Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

HaPA ukiwa unamkunja wife lazima watoto wasikie mama yao anavyolia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaaaaaa, jamani. Inabidi uwe unamla denda wife asipige kelele. Pia watoto wakifikisha miaka 10 waende kukaa kwa bibi wasomee huko.
 
Hahaaaaaa, jamani. Inabidi uwe unamla denda wife asipige kelele. Pia watoto wakifikisha miaka 10 waende kukaa kwa bibi wasomee huko.
ah watoto wakake kwa bibi tena ya nini hayo kuwapa majukumu wazee wakati starehe mwala nyie vijana. kinachohitajika ni mpangilio mzuri tuu wa masterbedroom kwenye ramani ya nyumba. masterbedroom iwe imejificha hukooooo
 

Mie nimepata fundi Tofali za chini 200 za juu 300


Sikujua kumbe mpaka mchanga na kokoto Una madalali!!

Halafu usikubali kuletewa mchanga/kokoto usiku

Wale Jamaa wa magari wana sehemu wanapita wanapunguzia
 
ah watoto wakake kwa bibi tena ya nini hayo kuwapa majukumu wazee wakati starehe mwala nyie vijana. kinachohitajika ni mpangilio mzuri tuu wa masterbedroom kwenye ramani ya nyumba. masterbedroom iwe imejificha hukooooo
Ukiwa na pesa master bedroom inakaa mbali kabisaaa. Sasa uchumi wa kuungaunga ni shida
 

Nipo kwenye field ya paints(finishing)

Aisee maboss wanaibiwa mpaka kuna muda unatamani kumshtua Ila ndo ugali wa mtu
 
Ukiwa na pesa master bedroom inakaa mbali kabisaaa. Sasa uchumi wa kuungaunga ni shida

Kwangu master bedroom haihusiani na room za watoto

Huko nimeweka na private room ndogo hivi itafaa Kama library au sehemu ya kutulia mwenyewe.

Nadhani haina uhusiano na uchumi
Manake gharama ni Ile Ile kikubwa ni majadiliano na mchora ramani/fundi
 
Ukiwa na pesa master bedroom inakaa mbali kabisaaa. Sasa uchumi wa kuungaunga ni shida
yaani ni majanga sana sasa bora ata huo uchumi unakuruhusu kuwa na masterbedroom...wale wanaopanga chumba kimoja na watoto humo humo inakuwaje wakati wa kugegeda mbususu
 
Kwangu master bedroom haihusiani na room za watoto

Huko nimeweka na private room ndogo hivi itafaa Kama library au sehemu ya kutulia mwenyewe.

Nadhani haina uhusiano na uchumi
Manake gharama ni Ile Ile kikubwa ni majadiliano na mchora ramani/fundi
Na prayer room umeweka. Ila mkuu uchumi unaplay part maana umeongeza Kuta/tofari/cement/mchanga/nyaya n.k
 
Ah wee bwana mambo ya kuishia katikati mie sitaki nataka kwanza nikiingia breki ya kwanza nipo kwenye bati.

Dah ila m3 mzeya nyingi hapo nilishapiga threesome kama kumi hivi. Mhm wacha tuu hicho kiwanja kikaage wazi.
Ila we jamaa akili zako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
pambafff sana
 
Ila we jamaa akili zako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
pambafff sana
sasa jamani uliona wapi mzinzi akawa na akili nzuri 🀣🀣🀣🀣🀣.
mbususu tamu ila inapunguza uwezo wa mwanaume kufikiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…