Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hawatoki wakitoka ni kwenda labda makaburini mwanzo kabla ya Joe Biden 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijasema “wanatuzuga” kwani ugomvi wao haunihusu. Ninaweza kukoment in general terms lakini siwezi kujifanya sehemu Yao kama wewe unavojifanya kuwa na interest hadi kudhani wanakuzugaMbona na wewe kama unaumia pia
Kila mtu na burudani zake tusipangiane we nenda kafanye maombiSijasema “wanatuzuga” kwani ugomvi wao haunihusu. Ninaweza kukoment in general terms lakini siwezi kujifanya sehemu Yao kama wewe unavojifanya kuwa na interest hadi kudhani wanakuzuga
Upo sahihi kabisa....Tatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.
Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.
Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
Halafu Russia haiwezi kupiga makombora ya maangamizi ndani ya ardhi yake. Italazimika kupeleka vikosi vya wapiganaji wake mahiri kukabiliana na wa Ukraine ana kwa ana.Tatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.
Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.
Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
Unaonekana umepanic... Ukweli utabaki ukweli ukrane yuko russia kursk.... Sio mdoto ni kweli[emoji23]Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Ukute hauna hata basic training ya warfare ila upo busy kuchambua.Ukraine mipango ya vita ni F,hyo nguvu aliyotumia hapo Kursk angeitumia kurudisha maeneo yake yaliyotekwa.
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Porojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔Kikubwa kawamega na vita imeimarisha uchumi wake huku nchi nyingi mfano ujerumani uchumi unaporomoka.....Mungu mkubwa......hiii vita hata ichukue miaka 10 zaidi ,,ulaya watakua makapuku kuliko hata urusi
Wacha weee.....cross dresser Zelensky angeweza hayo si angetembea uchi hadi marekaniPorojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔
Mfa majiPorojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔
Kumbe na wewe uko mstari wa mbele! Kwa sasa mmewazingira wote, nini? Tupe habari.Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Watu wanakimbia mchupi wa nandi mkononiPorojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔
Walidanganywa na marekani wakaingia kichwa kichwa hivi sasa wanachinjwa kama kuku.Ukraine mipango ya vita ni F,hyo nguvu aliyotumia hapo Kursk angeitumia kurudisha maeneo yake yaliyotekwa.
Ukweli ni kwamba Putin alisema hapigani vita na Ukraine bali anafanya "Operation" ya kuondoa utawala wa "Neo Nazi" nchini humo kwa muda wa siku tatu (72 hours). Leo ni mwaka wa pili and still counting.....! Je, una ubavu wa kusema Ukraine wanajifaragua au wanapambana!? Kumbuka Urusi aliishawahi kuivamia Finland hivyo hivyo miaka ya nyuma akashindwa kwa aibu!Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Hebu tuwekee hapa hiyo habari ambayo Putin alisema anawaondoa kwa siku 3 na sisi tuione mkuu.Ukweli ni kwamba Putin alisema hapigani vita na Ukraine bali anafanya "Operation" ya kuondoa utawala wa "Neo Nazi" nchini humo kwa muda wa siku tatu (72 hours). Leo ni mwaka wa pili and still counting.....! Je, una ubavu wa kusema Ukraine wanajifaragua au wanapambana!? Kumbuka Urusi aliishawahi kuivamia Finland hivyo hivyo miaka ya nyuma akashindwa kwa aibu!