Walioingia Kursk hawawezi kutoka hata mmoja.Ukraine iwache kutuzuga.

Walioingia Kursk hawawezi kutoka hata mmoja.Ukraine iwache kutuzuga.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
 
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Wenzio wanaongelea facts, wewe unaongelea hisia. Uwe unafuatilia mambo kwa weledi siyo kwa hisia na mihemko ya unachokitaka.

Ni kweli kuwa Urusi ina jeshi kubwa zaidi, na bila shaka silaha nyingi zaidi, na pesa nyingi zaidi, LAKINI hiyo haijaondoa ukweli kuwa imeshindwa kuipiga Ukraine. Ndiyo maana unaona kila mara mpaka inafanyika mipango ya kubafilishana askari mateka. Hiyo ina maana kuwa Russia kuna wakati inazidiwa kiasi cha askari wake kujisalimisha.

Tena kabla hata ya msaada wowote kutoka nchi za Magharibi, ikiwa inatumia askari wenye ujuzi wa juu, Urusi iliingia Kiev, ikakimbia baada ya kupoteza askari wengi, tofauti na plan yake ya kumaliza vita ndani ya siku tatu.

Mtaalam mmoja wa vita aliwahi kusema kuwa unapoanzisha vita, unajua itakavyoanza, lakini huwezi kujua itakavyokwisha. Na ndiyo kinachowatokea Russia. Wanajua tarehe waliyoanza vita lakini hawajui itaisha lini na itaisha kwa namna gani.
 
Ukraine mipango ya vita ni F,hyo nguvu aliyotumia hapo Kursk angeitumia kurudisha maeneo yake yaliyotekwa.
Tatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.

Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.

Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
 
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
ustaz naona umecharuka kabisa ,tulia mambo magumu haya
 
Unafahamu nini kuhusu four phases of war

USSR
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
 
Aljazeera:
Ukraine had taken full control of the town of Sudzha in Russia’s Kursk region, after sending thousands of troops across the border.
  • sending thousands of troops across the border.
  • Kursk acting governor, Alexei Smirnov, ordered the evacuation of the Glushkovo district, about 45km (28 miles) northwest of Sudzha. Authorities say more than 120,000 Kursk
Russia said it would beef up its border defences, improve the command and control system and send in additional forces.
 

Attachments

  • 1723798273170.gif
    1723798273170.gif
    43 bytes · Views: 1
  • 1723798362452.gif
    1723798362452.gif
    43 bytes · Views: 2
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Wewe unajuaje? Sio unabii uchwara huo.

 
Wenzio wanaongelea facts, wewe unaongelea hisia. Uwe unafuatilia mambo kwa weledi siyo kwa hisia na mihemko ya unachokitaka.

Ni kweli kuwa Urusi ina jeshi kubwa zaidi, na bila shaka silaha nyingi zaidi, na pesa nyingi zaidi, LAKINI hiyo haijaondoa ukweli kuwa imeshindwa kuipiga Ukraine. Ndiyo maana unaona kila mara mpaka inafanyika mipango ya kubafilishana askari mateka. Hiyo ina maana kuwa Russia kuna wakati inazidiwa kiasi cha askari wake kujisalimisha.

Tena kabla hata ya msaada wowote kutoka nchi za Magharibi, ikiwa inatumia askari wenye ujuzi wa juu, Urusi iliingia Kiev, ikakimbia baada ya kupoteza askari wengi, tofauti na plan yake ya kumaliza vita ndani ya siku tatu.

Mtaalam mmoja wa vita aliwahi kusema kuwa unapoanzisha vita, unajua itakavyoanza, lakini huwezi kujua itakavyokwisha. Na ndiyo kinachowatokea Russia. Wanajua tarehe waliyoanza vita lakini hawajui itaisha lini na itaisha kwa namna gani.
Una point ila kusema Russo walipanga kumaliza smo ndani ya siku tatu Ni uongo.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Wenzio wanaongelea facts, wewe unaongelea hisia. Uwe unafuatilia mambo kwa weledi siyo kwa hisia na mihemko ya unachokitaka.

Ni kweli kuwa Urusi ina jeshi kubwa zaidi, na bila shaka silaha nyingi zaidi, na pesa nyingi zaidi, LAKINI hiyo haijaondoa ukweli kuwa imeshindwa kuipiga Ukraine. Ndiyo maana unaona kila mara mpaka inafanyika mipango ya kubafilishana askari mateka. Hiyo ina maana kuwa Russia kuna wakati inazidiwa kiasi cha askari wake kujisalimisha.

Tena kabla hata ya msaada wowote kutoka nchi za Magharibi, ikiwa inatumia askari wenye ujuzi wa juu, Urusi iliingia Kiev, ikakimbia baada ya kupoteza askari wengi, tofauti na plan yake ya kumaliza vita ndani ya siku tatu.

Mtaalam mmoja wa vita aliwahi kusema kuwa unapoanzisha vita, unajua itakavyoanza, lakini huwezi kujua itakavyokwisha. Na ndiyo kinachowatokea Russia. Wanajua tarehe waliyoanza vita lakini hawajui itaisha lini na itaisha kwa namna gani.
Nato walikua na habari za uvamizi ukraine muda sana kabla ya jambo,na hawakutazama tu kusubiri kuona itakuwaje
 
Tatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.

Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.

Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
Sema ukweli kua lengo la Ukrein halijafanikiwa, Bali Russia kapeleka wanajeshi wengine kabisa, ambao ni Wagner, akhamat na group 0. Nahili limefanya Russia kusonga mbele zaidi maeneo mengine.
 
Kikubwa zaidi alichofanikisha Ukraine huko Kursk ni kupata mtaji wa mateka zaidi ya 3000 huko Kursk 🔥
 
Back
Top Bottom