Wewe mwenyewe hujaeleweka unasimamia wapiTeam Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!
Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Kawashawishi wenzio muwapokee wajameniHuyu dada amepambana sana
Leo watu wanajidai hawaoni effort zake.
Hata Mimi natamani mkulu ampe cheo.
Afisa kipeuo uchwara Patrobas Katambi .
Uongo kusema ni rahisi sana , kazi Ni kuthibitisha , chama ni taasisi maamuzi hayafanywi na mtu bali vikao ? Baraka za mwenyekiti zinatolewa kwa maandishi sio mdomo , Halima Mdee a .k.a. Delila wa Tanzania Ametokota vibaya sana sio kuchemka .Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Ya kwako tu yamekushinda kuyafanya, itakuwa ya wengine? Huna unaloliweza zaidi ya kula na kulala kwa shemejio!
Bora unyamaze tu ili shemeji asimwache dadako ukakosa pa kumbonji! Mjini na kitaa pagumu ati!
Kukomaa katika lipi,kama chama kwa pamoja kila siku kinatoa tamko hawatambui uchaguz wala matokeo ma hawajachagua wabunge wa viti maalum tena wanaongea hadharani ,alaf wanatokea watu wanaenda tofaut na msimamo wa chama apo wa kulaumiwa hao waliofanya ilo jambo na wengine walikua wabunge karibu vipind vitatu wakomae nin tena
Hakuna Catch-22 hapo. Its sweet Covid-19, pure corona with all the trimmings. Kuna magumashi mengi mno. A failed, botched up, half-baked Amateur operation , at best.
Kuapisha kinyume na katiba, operesheni Nusrat inanuka mno. Haya mawili wala serikali , wala Bunge haijajibu.
Wanaongea juu juu tu. Ila kwa kuonesha msimamo imara, CHADEMA ime-retain heshima yake.
Unasema upinzani hawajakomaa. CCM ya 1977 na yenye mizizi ya TANU ya 1954, kwa chaguzi mbili, ule wa serikali za mitaa na huu mkuu wa 2020, imejionesha wazi kuwa ishakufa kama chama cha siasa, ila ni genge la Mafia. Imeaibisha kabisa historia nzuri ya TANU na ASP.
CHADEMA ndio wakomavu na wastaarabu. Kwa ccm hii ya Magufuli, genge la mafisi wa Serengeti lina afadhali
Kwani CCM wamekomaa nini sasa kisiasa wakati msaada wao mkubwa ni mbeleko ya Polisi, TISS na NEC
Ulitaka wazubae mgogoro ukue uwe km ule wa cuf? Walichofanya ndo kukomaa kisiasa... Hatuwezi fuga mapapa kwenye chama wanaojiamulia wanavyotaka! Hata ccm hawawezi kuendekeza huo ujinga!
HIVI wee ndio mshauri wao?
Kwa taarifa tu, lugha kama yako kuhusu upinzani/wapinzani haikuanza leo wala kwako.
Majisifu yako ya kitoto, hayana mvuto wowote kwa CHADEMA usipoteze muda wako kurudia rudia ulivyokaririshwa.
CHADEMA weshafanya uamuzi, nyie huko mtajuana mwende wapi kusini au mashariki au kokote kama kaa ni yenu hakuna haja kelele.
Wasalimie
Haikupi uhalali wa kuasi//// jeshini tukitekwa na adui tunateswa Sana hasa sisi commando special op lakini haitupi uhalali wa kuasi na kutoa Siri za jeshi kwa adui. Halima amefeli.Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Upinzani ungekuwa haujakomaa Magufuli asingefanya uhuni alioufanya kwenye huo wanaoita uchaguzi.
Haiingii akilini Magufuli anavyowaogopa wapinzani, yeye kila siku ni kupambana na wapinzani tu hadi miaka mitano imepita hakuna chochote cha maana alichokifanya. Bure kabisa.
Unamchanganya Trump na chama chake. Trump amekataa lakini sio chama chake. Na tofauti na hapa kwetu, kupinga matokeo inakubalika kuwa ni haki ya msingi ya mgombea yeyote. Ndio maana kura zimerudiwa kuhesabiwa kwa mkono mbele ya mawakala wa wote waliogombea. Anacho laumiwa Trump ni kusema mfumo mzima ni mbovu wakati wagombea wengi tu wa chama chake wameshinda. Tofauti nyingine ni kuwa hata kwenye jimbo kama Georgia ambako msimamizi wa uchaguzi ni wa chama chake, amemtangaza Biden kuwa mshindi. Hapa kwetu hilo haliwezekani pamoja na vitendo vya wazi kabisa vilivyoashiria kuwa uchaguzi umeingiliwa. Tume inayojitambua ingekubali kuhesabu upya kura kote ambako matokeo yamelaumiwa. Kukataa kuhesabu upya kura mahali ambako jumla ya kura ni zaidi ya waliojiandikisha, au ambapo kura za urais zina tofauti kubwa na za ubunge ni " pure arrogance ".Kama Trump na chama chake wanakataa kutambua matokeo ya uchaguzi wakidai kuwa wamedhulumiwa ushindi wao, nini cha ajabu kwa Lissu na chama chake kukataa kutambua matokeo ya uchaguzi wakidai kuwa wamedhulumiwa ushindi wao? Huo ni utamaduni wa narcissists popote pale walipo.
Obviously, political maturity sio idadi ya miaka kwenye political arena bali ni uwezo wa kuwa na fikra sahihi na kufanya maamuzi sahihi kwenye maswala ya kisiasa!
Kweli bila aibu unamlinganisha Trump na Lissu?Kukataa matokeo ni utamaduni wa narcissists wote popote walipo. Hata Trump (twin brother wa Lissu na Maalim Seif) hajakubali matokeo!
Hivi wewe huna macho ya kukuwezesha kuona alichofanya Magufuli au angalau masikio ya kukuwezesha kusikia watu wengine wakisimulia?
Jini maimuna lilimwingia atarudi tu maombi yanapigwaDada Rebeca, kubali kuwa Halima kaharibu mno. Nadhani hata yeye haamini upepo ulivyogeuka. Aombe msamaha atasamehewa ila kamwe heshima yake haiwezi kurudi.
Mbona migogoronimetumia uhuru wangu wa maoni...CHUKUA TIME HUKO!
Kweli bila aibu unamlinganisha Trump na Lissu?
Amandla...
Although the first one is true for most politicians, Lissu has never claimed that he is intellectually superior to most of us mere mortals. On the other hand.....They have some very significant traits in common:
1. They believe they’re intellectually better than anyone else.
2. They can lose an election only if the election is rigged against them.