Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Ila mwenzie kapata mtaji wa kumega pande la nchiKikubwa zaidi alichofanikisha Ukraine huko Kursk ni kupata mtaji wa mateka zaidi ya 3000 huko Kursk 🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mwenzie kapata mtaji wa kumega pande la nchiKikubwa zaidi alichofanikisha Ukraine huko Kursk ni kupata mtaji wa mateka zaidi ya 3000 huko Kursk 🔥
Ukraine anaendelea kuimega urusi Kwa Kasi ya umemeIla mwenzie kapata mtaji wa kumega pande la nchi
Hana mateka kiasi hicho,ni hundreds,tena waliothibitishwa ni 102Kikubwa zaidi alichofanikisha Ukraine huko Kursk ni kupata mtaji wa mateka zaidi ya 3000 huko Kursk 🔥
Teh una mega unachukua kakijiji size ya kijiwe cha kuvutia jani.......hapo mtafurukuta na mtatuma supplies zenu za muhimu mwisho wa siku workdone =0 naona mmeamua kuvuta kasi kabla Trump hajaingiaUkraine anaendelea kuimega urusi Kwa Kasi ya umeme
It is reported by Ukrainian sources that the Armed Forces of Ukraine are attacking the village of Zhuravlivka in the Belgorod region and trying to enter the village.View attachment 3071638
Ukraine anaendelea kuimega urusi Kwa Kasi ya umeme
It is reported by Ukrainian sources that the Armed Forces of Ukraine are attacking the village of Zhuravlivka in the Belgorod region and trying to enter the village.View attachment 3071638
Kikubwa kawamega na vita imeimarisha uchumi wake huku nchi nyingi mfano ujerumani uchumi unaporomoka.....Mungu mkubwa......hiii vita hata ichukue miaka 10 zaidi ,,ulaya watakua makapuku kuliko hata urusiTujikumbushe:
Huyu Superpower wenu wa mchongo si ndio alidai angechukua Kyiv kwa siku 3.Akiingiza vifaru na Magari ya deraya, umbali wa kilometa 60.Sasa vita vimehamishiwa nyumbani kwake 🤔
Sio kweli iliondoka Kiev baada ya askari wengi kufa, ila baada ya makubaliano ya Instabul March 2022 Urusi wakaiachia Kiev as good will ya makubalianilo ila soon Zelenskyy alienda kwenye media na kuongea tofauti. Unakumbuka ishu ya Bucha?Wenzio wanaongelea facts, wewe unaongelea hisia. Uwe unafuatilia mambo kwa weledi siyo kwa hisia na mihemko ya unachokitaka.
Ni kweli kuwa Urusi ina jeshi kubwa zaidi, na bila shaka silaha nyingi zaidi, na pesa nyingi zaidi, LAKINI hiyo haijaondoa ukweli kuwa imeshindwa kuipiga Ukraine. Ndiyo maana unaona kila mara mpaka inafanyika mipango ya kubafilishana askari mateka. Hiyo ina maana kuwa Russia kuna wakati inazidiwa kiasi cha askari wake kujisalimisha.
Tena kabla hata ya msaada wowote kutoka nchi za Magharibi, ikiwa inatumia askari wenye ujuzi wa juu, Urusi iliingia Kiev, ikakimbia baada ya kupoteza askari wengi, tofauti na plan yake ya kumaliza vita ndani ya siku tatu.
Mtaalam mmoja wa vita aliwahi kusema kuwa unapoanzisha vita, unajua itakavyoanza, lakini huwezi kujua itakavyokwisha. Na ndiyo kinachowatokea Russia. Wanajua tarehe waliyoanza vita lakini hawajui itaisha lini na itaisha kwa namna gani.
Na mrusi hapendi kupiga sehemu ambazo raia wapo,,,,alipokua anaingia kiev askari wa Ukraine wakawa wanajificha kwa raia,,,Putin angekua na akili kama za Netanyahu angeua kila mtu pale ,,,,,jamaa anajua anachofanya......ona sasa Hamas kamjambisha kidogo tu Israel akaua hadi raia wasio na hatia,,,,,,,wamagharibi ni barbarians hawaja staarabika japo wanazuga kama vile wana utuSio kweli iliondoka Kiev baada ya askari wengi kufa, ila baada ya makubaliano ya Instabul March 2022 Urusi wakaiachia Kiev as good will ya makubalianilo ila soon Zelenskyy alienda kwenye media na kuongea tofauti. Unakumbuka ishu ya Bucha?
Hilo eneo dogo tu?watalitapika.Ukraine anaendelea kuimega urusi Kwa Kasi ya umeme
It is reported by Ukrainian sources that the Armed Forces of Ukraine are attacking the village of Zhuravlivka in the Belgorod region and trying to enter the village.View attachment 3071638
Aliahidi lini na wapi?usifanye kila mtu kuwa hana akili yaani urusi ajue anapigana na NATO nzima alafu asema hivyo?Tujikumbushe:
Huyu Superpower wenu wa mchongo si ndio alidai angechukua Kyiv kwa siku 3.Akiingiza vifaru na Magari ya deraya, umbali wa kilometa 60.Sasa vita vimehamishiwa nyumbani kwake 🤔
Acha porojo jana russia wamelalamika sana Ukraine kuingia russia wakasema ni nguvu ya west na sasa wataanzisha vita ya 3 ya nuclear.Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Acha mambo yako bhana...usitaje bikira 72 unanivuruga....! Nataka nife shahidi( nikimpigania Allah) ili nikawale kirafi
Huo ni ukweli media za West zinajaribu kumchora vibaya Putin lakini jamaa yupo smart Sana kuliko West nzima kiuchumi anazidi kurecover kutokana na vikwazo alivyowekewaNa mrusi hapendi kupiga sehemu ambazo raia wapo,,,,alipokua anaingia kiev askari wa Ukraine wakawa wanajificha kwa raia,,,Putin angekua na akili kama za Netanyahu angeua kila mtu pale ,,,,,jamaa anajua anachofanya......ona sasa Hamas kamjambisha kidogo tu Israel akaua hadi raia wasio na hatia,,,,,,,wamagharibi ni barbarians hawaja staarabika japo wanazuga kama vile wana utu
Kinachokuuma nini kama siyo kiherehere tu. Wao wapiganie nchi yao wewe ulalamike eit waache kukuzuga; wewe ni nani. Pambania maisha yako na wewe uache kuangalia mambo ya wenzako tuHii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Mbona na wewe kama unaumia piaKinachokuuma nini kama siyo kiherehere tu. Wao wapiganie nchi yao wewe ulalamike eit waache kukuzuga; wewe ni nani. Pambania maisha yako na wewe uache kuangalia mambo ya wenzako tu
Kumbuka hivi vita sio vya ukreni na urusi ni NATO na ulaya zidi ya urusiKikubwa zaidi alichofanikisha Ukraine huko Kursk ni kupata mtaji wa mateka zaidi ya 3000 huko Kursk 🔥
Hao askari wenye ujuzi wa Hali ya juu Kwa nini wasitumike kukomboa maeneo mengi ya Ukraine yaliyotekwa na Urusi? Utumie askari wenye ujuzi wa Hali ya juu Kwa ajili ya kuteka eneo dogo huku ukiacha kukomboa maeneo mengine yenye km² nyingi. Hizo akili au matope?.
Tena kabla hata ya msaada wowote kutoka nchi za Magharibi, ikiwa inatumia askari wenye ujuzi wa juu,
Babu acha uongo, Russia haijawai kukimbia Kiev bali makubaliano ya Turkey-Mach 2022-chini ya Recep Tayyip ErdoÄŸan, ndiyo yaliyofanya Russia kuhamisha Mashambulizi.Urusi iliingia Kiev, ikakimbia baada ya kupoteza askari wengi, t
Tuletee hapa hiyo plan ya Putin kumaliza vita Kwa siku tatu.ofauti na plan yake ya kumaliza vita ndani ya siku tatu.
Mtaalam mmoja wa vita aliwahi kusema kuwa unapoanzisha vita, unajua itakavyoanza, lakini huwezi kujua itakavyokwisha. Na ndiyo kinachowatokea Russia. Wanajua tarehe waliyoanza vita lakini hawajui itaisha lini na itaisha kwa namna gani.