Na sisi wa la pili D tusemaje mkuu?Nimeishia la saba b lawyer ndio nini
Kampala international university in TanzaniaKIUT ndiyo chuo gani hicho?
Kanyamwi cheupe dawa bwanaKampala international university in Tanzania
Unamsaliti ephen_ mkuuKanyamwi cheupe dawa bwanaView attachment 3075695
Wajinga huo mfumo wangeweza pata billions of money kwa kuuzia kampuni kubwa duniani za mifumo ya computersKizimbani kufanyaje tena? Chuo ndio kinapaswa kujitafakari na mifumo yao weak pumbafu kabisa.
π€£π€£Hukuwa hiviKanyamwi cheupe dawa bwanaView attachment 3075695
Ni kweli, mchawi mpe mtoto akuleleeHao Jamaa inatakiwa wapewe ajira ili wazuie majambazi wengine sio kupelekwa mahakamani teknolojia haizuiliki kwa kwenda mahakamani
Mimi ni baba yako ,kuwa na adabu ka nyamwiππ€£π€£Hukuwa hivi
Baba which... where..?π€£Mimi ni baba yako ,kuwa na adabu ka nyamwiπ
Ongezea na kwani kwani haipitiπππBaba which... where..?π€£
Nini haipiti hiyooo...?πOngezea na kwani kwani haipitiπππ
Hahahaha wewe unaona ni nini?Nini haipiti hiyooo...?π
Sioni kituπHahahaha wewe unaona ni nini?
Ona chap halafu niambie πSioni kituπ
Khee π (Hiko ki emoji kimekaa kimkakati)Ona chap halafu niambie π
Weeee na mdigo wangu nimwachie naniπ π ..??Nataka nilete ng'ombe 100 nikuchukue tena