Mi History na biology nilikua nafeli ila sio Maths..masomo ya kukariri nacho kipaji!wenyewe wa PCB na PCM wanakwambia hesabu ndio ya kupumzikia[emoji28][emoji28][emoji28]
kweli duniani tuko tofauti sana.
yaani aliyefaulu masomo yote alama za juu anaonelea bora akapumzike kwenye hesabu PCM kuliko kukumbana BIOLOGY ya PCB.
Ndo siri ya hesabu haitaki uvivu soma daily na ukiijua unajuijua hakuna longolongo dunia nzima!straight if A=B=C baasi jibu ndo hilo hilo!Hesabu ni somo linalochukiza sana.
Tangu napata ufahamu nikiwa primary nilikua nafeli tu hesabu. Darasa la 4 mpaka la 7 nilikua napata 10% mpaka 20%, yaani 5/50 mpaka 10/50. Inshort primary nilikua mbumbumbu na mwonekano wa kimbumbumbu, mpaka nikawa nafananishwa na kilaza wa darasa, nikawa naitwa kwa jina la huyo kilaza.
Nilivyoanza sekondari nikaanza kujifunza mwenyewe kwenye kitabu bila kufundishwa. Nikawa najifunza mwenyewe kwa muda mrefu, kidato cha pili NECTA nikapata C (49%). Kutoka 10% - 20% mpaka 49% nikaona kumbe inawezekana!, likizo ya form 2 kwenda form 3 nikakazana nikawa najifunza mwenyewe kitabu cha form 3. Midterm ya form 3 nikapata 78% kumzidi aliyeongoza shule nzima kidato cha pili, yeye midterm alipata 77%, nikapata moyo zaidi. Nikamaliza book 3 na book 4 harakaharaka nikiwa form 3, nikiwa form 3 nikaanza kufanya mitihani ya form 4 na wanafunzi wa form 4, nikawa nawakimbiza form 4, grade As zikawa za kumwaga. Form 4 NECTA usiulize, nimetoka na banda la number.
daaaaah, et laplace, hizo hesabu ni upotezaji tu wa muda,kuna Yale ma matrix ya 6by6.ni ushenzi tu,yalinitesa sana na sasa bado nateseka na maisha kitaa.what a loose of time.
Super elevation hiyo inaitwa mkuuNa hesabu za Trigs zinatumika katika ujenzi wa miundo mbinu hasa madaraja na barabara..
Leo hii ukimuuliza mtu kwanini kwenye kona kali ya barabara imejengwa ikiwa na slope uelekeo wa kona (sijui nmeeleweka hapa [emoji23]) na kwanini isiwe katika uwiano kama sehemu zingine, bila shaka wengi watakwambia hawajui.
Sioni matumizi ya hesabu kama trigono ratio au logarithim ktk maisha ya kawaida. Yaan zinatumika wapi?
Ya kingese ile topic😁😁😁
Hakuna kitu kimewasumbua raia wanaogopa namba kama topiki ya Probability
😅😅😅😅😅 hapa ndio kizaizai kinapoanzia!Baba John ana umri wa miaka 58 mara nne ya umri wa John tafuta umri wa babu yake John mzaa mama.(maksi 3)
acha tu😅😅😅😅😅 hapa ndio kizaizai kinapoanzia!
Hii ni kweli hata kwenye autobhan ndio iko hiviNa hesabu za Trigs zinatumika katika ujenzi wa miundo mbinu hasa madaraja na barabara..
Leo hii ukimuuliza mtu kwanini kwenye kona kali ya barabara imejengwa ikiwa na slope uelekeo wa kona (sijui nmeeleweka hapa [emoji23]) na kwanini isiwe katika uwiano kama sehemu zingine, bila shaka wengi watakwambia hawajui.
From Zero to HeroHesabu ni somo linalochukiza sana.
Tangu napata ufahamu nikiwa primary nilikua nafeli tu hesabu. Darasa la 4 mpaka la 7 nilikua napata 10% mpaka 20%, yaani 5/50 mpaka 10/50. Inshort primary nilikua mbumbumbu na mwonekano wa kimbumbumbu, mpaka nikawa nafananishwa na kilaza wa darasa, nikawa naitwa kwa jina la huyo kilaza.
Nilivyoanza sekondari nikaanza kujifunza mwenyewe kwenye kitabu bila kufundishwa. Nikawa najifunza mwenyewe kwa muda mrefu, kidato cha pili NECTA nikapata C (49%). Kutoka 10% - 20% mpaka 49% nikaona kumbe inawezekana!, likizo ya form 2 kwenda form 3 nikakazana nikawa najifunza mwenyewe kitabu cha form 3. Midterm ya form 3 nikapata 78% kumzidi aliyeongoza shule nzima kidato cha pili, yeye midterm alipata 77%, nikapata moyo zaidi. Nikamaliza book 3 na book 4 harakaharaka nikiwa form 3, nikiwa form 3 nikaanza kufanya mitihani ya form 4 na wanafunzi wa form 4, nikawa nawakimbiza form 4, grade As zikawa za kumwaga. Form 4 NECTA usiulize, nimetoka na banda la number.
Ya kingese ile topic
Hizi zinatumika sanabkwenye telecommunication. Fourier series inasaidia kujua frequency components za signal hahaaa.Jacobian Matrix
Fourier Series ha ha ha ha
Mkubwa mbona logarithm inatumika kupima concentration ya Nitrogen kwenye udongoSioni matumizi ya hesabu kama trigono ratio au logarithim ktk maisha ya kawaida. Yaan zinatumika wapi?
Mie hesabu za maisha ya kawaida hazinishindi ila zikishawekwa kwenye makaratasi tu ni kipengeleStori yako kama yangu. Hesabu zilikuwa zinanitesa sana. Nilipoingia form four tukapewa vitabu. Nikaanza kusoma Earth as a sphere, nikaona ha!, inaenda. Nikasoma na linear programming na probability. NECTA napata B hata mwenyewe sikuamini.
Hesabu zina matumizi mengi sana, kama hujui hesabu hata kukadiria gharama za kujenga nyumba utashindwa. Lazima ujue urefu na upana wa ukuta. Urefu na upana wa tofali nk
Kwenye kona Atasema anaongeza centripetal force [emoji23][emoji23]Na hesabu za Trigs zinatumika katika ujenzi wa miundo mbinu hasa madaraja na barabara..
Leo hii ukimuuliza mtu kwanini kwenye kona kali ya barabara imejengwa ikiwa na slope uelekeo wa kona (sijui nmeeleweka hapa [emoji23]) na kwanini isiwe katika uwiano kama sehemu zingine, bila shaka wengi watakwambia hawajui.
kwa lugha nyingine tunaweza sema hao watu walikuwa half human half elien.Einstein na Tesla Hawa watu walikuwa wako dunia yao