Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

They have some very significant traits in common:
1. They believe they’re intellectually better than anyone else.
2. They can lose an election only if the election is rigged against them.
....... but they've never kidnapped, tortured or killed any innocent live.
 
Endelea kufurahia JF ambayo inakuwezesha kusema chochote ukipendacho hata kama ni kumdhihaki mtu ambaye ana uwezo wa kukuajiri wewe na familia yako yote!
Wewe Malia kuajiriwa usawa huu badala ya kujiajiri mwenyewe! Utaolewa mwishowe!
Tatizo lako unajikaririsha kuwa kila member wa jf ni msaka ajira. Dogo Mimi mwajiri na sijawahi kuajiriwa maishani! Kama vipi nitafute nikuajiri kusambaza mayai ya kuku wangu!
 
Watu hawajui kuwa Chadema ipo kwenye mioyo ya watu na akili za watu,ni km Imani,kuua Imani ni kitu kisichowezekana kwasababu hakionekani Kwa macho haya na wala hakigusiki.Hivyo ni kazi bure kugangaika kubomoa Upinzani.
Kabisa upinzani hautakufa kamwe anayedhani upinzani utakufa hajielewi ni ulevi wa madaraka umemlevya
 
How can a man so called patriot vomit this rubbish?
We cannot waste most of our precious time discussing fabricated suffering of few politicians who you know for sure are just siphoning money for their own comfort while people of your type presume them being saviours. I am not a playmaker so, I cannot entertain people belonging to a wastebasket.
 

Endelea kufurahia uzuri wa JF. Hapa hata kenge anao uwezo wa kudai yeye ni mamba!
 
....... but they've never kidnapped, tortured or killed any innocent live.

You better choose your words carefully!

If I covertly kidnapped, tortured and ultimately killed someone, would I actually be a person who has never kidnapped, tortured and killed anyone, because no one caught me?

Alternatively, if I never kidnapped, tortured and ultimately killed your friend, George, for example, but you accuse me of having kidnapped, tortured and ultimately killed him, would I actually be a person who has kidnapped, tortured and ultimately killed George?
 

Sasa unahamisha mjadala, lakini twende hivyo hivyo!

Hivi wewe kama hukumuua rafiki yangu, Edward, kwa mfano, halafu mimi nikakutuhumu kwamba ulimtumia majambazi wakamteka na kumuua, utakuwa kweli mtu aliyefanya hivyo?

Hivi mtu fulani akishachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania, raia wa eneo anakotoka huyo Rais wanapoteza haki yao ya kupatiwa miradi ya maendeleo na Serikali mpaka Rais huyo atakapotoka madarakani? Hivyo ndivyo Katiba na sheria zetu zinavyotaka?
 
Miaka 15 ya jasho na damu ..saa nyingine Lupango..mahakamani...nyie mmetulia tulii majumbani kwenu.. tokeni kwenye comfort zone mvae viatu vyake hata mara moja mtaona alivyo jasiri
Mdee kasaliti chama, Hana uvumilivu enzi za SA freedom fight angevishwa tairi!
Watakuwa wabunge wa CCM na Ndugai.
Katiba imenajisiwa mchana no kweupe with impunity.
Ndugaism!
Shame on CCM &those puppets!!
 
Kwa hiyo CDM ikubali kuchaguliwa wabunge?
NEC na CCM wameiba Kura sasa wanaiba watu.kina Mdee.
Acha dunia Ione walivyo majambazi wanatawala kidekiteita wamenajisi katiba ya nchi!!
 
Kwa hiyo kusaliti chama kaachive ushindi?
Kwa hiyo kafikia mwisho wanmapambano, kagain alichopigania??
Acha kutetea ujinga, ameuza chama akawe mbunge wa CCM,
Avune alichopigania !!
 
Bashiru
Msukuma
Wamekiri uchaguzi uliwasumbua sana hadi ikafanyika namna;
Hili swala ni la kutengeneziwa uzi na kujadiliana wale walokua wanasema chadema imekataliwa na wananchi waseme sasa
Kama katibu mkuu anakiri mambo yalikua magumu ikafanyika namna Je ni namna ipi?
Kwa hiyo CDM ikubali kuchaguliwa wabunge?
NEC na CCM wameiba Kura sasa wanaiba watu.kina Mdee.
Acha dunia Ione walivyo majambazi wanatawala kidekiteita wamenajisi katiba ya nchi!!
 
Nonsense.
 
Kwa hiyo CDM ikubali kuchaguliwa wabunge?
NEC na CCM wameiba Kura sasa wanaiba watu.kina Mdee.
Acha dunia Ione walivyo majambazi wanatawala kidekiteita wamenajisi katiba ya nchi!!

Kuna tatizo la kiuongozi (a failed leadership) hapo. Hiki kitu hakikupaswa hata kutokea. Kumbuka tunaongelea makada waandamizi 19, sio wawili, watatu. Ni makada waandamizi 19!

Lazima tukubali kwamba chama kina unaumwa ugonjwa mbaya, ambao huwezi kuutibu kwa kushughulikia symptoms zake tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…