Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipata share nasi mkuuWatu tuliotwa IT officer tupeane maswal tafadhali
Ukipata nitagWatu tuliotwa IT officer tupeane maswal tafadhali
Basi hapo tayri umefail rudigi home. Kwamba hujui hata masomo uliyosomea?. Kwa kheri....Ukada wa nini tena?
😁msaidie tu aisee hali ni ngumuBasi hapo tayri umefail rudigi home. Kwamba hujui hata masomo uliyosomea?. Kwa kheri....
Mkuu sio kwa kumbeza, ila kama jamaa ameitwa na ni mbali na mkoa anaoishi ukijumlisha na nyomi la waliotwa, inapaswa ajiangalie mara mbiliBasi hapo tayri umefail rudigi home. Kwamba hujui hata masomo uliyosomea?. Kwa kheri....
Duh ila hawa watu Hr nafasi 3 walioitwa zaidi ya buku why?
Nasikia kama majina yako yanachangamoto bila deedpoll hutoboi
Inafikirisha sana yaan wamefanyaje fanyaje mpaka hizo nafasi 3 zipate watu zaidi ya 1000 wa interview waseme mapema kama wameongeza au tupige chini tu kwa msemo wako lisije likawa chaka lao la posho.Piga chini
Inafikirisha sana yaan wamefanyaje fanyaje mpaka hizo nafasi 3 zipate watu zaidi ya 1000 wa interview waseme mapema kama wameongeza au tupige chini tu kwa msemo wako lisije likawa chaka lao la posho.
Sio kubadili majina wengine shule ya msingi tuliandikishwa majina 2 na secondary hadi vyuo ila tulipoenda kujiandikisha NIDA wakataka majina 3 unaona ilo jambo mzeeLazima majina ya vyeti yaendane na majina ya kwenye kitambulisho chako yakiwa tofauti ni shida,ila kwanini mnapenda kubadilisha majina?
Mi hata sielewi hapaDuh nafas 1 inagombewa na watu mia3.
Au wanataka wakapige picha watu tu.
Sorry mkuu nilikuwa natania tu sikuwa seriousMkuu sio kwa kumbeza, ila kama jamaa ameitwa na ni mbali na mkoa anaoishi ukijumlisha na nyomi la waliotwa, inapaswa ajiangalie mara mbili
Sio kubadili majina wengine shule ya msingi tuliandikishwa majina 2 na secondary hadi vyuo ila tulipoenda kujiandikisha NIDA wakataka majina 3 unaona ilo jambo mzee
wametuma lini mkuu mbona yangu sioni