Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Utahangaika sana boss! Tatizo ni kutokubali kwamba CHADEMA ni mkusanyiko wa wahuni. Walioko top ni:
former DJ,
mwimbaji wa R&B,
mwizi wa magari,
mchungaji feki
mabingwa wa msuba

Niambie nani asimamie chama zaidi ya kutishana. Nyamazeni wenzenu wako Bungeni na wameshajaza fomu za mikopo kama wengine.
 
Mnhh kazi yako au battle yako,inakufanya ulale selo? upigwe ?? hii ndio maana halisi ya kuwa kwenye real ground naona umechukulia out of context sijaamaanisha mambo ya good time,nilikua namaanisha battles zenu sio kama za Halima Mdee, kwa mfano wewe ushapigwa kwa ajili ya kazi yako? ...

and yes hamjui pain ....kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???
Kosa lako ni kuamini kwamba siasa ni kazi yako na yeye. Nani aliwaajili? Usitake tuone kwamba siasa ni ajira ya watu fulani na kwamba wanateseka saana, kutusaidia! Walijipeleka wenyewe kwa mapenzi yao na yanayowapata ni kwa uamuzi wao. Why not quit? Au hana pa kwenda nje ya siasa?

Nchi hii kuna tulioanzia kilimo, tukaenda ufugaji, tukatengeza gongo, tukawa machinga na sasa tunamiliki daladala. Ukiona hii hailipi, achana nayo badala ya kujisifia eti amepitia hili na lile ni mpiganaji. Mpigananji wa nani?
 
Kukataa matokeo ni utamaduni wa narcissists wote popote walipo. Hata Trump (twin brother wa Lissu na Maalim Seif) hajakubali matokeo!

Hivi wewe huna macho ya kukuwezesha kuona alichofanya Magufuli au angalau masikio ya kukuwezesha kusikia watu wengine wakisimulia?
Km amefanya kwann wasimamizi wa uchaguzi walipewa maelekezo ya kuhujumu uchaguzi? Ni kwann mawakala wa cuf, nccr walilipwa na ccm? Kwannn kwenye vituo ambavyo vilikua na mawakala wa cuf hakukua na kura hata moja ya cuf? Km wasimamizi wa vituo walipewa maelekezo ya kuwahujumu wapinzani itakuaje kwa wasimamizi wa majimbo na tume? Ambae hakuona kasoro za uchaguzi huu atakua hana utimamu wa akili!
 
Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Wakati anaruhusiwa kwa nini hakuangalia kama sheria na kanuni zimefuatwa wakati ni mwanasheria msomi, ingawaje nilikuwa namuona kila mwaka anakunywa supu pale mlimani.
 
Km amefanya kwann wasimamizi wa uchaguzi walipewa maelekezo ya kuhujumu uchaguzi? Ni kwann mawakala wa cuf, nccr walilipwa na ccm? Kwannn kwenye vituo ambavyo vilikua na mawakala wa cuf hakukua na kura hata moja ya cuf? Km wasimamizi wa vituo walipewa maelekezo ya kuwahujumu wapinzani itakuaje kwa wasimamizi wa majimbo na tume? Ambae hakuona kasoro za uchaguzi huu atakua hana utimamu wa akili!

Conclusion na supporting arguments hazina uhusiano wowote. Ni logical fallacy!
 
Utahangaika sana boss! Tatizo ni kutokubali kwamba CHADEMA ni mkusanyiko wa wahuni. Walioko top ni:
former DJ,
mwimbaji wa R&B,
mwizi wa magari,
mchungaji feki
mabingwa wa msuba

Niambie nani asimamie chama zaidi ya kutishana. Nyamazeni wenzenu wako Bungeni na wameshajaza fomu za mikopo kama wengine.
Mungu akusamehe. Kuna mataifa viongozi wao walianzia mbali mpaka kufikia kuongoza nchi. eg Ronald Reagan alinzia u cowboy, Andrei Rajiolina alianzia u DJ , Rais wa Malawi wa sasa ameanzia huo unaouita uchungaji fake nk . Sasa viongozi wa Cdm kuanzia maisha chini si kigezo cha kukosa hekima ya uongozi.
Mzee Mwinyi alikuwa na diploma tu ya ualimu lakini aliongoza kwa ufanisi.
 
Pesa vs Chama.. Kutamu hapo, mm nafuata pesa, chama tupa kuleee, hawa ni wabunge tayari, wachane na mengine
 
Unfortunately, he opens his unruly mouth without necessarily having understood the intellectual characteristics of his audience. As a result, his insults cause more collateral damage than normal.

Lissu and Trump are reality TV type characters that are nothing more than narcissists. Obviously, one doesn’t become intellectually superior to others by just making that claim.
And that is your problem. You want him to talk down to his audience? Lissu is the only one who treats his audience with respect. He doesn't take them for granted even though he is more educated than most of them. He touches a chord with them because he tells them what he sees as the truth. He doesn't try to buy them off nor give them easy answers to difficult questions. I think that you are barking up the wrong tree. He totally has nothing in common with the Trump.

Amandla...
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Wamekuwa kama kuku yatima
 
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Jizungumzie ww binafsi.wengine humu unaowaona wana mind ndio hao hao makamanda waliopo field daily.Wewe kama ni keyboard worror usidhan wote ni kama ww.
 
Ipo wazi kuwa uongozi wa chadema usingekubali
Yeye alikuwa sehemu ya uongozi alipaswa aingie kwenye hivyo vikao awashawishi viongozi wenzake kwa hoja.
Kwenda kulalamika nje ya vikao, tena mbele ya maadui wa chama chake ni unafiki na usaliti.
 
Jizungumzie ww binafsi.wengine humu unaowaona wana mind ndio hao hao makamanda waliopo field daily.Wewe kama ni keyboard worror usidhan wote ni kama ww.

Na wewe uko kwenye field pia au unaongea tu?
 
Hivi kwani wamepiga sh ngapi wote kwa ujumla wao hasa wale wawili wanaofuatana mpaka chooni
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Dadi figa cd4 zimepanda ghafla kwa tamko la cdm
IMG_20201129_173732.jpeg
 
Habari wadau. Yajayo yanafurahisha.

Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.

Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.

Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
.
Njaa mbaya sana.
 
Back
Top Bottom