Walioingia Kursk hawawezi kutoka hata mmoja.Ukraine iwache kutuzuga.

Walioingia Kursk hawawezi kutoka hata mmoja.Ukraine iwache kutuzuga.

Tatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.

Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.

Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
Upo sahihi kabisa....

Ukraine wametumia akili nzuri sana kupeleka vita kwa mvamizi
 
Tatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.

Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.

Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
Halafu Russia haiwezi kupiga makombora ya maangamizi ndani ya ardhi yake. Italazimika kupeleka vikosi vya wapiganaji wake mahiri kukabiliana na wa Ukraine ana kwa ana.

Hicho ndicho Ukraine wanafanya ku-draw out Russian combat forces for a face to face duel badala ya Russia kupiga makombora Kiev na miji mingine nje ya combat zone ili kuwahangaisha Ukraine wakate tamaa ya mapambano. Sasa watalazimika kuelekeza nguvu nyingi kwenye battle front.
 
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Unaonekana umepanic... Ukweli utabaki ukweli ukrane yuko russia kursk.... Sio mdoto ni kweli[emoji23]
 
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.

Vipi mwisho wao bado?
 
Kikubwa kawamega na vita imeimarisha uchumi wake huku nchi nyingi mfano ujerumani uchumi unaporomoka.....Mungu mkubwa......hiii vita hata ichukue miaka 10 zaidi ,,ulaya watakua makapuku kuliko hata urusi
Porojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔
 
Porojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔
Wacha weee.....cross dresser Zelensky angeweza hayo si angetembea uchi hadi marekani
 
Porojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔
Mfa maji
Screenshot_20240817-180923_Telegram.jpg
 
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Kumbe na wewe uko mstari wa mbele! Kwa sasa mmewazingira wote, nini? Tupe habari.
 
Porojo za vijiwe vya kahawa ukishushia na kashata kwa wavaa vipedo, misuli na makobazi huko Buza kwa mpalange. Kursk ipo chini ya Ukraine. Karibu 1200 square kilometers, 82 settlement. Huyo Superpower wenu wa mchongo akomboe hilo eneo kwanza 🤔
Watu wanakimbia mchupi wa nandi mkononi
Screenshot_20240817-181135_Telegram.jpg
 
Hii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Ukweli ni kwamba Putin alisema hapigani vita na Ukraine bali anafanya "Operation" ya kuondoa utawala wa "Neo Nazi" nchini humo kwa muda wa siku tatu (72 hours). Leo ni mwaka wa pili and still counting.....! Je, una ubavu wa kusema Ukraine wanajifaragua au wanapambana!? Kumbuka Urusi aliishawahi kuivamia Finland hivyo hivyo miaka ya nyuma akashindwa kwa aibu!
 
Ukweli ni kwamba Putin alisema hapigani vita na Ukraine bali anafanya "Operation" ya kuondoa utawala wa "Neo Nazi" nchini humo kwa muda wa siku tatu (72 hours). Leo ni mwaka wa pili and still counting.....! Je, una ubavu wa kusema Ukraine wanajifaragua au wanapambana!? Kumbuka Urusi aliishawahi kuivamia Finland hivyo hivyo miaka ya nyuma akashindwa kwa aibu!
Hebu tuwekee hapa hiyo habari ambayo Putin alisema anawaondoa kwa siku 3 na sisi tuione mkuu.
 
Back
Top Bottom