witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Nawazoom[emoji16][emoji16]Bora kobe anayetembea na nyumba yake hataki umbea kabisa yule mchizi [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawazoom[emoji16][emoji16]Bora kobe anayetembea na nyumba yake hataki umbea kabisa yule mchizi [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajenga gorofa kwa nondo za scrap yard[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyumba sio kitu unaweza jenga kila mwaka so mambo ya kuwa cheaper sijui nondo ambazo zipo scraping yard utakuja kulia pale nyumba itakapoanza kupasuka ni bora kuwa mvumilivu na kutumia bidhaa zenye ubora unaotakiwa … kumbuka labda hiyo ndio nyumba pekee utayoweza jenga Maisha yako yote
heheheeeeejan hiyo[emoji123]
umefurahi ehh mkuuheheheeeee
naomba kujua umetumia gypsum powder ngapi kuskim ndani, na nje white cementi ngapi , rangi whether guard ndoo ngapi na nyeupe ya ndani ndoo ngapi. Pia rangi ya maji ndoo ngapi kwa ajili ya kuskimmia na undercoat.Boss hapo navuta nguvu niweke wiring ndo nifunge bod na vigae also aluminium za madirisha.
Unaweza ona kazi bado boss wangu View attachment 2041323
Asante Sana mkuuHongera sana mkuu. Natumaini utamalizia mwakani 2022 Mungu akujalie
Na shimo la choo au1 master room, 2 bed rooms, Kitchen, dining, sebule, public toilet! Location mbezi dsm nmeanza oktoba 2021 hadi hapo 10m imekata. View attachment 2037971
Kuinua boma hela ya ufundi shingapi?1 master room, 2 bed rooms, Kitchen, dining, sebule, public toilet! Location mbezi dsm nmeanza oktoba 2021 hadi hapo 10m imekata. View attachment 2037971
Vitu gani hivyo mkuu ambavyo uliviepuka?Mm ni mhandisi so fundi kwangu ilikua rahis kumcontrol na nlimlipa hela yke bila kumlalia sana! Na pia kuna baadhi ya vitu uwa vinaongeza gharama ya ujenz so nlijitahid kuviepuka as possible.
Tunaomba Raman mkuuHaikuwa kazi rahisi, Nilianza January
Ni nyumba ya vyumba 3, dinning, sitting,public toilet na store
Ishaaalah August 2022 nitafunga mahesabuView attachment 2038646
Sijaelewa yaani fundi kuinua boma laki4 au umekosea au laki4 ya ufundi ganiSiwezi kusema exactly imetumika Tsh ngapi ila ni around 30m.
Kuna wakati nilikuwa siandiki kila kitu. View attachment 2039249
KwaniniKumbuka..fundi sio mjomba wako..USIMCHEKEE CHEKEE..usiwe na mazoea nae..
Epuka kuchukua fundi ndugu yako
Fundi ulimlipa shingapi wa kujengaMimi nlianza September mwishon nyumba yenye 3bedroom including master,sebule,jiko na dinning.Nilisimamia mwenyewe kwa kununua material na kushinda site..ad kufunga linta na kupandisha coz tatu za juu nlitumia 10m
Mkuu raman ya hii nyumbaView ya mbele iko namna hiiView attachment 2043510
Nashindwa kuifungua mkuu sijui shida nn niki click inaleta majukwaa ya jfHiyo hapo bossView attachment 2073071
Hizo sio exactly hesabu za ujenziSijaelewa yaani fundi kuinua boma laki4 au umekosea au laki4 ya ufundi gani
Najaribu kutafuta namna nyingine ya kukutumia maana ukitumia option ya kua attach ndo inakuwa hivyoNashindwa kuifungua mkuu sijui shida nn niki click inaleta majukwaa ya jf
Kwa pichaNajaribu kutafuta namna nyingine ya kukutumia maana ukitumia option ya kua attach ndo inakuwa hivyo
Jumla fundi ulimpa ngapiHizo sio exactly hesabu za ujenzi
Nimejaribu kuonesha baadhi ya hesabu nilizoweza kuandika ila sio zote
Fundi alikuwa analipwa kwa awamu
Hiyo laki 4 ni moja ya malipo aliyolipwa fundi