanisha battles zenu sio kama za Halima Mdee, kwa mfano wewe ushapigwa kwa ajili ya kazi yako? ...

and yes hamjui pain ....kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???
Try to be very understanding and mature-kwenye hili tumia busara na hekima kuliko mihemuko,Je,unaelewa machungu wanayopitia baadhi ya wafuasi wa vyama vya upinzani kwa kupoteza ndugu,jamaa,na marafiki kwa vifo? Je,Unaona ni jambo dogo wafuasi wa vyama vya upinzani kuozea kwenye jela pasina haki angali COVID 19 walikuwa viongozi wao? Je,Unadhani ni sahihi COVID 19 kushiriki tafrija kwa namna ya dhuluma wakati hata wafiwa hawajamaliza arobaini ya misiba? sometimes we need to be human....Kiongozi bora lazima ajua machungu na maumivu ya anaowaongoza na sio tamaa zake binafsi-kiongozi lazima uwe good comforter.
 
Back
Top Bottom