Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Huyo Halima aombee ma-trilioni yaje yasipokuja sidhani kama atathaminiwa kwa chochote maana lengo kuu ni ma-trilioni siyo Halima na wenzake.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Unadai upinzan hawajakomaa halafu serikali yako inakodi mpaka majeshi toka ya burundi kupambana nao??., kwa vyovyote wewe ni mwehu pia ww n crazy.
 

Mnhh kazi yako au battle yako,inakufanya ulale selo? upigwe ?? hii ndio maana halisi ya kuwa kwenye real ground naona umechukulia out of context sijaamaanisha mambo ya good time,nilikua namaanisha battles zenu sio kama za Halima Mdee, kwa mfano wewe ushapigwa kwa ajili ya kazi yako? ...

and yes hamjui pain ....kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???
 
laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Wow,hold on..
Hii ndio 'ihalalishe' usaliti alioufanya kwa msukumo wa tamaa zake mwenyewe.?

Koleo liitwe kwa jina lake, stop nonesense lady.!
 
Inamaana wakati wanaenda hawakujua nini kitatokea????
 
Acha kumpa moyo kwa tamaa zake, asipate shida aunge mkono tu juhudi.Alichokifanya in Nonsense
 
Msiojua, kikao cha KK juzi kilikuwa na lengo la kukitoa chama ktk mtanziko. Kuwasimamisha uongozi wateule 19 ni wa kimkakati kutuliza sintofahamu ya wanachama kwa kosa walilofanya kupeleka majina NEC. Kama wateule hawa wataomba msamaha ujue ndio lengo la kikao kile. Kuonyesha kuwa sio viongozi waliopeleka majina na kuwa watuhumiwa wameomba msamaha sasa tuwasamehe. Chadema haijawahi kufukuza mwanachama kisha kumpa siku 30 atafakari, wamefanyamhivi safari hii kuiondoa Chadema ktk Aibu ya kula matapishi yao ya sitaki nataka. Ukweli wanavihitaji viti hivi lakini kwa uungwaji mkono na wanachama. Walikosea na njia ya kutokea ilikuwa lazima iwe hivi. Hawa wote ktk siku 30 walizopewa kimkakati wataomba msamaha na maisha yataendelea huku wanachama wakipiga makofi. Ukitaka kulijua hili jiulze kwa nini mbunge wa Mpanda hajachukuliwa hatua kwa kukiuka maagizo ya chama kutotambua matokeo? Jiulize mke wa Bananga (Kampeni meneja wa Lissu) inawezekanaje aende kuapishwa Dodoma bila mume wake kujua wala asiripotie uongozi mipango hii.
 
Unadai upinzan hawajakomaa halafu serikali yako inakodi mpaka majeshi toka ya burundi kupambana nao??., kwa vyovyote wewe ni mwehu pia ww n crazy.
unaweza kuthibitisha hilo la wanajeshi wa kukodi?
 
kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???
kwa mfano wewe ulale selo,upitie changamoto zote alizopitia for the last 15 years JIULIZE ungeweza?..kwa nini hamrecorgnise her hard work???
Hii siyo hoja.
 
Halima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Mwenyekiti naye amewaambia waombe msamaha ili warudishiwe uanachama wao.... Hii biashara inafahamika kwa mwenye chama
 
Chadema akili kubwa, hata walioapishwa wana bow down to Chadema. Jana NEC ya CCM ilikaa kikao kujadili maamuzi ya Chadema.
 

Respect decision zake mkuu,amebambikiwa kesi sijui amefanyaje ..hili ni swala personal yeye ndio anajua kwa nini despite everything bado akaona huo ndio upande anaoutaka...nakuomba u RESPECT hizo decisions kama ambavyo ningependa wewe au wengine waheshimu CHOICES you made in life.....

Halima ndio alichagua hio kazi,na alijua consequences zake..but challenges alizopitia ni nyingi na bado akazimudu kwa miaka 15!?! Jiulize wewe ndani ya miaka 15 umebadilisha kazi ngapi?? je kazi yako ingekua na challenges za mpaka kulala selo,ungeweza kudumu nayo?? be FAIR huyu ni JASIRI..........
 
Covid 19 washirikiane na waunga juhudi walionunulika Waanzishe chama chao waombe ufadhili toka ccm.
Imewashangaza wengi Sana Mdee na ujanja wake woote kaingizwa kingi na wahuni. Sijui huwa awajifunzi, nani amewahi kuwa maarufu nje ya cdm si slaa, kaburu, nk
 
Umeandika nini hiki? kwako Mdee ni jasiri? una matatizo. Askari aliewageuka wenzake vitani unamuita jasiri!

Huyo ni msaliti, na ninaamini ndie aliewaponza hao wengine ukimuondoa Bulaya, walimuamini kwa ujinga wake wakidhani angewavusha salama kwenye hili, matokeo yake vita aliyoanzisha imemshinda, na wenzake wameshamuona kumbe ni mwepesi tu, Chadema ndio iliyombeba.

Hao wenzake wafanye moja, waitishe press waombe msamaha kwa watanzania wote, wakitoka hapo ndio waende kwa Mbowe. Huyo "jasiri" wako Mdee na Bulaya wapotelee mbali kabisa. R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…