Mzee kama umesikia Alichosema Governer wa Kursk leo ndio utajua bwana PUTIN kabinywa pumbuHii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
IDF iliwachukua siku 2 tu kuwafyeka wanajeshi wote wa Hamas walioingia ndani ya miji ya Israel iweje Putin Leo karibu siku ya 10 bado anahangaika kupambana na wanajeshi wa Ukraine waloko ndani ya Urusi? Inakupa picha Gani hii?Sema ukweli kua lengo la Ukrein halijafanikiwa, Bali Russia kapeleka wanajeshi wengine kabisa, ambao ni Wagner, akhamat na group 0. Nahili limefanya Russia kusonga mbele zaidi maeneo mengine.
Wewe na mtoa mada nani ana mapenzi?Wenzio wanaongelea facts, wewe unaongelea hisia. Uwe unafuatilia mambo kwa weledi siyo kwa hisia na mihemko ya unachokitaka.
Ni kweli kuwa Urusi ina jeshi kubwa zaidi, na bila shaka silaha nyingi zaidi, na pesa nyingi zaidi, LAKINI hiyo haijaondoa ukweli kuwa imeshindwa kuipiga Ukraine. Ndiyo maana unaona kila mara mpaka inafanyika mipango ya kubafilishana askari mateka. Hiyo ina maana kuwa Russia kuna wakati inazidiwa kiasi cha askari wake kujisalimisha.
Tena kabla hata ya msaada wowote kutoka nchi za Magharibi, ikiwa inatumia askari wenye ujuzi wa juu, Urusi iliingia Kiev, ikakimbia baada ya kupoteza askari wengi, tofauti na plan yake ya kumaliza vita ndani ya siku tatu.
Mtaalam mmoja wa vita aliwahi kusema kuwa unapoanzisha vita, unajua itakavyoanza, lakini huwezi kujua itakavyokwisha. Na ndiyo kinachowatokea Russia. Wanajua tarehe waliyoanza vita lakini hawajui itaisha lini na itaisha kwa namna gani.
Taja maeneo gani ambayo hayajashambuliwaTatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.
Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.
Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
Kuna vijitu viongo ongo sana humu ndani aseeeHao askari wenye ujuzi wa Hali ya juu Kwa nini wasitumike kukomboa maeneo mengi ya Ukraine yaliyotekwa na Urusi? Utumie askari wenye ujuzi wa Hali ya juu Kwa ajili ya kuteka eneo dogo huku ukiacha kukomboa maeneo mengine yenye kmΒ² nyingi. Hizo akili au matope?
Babu acha uongo, Russia haijawai kukimbia Kiev bali makubaliano ya Turkey-Mach 2022-chini ya Recep Tayyip ErdoΔan, ndiyo yaliyofanya Russia kuhamisha Mashambulizi.
Russian and Ukrainian negotiators have concluded a round of peace talks, with both sides expressing cautious optimism. Russia says it will reduce some military activity "to increase mutual trust."
Following the announcement that Russia would decrease its military activities around Kyiv and Chernihiv, Russian lead negotiator Vladimir Medinsky clarified that this did not amount to a cease-fire.
Soma hapa kama nitakuwa nimenukuu vibaya.
Tuletee hapa hiyo plan ya Putin kumaliza vita Kwa siku tatu.
ππππ
Nyie wote munajua ila russia hili halijui eeehHalafu Russia haiwezi kupiga makombora ya maangamizi ndani ya ardhi yake. Italazimika kupeleka vikosi vya wapiganaji wake mahiri kukabiliana na wa Ukraine ana kwa ana.
Hicho ndicho Ukraine wanafanya ku-draw out Russian combat forces for a face to face duel badala ya Russia kupiga makombora Kiev na miji mingine nje ya combat zone ili kuwahangaisha Ukraine wakate tamaa ya mapambano. Sasa watalazimika kuelekeza nguvu nyingi kwenye battle front.
Leta ushahidi wa kumaliza vita kwa siku tatu?Ukweli ni kwamba Putin alisema hapigani vita na Ukraine bali anafanya "Operation" ya kuondoa utawala wa "Neo Nazi" nchini humo kwa muda wa siku tatu (72 hours). Leo ni mwaka wa pili and still counting.....! Je, una ubavu wa kusema Ukraine wanajifaragua au wanapambana!? Kumbuka Urusi aliishawahi kuivamia Finland hivyo hivyo miaka ya nyuma akashindwa kwa aibu!
Ahahahahaha!Leta ushahidi wa kumaliza vita kwa siku tatu?
Russia hakushindwa finland nandio maana akamega pande la ardhi akaondoka nalo halaf unasema kashindwa vita
Hata happ ukraine atamega pande la ardhi litakua sehemu ya Russia baadae mutakuja huku mujifariji kama Russia kapigwa kisa kapigana muda mrefu
Pole kijana kama Finland kupokwa ardhi na Russia ni ushindi kwake ngoja na hapo Ukraine apokwe ardhi yake halafu wa kushindwa awe Russia muje kujifariji
Hamas elfu ngapi waliingia israhell kama unavyosema?IDF iliwachukua siku 2 tu kuwafyeka wanajeshi wote wa Hamas walioingia ndani ya miji ya Israel iweje Putin Leo karibu siku ya 10 bado anahangaika kupambana na wanajeshi wa Ukraine waloko ndani ya Urusi? Inakupa picha Gani hii?
Huna ushahidi unaishia kucheka cheka kijanaAhahahahaha!
Hamas hawajawahi kupewa hadhi ya kuwa jeshi japo ni mashujaa katika kupigania haki za wapalestina.IDF iliwachukua siku 2 tu kuwafyeka wanajeshi wote wa Hamas walioingia ndani ya miji ya Israel iweje Putin Leo karibu siku ya 10 bado anahangaika kupambana na wanajeshi wa Ukraine waloko ndani ya Urusi? Inakupa picha Gani hii?
Poleee just fyi Dunia inajiandaa namapinduzi ndani ya Russia muda wowote kutoka sasaHii si mara ya mwanzo kwa Ukraine kujifafagua katika vita utadhani ndio wameshinda.Walitaja mengi kule Kherson na kwamba walikuwa wako karibu kukata njia inayoelekea Crimea kwa kuuganisha bara la bahari nyeusi.Hatimae imekuwa kimya kabisa.Na mengi mengineyo.
Kuhusu Kursk inawezekana kweli kuna askari wamefika lakini wote waliofika hawataweza kutoka tena wachilia mbali kufungua ofisi.
Sema mkuu huyo jamaa hana uwelewa na Dunia π anasikiliza redio mbaoTatizo huna weledi wowote wa masuala ya kivita.
Ukraine imepeleka vita ndani ta Russia ili Russia ipunguze askari ndani ya Ukraine, waende kuilinda Russia. Wanajeshi wa Urusi wakipungua ndani ya Ukraine, inapunguza maafa na kujenga mazingira ya kukomboa baadhi ya maeneo kwa urahisi.
Kwa hilo tayari wamefanikiwa. Ryssia imebudi kuelekeza nguvu zake Kursk. Kwa mara ya kwanza kuna maeneo ya Ukraine ambayo Russia ilikuwa inayashambulia kila siku, lakini kwa sasa yana zaudi ta siku 5 hayajapata shambulio lolote.
Kinyume chake Urusi imewawacha kiporo askari hodari wa Ukraine walioingia Kursk na Kuendelea kuteka eneo la mwisho la Donest.Sema mkuu huyo jamaa hana uwelewa na Dunia π anasikiliza redio mbao
Ahahahahaha!!!Huna ushahidi unaishia kucheka cheka kijana
Ngoja nikupe mfano rahisi labda unaweza kuelewa
Ununue kiwanja jirani namimi halafu mimi nikaja nikaingia sehemu yako na kweli sehemu yako ukazuka ugomvi tukaenda mahakamani miaka na miaka mwisho sehemu yako nikapewa mimi nani atakua kashinda hio kesi
Russia hakupigwa finland kama mnavyotuona watoto mutudanganye pole kijana
Russia haijawahi kupigwa na finlan tutaftie uongo mwengine
πππPoleee just fyi Dunia inajiandaa namapinduzi ndani ya Russia muda wowote kutoka sasa
Sasi kabsa maelezo mujalabu....subili Warusi wa Kilosa waje na povuWenzio wanaongelea facts, wewe unaongelea hisia. Uwe unafuatilia mambo kwa weledi siyo kwa hisia na mihemko ya unachokitaka.
Ni kweli kuwa Urusi ina jeshi kubwa zaidi, na bila shaka silaha nyingi zaidi, na pesa nyingi zaidi, LAKINI hiyo haijaondoa ukweli kuwa imeshindwa kuipiga Ukraine. Ndiyo maana unaona kila mara mpaka inafanyika mipango ya kubafilishana askari mateka. Hiyo ina maana kuwa Russia kuna wakati inazidiwa kiasi cha askari wake kujisalimisha.
Tena kabla hata ya msaada wowote kutoka nchi za Magharibi, ikiwa inatumia askari wenye ujuzi wa juu, Urusi iliingia Kiev, ikakimbia baada ya kupoteza askari wengi, tofauti na plan yake ya kumaliza vita ndani ya siku tatu.
Mtaalam mmoja wa vita aliwahi kusema kuwa unapoanzisha vita, unajua itakavyoanza, lakini huwezi kujua itakavyokwisha. Na ndiyo kinachowatokea Russia. Wanajua tarehe waliyoanza vita lakini hawajui itaisha lini na itaisha kwa namna gani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pro russia hamuamini kinachotokea.... Mamaeee sio nyinyi tu hamuamini bali hata PUTIN mwenyewe haamini kinachotokea.... Ukweli ni kwamba mnajifariji tu ukrane yupo ndani ya Russia na anakiwasha ile mbaya mpaka leo hii russia ameshindwa kukomboa hilo eneo na anazidi kwenda ndichi[emoji1787].... Achana na propaganda jeshi la russia limekili ukrane wanashikilia kursk na wanasonga mbele we nani unapinga huko kibaha kwa Matias [emoji23]Walidanganywa na marekani wakaingia kichwa kichwa hivi sasa wanachinjwa kama kuku.