Walioingia Kursk hawawezi kutoka hata mmoja.Ukraine iwache kutuzuga.

Mzee kama umesikia Alichosema Governer wa Kursk leo ndio utajua bwana PUTIN kabinywa pumbu
 
Sema ukweli kua lengo la Ukrein halijafanikiwa, Bali Russia kapeleka wanajeshi wengine kabisa, ambao ni Wagner, akhamat na group 0. Nahili limefanya Russia kusonga mbele zaidi maeneo mengine.
IDF iliwachukua siku 2 tu kuwafyeka wanajeshi wote wa Hamas walioingia ndani ya miji ya Israel iweje Putin Leo karibu siku ya 10 bado anahangaika kupambana na wanajeshi wa Ukraine waloko ndani ya Urusi? Inakupa picha Gani hii?
 
Wewe na mtoa mada nani ana mapenzi?

Hapo juu umeaema vita ya siku tatu leta ushahidi wa putin kusema vita itaisha siku tatu?

Hapo ukasema kwamba vita unajua unaanzaje hujui itaishaje huu ndio ukweli wavita yeyote

Kuhusiana na wanajeshi kutekwa nijambo lakawaida sana hata mgambo tu pale ghaza wameteka majeshi ya idf

Mwisho ipiganwe vita hata miaka mia suala la ukraine kuishinda Russia musahau na pia nakukumbusha PUT IN alitangaza kwamba SMO ni long term process tunaomba utujuze mjuvi uso mahaba long term process hua ni muda gani?
 
Taja maeneo gani ambayo hayajashambuliwa

Halaf utwambie kikosi gani cha russia kimeondolewa ukraine kikapelekwa kursk kuilinda

Unafatilia mwenendo wa SMO kweli kijana Russian forcce ina advance kila upande huko ukraine na kule kursk wanazi wanasagwa haswaa

Wewe ndio mfuatiliaji na mjuvi wa vita pekee duniani unaeipongeza ukraine kwa alichokifanya kursk

Ngoja muda utatupea majibu
 
Kuna vijitu viongo ongo sana humu ndani aseee

Wanadhani sote tutakua wajinga wakukubali uongo wao
 
Nyie wote munajua ila russia hili halijui eeeh

Halaf huyo russia hayo makombora anayorusha happ kiev anayarusha kwa mkono au

Kukupa tu taarifa juzi kivu watu wamepapapasa vyakutosha tu tena bila upinzani

Mnadhani Russia ni Burundi vijana eeeenh!!?
 
Leta ushahidi wa kumaliza vita kwa siku tatu?

Russia hakushindwa finland nandio maana akamega pande la ardhi akaondoka nalo halaf unasema kashindwa vita

Hata happ ukraine atamega pande la ardhi litakua sehemu ya Russia baadae mutakuja huku mujifariji kama Russia kapigwa kisa kapigana muda mrefu

Pole kijana kama Finland kupokwa ardhi na Russia ni ushindi kwake ngoja na hapo Ukraine apokwe ardhi yake halafu wa kushindwa awe Russia muje kujifariji
 
Ahahahahaha!
 
IDF iliwachukua siku 2 tu kuwafyeka wanajeshi wote wa Hamas walioingia ndani ya miji ya Israel iweje Putin Leo karibu siku ya 10 bado anahangaika kupambana na wanajeshi wa Ukraine waloko ndani ya Urusi? Inakupa picha Gani hii?
Hamas elfu ngapi waliingia israhell kama unavyosema?

Na idf wala haikuwamaliza hamas wote kama unavyotaka kudanganya watu kwenye jukwaa

Idf kama wangewamaliza hamas wote watu wasingeshikiliwa mateka tokea israhell kuelekea ghaza

Muache kutudanganya
 
Ahahahahaha!
Huna ushahidi unaishia kucheka cheka kijana

Ngoja nikupe mfano rahisi labda unaweza kuelewa

Ununue kiwanja jirani namimi halafu mimi nikaja nikaingia sehemu yako na kweli sehemu yako ukazuka ugomvi tukaenda mahakamani miaka na miaka mwisho sehemu yako nikapewa mimi nani atakua kashinda hio kesi

Russia hakupigwa finland kama mnavyotuona watoto mutudanganye pole kijana

Russia haijawahi kupigwa na finlan tutaftie uongo mwengine
 
IDF iliwachukua siku 2 tu kuwafyeka wanajeshi wote wa Hamas walioingia ndani ya miji ya Israel iweje Putin Leo karibu siku ya 10 bado anahangaika kupambana na wanajeshi wa Ukraine waloko ndani ya Urusi? Inakupa picha Gani hii?
Hamas hawajawahi kupewa hadhi ya kuwa jeshi japo ni mashujaa katika kupigania haki za wapalestina.
Wangekuwa jeshi basi Israel haina uwezo kupambana nao na isingechukuwa miezi 10 kabla mayahudi kurudishwa kwao Ulaya.
 
Poleee just fyi Dunia inajiandaa namapinduzi ndani ya Russia muda wowote kutoka sasa
 
Sema mkuu huyo jamaa hana uwelewa na Dunia 😊 anasikiliza redio mbao
 
Sema mkuu huyo jamaa hana uwelewa na Dunia 😊 anasikiliza redio mbao
Kinyume chake Urusi imewawacha kiporo askari hodari wa Ukraine walioingia Kursk na Kuendelea kuteka eneo la mwisho la Donest.
Hii leo Ukrain wanalia na kujutia uamuzi wao wa kuingia Kursk
 
Ahahahahaha!!!
 
Sasi kabsa maelezo mujalabu....subili Warusi wa Kilosa waje na povu
 
Walidanganywa na marekani wakaingia kichwa kichwa hivi sasa wanachinjwa kama kuku.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pro russia hamuamini kinachotokea.... Mamaeee sio nyinyi tu hamuamini bali hata PUTIN mwenyewe haamini kinachotokea.... Ukweli ni kwamba mnajifariji tu ukrane yupo ndani ya Russia na anakiwasha ile mbaya mpaka leo hii russia ameshindwa kukomboa hilo eneo na anazidi kwenda ndichi[emoji1787].... Achana na propaganda jeshi la russia limekili ukrane wanashikilia kursk na wanasonga mbele we nani unapinga huko kibaha kwa Matias [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…