Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

watu wanawachukulia poa, wale ni matapeli na wezi, wana mbinu za ziada kumuibia mteja wao wakishirikiana na wenzao wa kiume, hupanga fumanizi feki endapo wameona mteja ana fedha na vitu vya thamani. Kahaba atawasiliana kinamna na matapeli ya kiume yaje chumbani kufumania kuwa unakula mke wa mtu. Mwenye mke feki atachachamaa na kutoa vitisho, vinginevyo myamalize chumbani utoe hela zote na vitu vya thamani unavyotembea navyo kama simu, saa, mikufu ili mambo yaishe kimyakimya ubaki salama
Wezi Matapeli Wanyang'anyi uwe makini sana unapokutana na wale watu nyuma wana watu wao wanawaita sungusungu yaan bora ubebe ukamtombee hotel unayoijua huko utafaidi wala hatolia ongeza hela utatomba unavyotaka
 
Wasalaam!
Baada ya Mkuu wa wilaya ya ubungo kuendesha zoezi la kukamata watu wanojiuza na wanao daiwa kununua makahaba wilayani humo!

Baadhi yao wamedai kufatwa nyumba za kulala wageni na kwenye vyumba vyao na kukamatwa wakituhumiwa kufanya biashara ya ukahaba uku wakidai kuwa wamesingiziwa na kudhalilishwa kwani walikuwa wamelala na wengine walikuwa na wapenzi wao wamepumzika!

Wameeleza kuwa wanajipanga wiki hii kufungua Mashitaka dhidi ya Mkuu wa wilaya binafsi na sio ofisi ya Mkuu wa wilaya kwani wao wanadai kuwa Mkuu wa wilaya ndio alikuwa ana washurutisha jeshi la polisi kuwadhalilisha na waandishi kuwapiga picha na wao hawakupewa nafasi ya kujieleza bali waliunganishwa na makahaba kwenye karandiga!

Wengine wamedai kuwa walikuwa wamelala ili kesho warudi kwa familia zao mikaoni wanashangaa kudhalilishwa na kufedheshwa na Bwana Yahaya aliyejitambulisha kama mkuu wa wilaya!

Wamesema wamesha waambia mawakili wao kumuandikia barua ya kumtaka mkuu wa wilaya kuwasafisha mbele ya jamii kama alivyo wadhalilisha na baada ya siku saba watafungua kesi ya madai dhidi ya Bwana Yahaya na baadhi ya polisi waliokuwa kwenye lile tukio!

N:B Mh Rais alishasema kama mkuu wa wilaya au mkoa akitumia madaraka vibaya yatakayomkuta yanamuhusu yeye sio serikali!
Ukute baadhi Yao wana ndoa zao halali na moto umewaka uko, sasa kwakuwa wamehusishwa na kadhia hiyo; wanajaribu kunusuru ndoa na heshima zao mbele ya jamii Kwa kumshitaki Mkuu wa Wilaya! Hata hivyo, uchunguzi kabambe ufanyike, ikibainika mkuu wa Wilaya alikosea basi Mamlaka ya uteuzi pamoja na mahakama zimchukulie hatua.
 
Wananunua Makahaba, Wameacha Familia Zao Zinateseka...!

Wanaenda Kumshitaki Mkuu Wa Wilaya.. SERIOUS.!

Nawashauri Wawe Wapole.... Hiyo Mahakama itakuwa inajaa Watu Kuwashuhudia Wanunuaji Wa Makahaba...
Wewe ni mke wa mkuu wa wilaya ? Mbona kama unaweweseka. Una udhibitisho gani wote waliokua vyumbani wamenunua makahaba au wamelala na makahaba?! Je sheria gani za nchi zinasema mkuu bogus wa wilaya avamie vyumba vya kupumzikia watu na kuwachukua waliopumzika..jitahidi uje mahakamani au mwambie mumeo aje pasi na kutokosa.
 
Ukute baadhi Yao wana ndoa zao halali na moto umewaka uko, sasa kwakuwa wamehusishwa na kadhia hiyo; wanajaribu kunusuru ndoa na heshima zao mbele ya jamii Kwa kumshitaki Mkuu wa Wilaya! Hata hivyo, uchunguzi kabambe ufanyike, ikibainika mkuu wa Wilaya alikosea basi Mamlaka ya uteuzi pamoja na mahakama zimchukulie hatua.
Wapunguze utapeli
 
Ila Kiukweli, Mimi hao Waliodhalilishwa mpaka Muda huu Sijawajua Bado...!

Embu Wajitokeze Basi Hadharani tuwatambue....hao Wanunuaji Wa Makahaba...

Vitu vingine bwana... Kila unavyojitetea ndo Unajichoresha Zaidi...!
Hujui sheria zinavyofanya kazi ndio maana politician taking advantage ya watu kama nyie ambao ndio wengi, hao wapuuzi wakianza kutumia pesa zao kulipa mawakili na kushindwa kila kesi wataheshimu sheria na watajua hawana nguvu yeyote juu ya wengine
 
Wezi Matapeli Wanyang'anyi uwe makini sana unapokutana na wale watu nyuma wana watu wao wanawaita sungusungu yaan bora ubebe ukamtombee hotel unayoijua huko utafaidi wala hatolia ongeza hela utatomba unavyotaka
wana tabia ya kutaka uwatombee uchochoroni, halafu staili ya kuinama. Staili ya kuinama si nzuri kwa wenye vibamia labda uwe kama punda angalau nusu utaingiza japo hutaendelea utaambiwa tayari hela yako imeisha
 
Sanduku la kura CCM wanaiba kila siku, sasa ngoja tutumie sheria, mahakama na majaji wasomi wanaopenda haki kukomesha wanaojiona wako juu ya sheria especially wanasiasa uchwara kama huyo mkuu wa wilaya
 
Mbwa wale Wezi Matapeli wa mapenzi hawafai hata kuwaona
Tutafute hela ikitokea mtu unaitaj starehe kama.hizo basi unaweza kusafiri nje ya nchi huko ukutane na vitu vikali spesho wanaojua kuvaa classic wanaonukia vizuri, wengine hata sio.makahaba,basi tu wanataka one night stand, wengine wana ndinga zao na pesa pia, wanaitaj kampan mpya tu, kitu mnato, wanaishi kwenye majumba ya kifahari,..ni pesa tu ukiwa nazo utapata access ya kuujua ulimwengu na starehe zake zilizo safi,, tuache kukimbizana na hawa wa huku wanuka mavi.mikojo, matiti yaliyolala kama malapa, wasiojua kuvaa, wanaonuka jasho, wasiojua kuoga na wasiojua care, matapeli na manyani wenye sura mbovu.
 
wana tabia ya kutaka uwatombee uchochoroni, halafu staili ya kuinama. Staili ya kuinama si nzuri kwa wenye vibamia labda uwe kama punda angalau nusu utaingiza japo hutaendelea utaambiwa tayari hela yako imeisha
Na hapo anakunja Mguu mmoja ila sijawahi kuelewa kwanini wanakunjaga Mguu mmoja Mbwa wale
 
Tutafute hela ikitokea mtu unaitaj starehe kama.hizo basi unaweza kusafiri nje ya nchi huko ukutane na vitu vikali spesho wanaojua kuvaa classic wanaonukia vizuri, wengine hata sio.makahaba,basi tu wanataka one night stand, wengine wana ndinga zao na pesa pia, wanaitaj kampan mpya tu, kitu mnato, wanaishi kwenye majumba ya kifahari,..ni pesa tu ukiwa nazo utapata access ya kuujua ulimwengu na starehe zake zilizo safi,, tuache kukimbizana na hawa wa huku wanuka mavi.mikojo, matiti yaliyolala kama malapa, wasiojua kuvaa, wanaonuka jasho, wasiojua kuoga na wasiojua care, matapeli na manyani wenye sura mbovu.
Mkuu umesema ukweli kabisa Ila zilikua harakati zangu za kusavei nini kinachoendelea huko ni huko nje unaposema pia ni suala zima la savei n risechi
 
Back
Top Bottom