zink
JF-Expert Member
- Sep 18, 2021
- 1,208
- 2,352
Unamuweka pending kwa mda tu mkuu. mambo sio magumu kiihvyo.Weeee na mdigo wangu nimwachie nani😅😅..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuweka pending kwa mda tu mkuu. mambo sio magumu kiihvyo.Weeee na mdigo wangu nimwachie nani😅😅..??
Mwambie kuna nafasi ya watatu tu kesi clozidi🔨Weeee na mdigo wangu nimwachie nani😅😅..??
Bila shaka amesikia...Tena na huyu WA 3 bado sija m-enrol ...Mwambie kuna nafasi ya watatu tu kesi clozidi🔨
Si ndio mimi ?Bila shaka amesikia...Tena na huyu WA 3 bado sija m-enrol ...
Weeee... mwenyewe anajijua😅😅Si ndio mimi ?
Jinai ni jinai. Wakienda jela watasaidia mifumo ya magereza isihackiweHao Jamaa inatakiwa wapewe ajira ili wazuie majambazi wengine sio kupelekwa mahakamani teknolojia haizuiliki kwa kwenda mahakamani
Nishamjuaa huyoWeeee... mwenyewe anajijua😅😅
Najua hilo , ila nipo nipo nasikilizia kwa ukaribu tu😋Bila shaka amesikia...Tena na huyu WA 3 bado sija m-enrol ...
Mwendo wa kuzungukana tuNajua hilo , ila nipo nipo nasikilizia kwa ukaribu tu😋
Utajua mwenyewe bwashee😁Mwendo wa kuzungukana tu
Ungekuwa mtu WA Kanda ya ziwa hukoo ngesha ku enroll muda tu😂Najua hilo , ila nipo nipo nasikilizia kwa ukaribu tu😋
Hatokii mtu hapa mpaka kieleweke.Utajua mwenyewe bwashee😁
Kwanza anasema zamani ipi...?😂😂Mkuu sisi ni wale wa zamani tu , sema tumeamua kuendana na wakati unavyotaka , hii ni busara ya hali ya juu mno😁
Kitambulisho ulipataje ?KIUT iliwahi kudukuliwa mfumo WA malipo nakumbuka sikulipa tuition fees hiyo semister
Zamani za Pamela na kipiniKwanza anasema zamani ipi...?😂😂
Kwenye list ya "cleared"nilikuwepo..ila skuwa nimelipaKitambulisho ulipataje ?
Wazee tuliharibu taifa kwa matumbo yetu kama mifuko, leo hii tuna laumu gen zii hawaandamani🤔Tunawasubiri wazee wa jf mukuje.
Umepiga kwenye mshono mkuu. nashangaa sijui hawaoni hao wazee wao wanavyo vuruga nchi yetu wapo kimya.Wazee tuliharibu taifa kwa matumbo yetu kama mifuko, leo hii tuna laumu gen zii hawaandamani🤔