igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 957
- 1,496
Samahani mkuu, unaongelea sayansi hii hii inayofundishwa kwenye shule za hapa Tanzania?Sayansi huijui inatumika zaidi kwenye application mfano uliotoa hayo mahesabu mwisho wa siku unayatumia mfano kujenga majengo, kuunda ndege na mitambo nk hayapo hapo kwa ajiri ya kukaririwa ndio maana lazima kuwa ili nitengeneze meli ielee na isizame mahesabu ya kila eneo yaweje nk ndege ili iruke mahesabu yake ya kila eneo yaweje
What the hell yo talkin about? Aircrafts na automobile eng's unaziachaje sasa? Yo ain't seriousKuna Degree za science hazina issue, Degree zenye issue za science night Udaktari, pharmacy, nursing,lab tech,
ona kilaza huyu za sayansi zipo nyingi ndo maana wapo mtaani na hao sayansi wanapangiwa mpaka mishahara na artsUongo inattegemea ulichosoma. masomo ya sayansi hakuna kukariri lazima uelewe ulichosoma
Degree za Arts zifutwe
Misomo ya Arts ni aibu kwa nchi ndio inazalisha watu wa kukariri huwezi soma digriii ya engineering au udaktari ukafaulu kwa kukariri
Na huwezi soma combination za sayansi kama PCB, PCM ukafaulu kwa kukariri
kaangalie ellon musk je kasoma engineering hunaunalojua. ni kwamba miaka fulani utakuja soma formular za umeme ambazo kagundua yeye na hajawai kusoma yaani sayansi unasoma maono ya watu na wanasayansi wengi ndo wanaongoza kukariri kama wasomi wa history tuSayansi huijui inatumika zaidi kwenye application mfano uliotoa hayo mahesabu mwisho wa siku unayatumia mfano kujenga majengo, kuunda ndege na mitambo nk hayapo hapo kwa ajiri ya kukaririwa ndio maana lazima kuwa ili nitengeneze meli ielee na isizame mahesabu ya kila eneo yaweje nk ndege ili iruke mahesabu yake ya kila eneo yaweje
Bravoo. Big up broo. Tukirudi mitaani hakuna degree ambayo ni better than nyingine kwenye swala la utafutaji, Ila akili yako ya maisha tu ndo itakuweka mtaani na itafanya uendelee kuishi.Mkuu ni Kama Mimi kwenye kampuni yetu kazi zilivyoisha si hatukupewa malipo yetu yoyote Yale Sasa unatoka huko mtupu huna pa kuanzia na Mimi nimesomea civil engineering nilichofanya nilikuwa na viela kidogo nikaanzisha mradi wa Kuku Kama 20 hivi na badaye nikakusanya vijana wanne nikaanzisha kikundi Cha watu 5 tukaomba mkopo halmashauri tukapewa milion 4 na tulivyopewa tukauendeleza huo mradi kwa kuongeza Banda kubwa na Kununua Kuku wakafika 300 tumeendelea nao hao Kuku Kama miezi sita hizi tukarudisha huo mkopo wa mil 4 ila watu huku mtaani bado wakawa wananikebehi kwamba na degree yangu nitafugaje Kuku Yani ilikuwa shida aisee na baada ya kurudisha mkopo tukapewa Tena saivi mkopo wa mil 10 na saivi tumenunua mashine za kutengenezea mkaa wa kisasa unaotokana na mabaki ya mimea Naona kwa Sasa wametulia sio Kama awali niliyokuwa nafuga Kuku aisee Yani wasomi huku mtaani tunadharaulika Sana kama tukifanya kazi ambazo wengine wa mitaani wanafanya.
Labda hujanielewa mkuu, sina wivu, m wivu wa Nini Sasa hapo darasani nimepiata. Kila mtu anasomea kitu anachokipenda. Ndio maana Kuna taaluma nyingi za kusomea.wivu huu wa aliesoma darasani
Yanini makasiriko?
Wewe umempita kwenye kupasua mawe.yeye kakupita darasani,utampita kwa hela ,yeye atakuja kukupita kwa madaraka,etc
Huwezi kua wa kwanza kwenye kila kitu,kila mtu ana uwezo tofauti na mwenzake
Wewe usidhani hako kauwezo kako ka kupasua mawe umemshinda ndio utamshinda kila kitu dunia hii,you are wrong you dummy!
Sasa c unakuta sio wote wanaobahatika kuajiriwaKipanga anakuwaje na maisha mabovu, labda kama kuna bahati mbaya kama kuugua ilimtokea huko njiani......vipanga mara nyingi ndo wanabaki kuelimisha vyuo vikuu hadi wanakuwa madaktari na maprofessa, zaidi wanakuwa kwenye academics au kazi nyingine za kuajiriwa........fursa zao zipo wazi sana ukilinganisha na vilaza ambao mara nyingi wanategemea connection, wakati kipanga uwezo wake unamuuza......
Mkuu mtu ambaye ni kichwa hawezi kukosa fursa, labda kama kuna mambo ya miziziology.......Sasa c unakuta sio wote wanaobahatika kuajiriwa
Kukariri ndiyo msingi wa kuelewa. Nina maana huewezi kuelewa bila kukaririiimkuu yale ma arrhenious law yanaeleweka kweli?? Mfumo wa elimu ya kibongo n wa kukaririshwa mkuu, hakuna kuelewa jambo.
Hata huko udaktarini pia n ukaririshwaji wenye ahueni. Kama ulisoma huo udaktari bila shaka ulipitia ishu kama drancuculus medinences.... Hawa microorganisms ulikaririshwa na si kuwaelewa.
Uhasibu nao kuna kukariri?Percent ya kukariri ni ndogo huwezi linganisha na mtu aliyesoma digriii ya history au sheria au administration au uhasibu nk
Sehemu kubwa lazima uelewe kwenye digriii ya udaktari
Yes hawezi kukosa fursa hapo nakubali, issue ni kwamba tunategemea kwenye kuajiriwa tu.Mkuu mtu ambaye ni kichwa hawezi kukosa fursa, labda kama kuna mambo ya miziziology.......
Nafikiri mafanikio au kufanikiwa maishani kupo katika maana nyingi. Na hutofautiana na malengo au maono ya mtu, Hali ya kitamaduni na kijamii, kidini, kisiasa kiuchumi n.k. hivyo inategemea ww au mtu anatafsiri katika nyanja ipi.Hivi ni ipi maana halisi ya mafanikio au kufanikiwa maishani..?
Duuuhh Nafikiri ww ndo unamatatizo mkuu kwa kutoa assumption kwenye maisha ya watu wengine. Sijawahi kua bulled kwa kusoma arts. Na Wala sijawahi kuipenda science tokea nasoma secondary.Nishaelewa tatizo lako
Una inferiority
Wewe unadhani you are out here to prove waliosoma science kwamba na wewe unajua science
Thats your own problem,sio tatizo lao
Wewe umesoma arts imekuuma sana na upo hapa duniani kuwaprove waliosoma sayansi kwamba eti na wewe ni mwana sayansi fulani
Hizo juhudi za kutafuta validation ndio zitakuchosha na hazina maana kwa yeyote maana they even dont pay attention on you.
Wewe kusifia watu wanaotafuta kipato kwa kufuga kuku ni unapoteza muda wako kusifia wanadamu wanaofanya their basic job ya ku-survive in this world...
Tatizo ulisoma arts,na ulisomea ualimu....ambapo ulikua hupendi hiyo arts to begin with na pia hupendi ualimu..
Umetafuta njia ya ku-escape those realities ukajikita kwenye kazi za sayansi sababu you constantly compare yourself with scientists waliokua wanaku-bully ulipokua unasoma arts
Tatizo lako hasa ni psychological ya kusomea vitu ambavyo ulikua huvipendi
Upo hapa kutuonesha kwamba although ulisoma arts you also belong to scientists sababu kuna vikazi vya sayansi unavijua
Unatafuta uonekane wewe ni scientist au engineer wala sio arts teacher..Identity crisis unayo
Mkuu sio kwa ubaya, naomba nije PM. Namimi nimesoma mambo ya Marine, na natafuta michongo majuu, kama utaniunganisha na "mwana" ili anipe ABC'sIla bwana inategemea unasoma kitu gani? Kuna dogo kasoma marine huko kamaliza novemba, februari kala shavu huko umangani. Pesa aliyokusanya miye nikichukua mkopo nalipa miaka mitatu au mitano.
Mkuu Sky Eclat naomba leo nikupige msasa kidogo.... (sio kwa ubaya)Wewe unafahamu wwzazi wanavyopata shida kusomesha watoto mpaka wanahitimu degree ya kwanza, leo hii unasema taaluma nyingine zianzie kwenye shahada ya uzamili nani atagharamia?
Kwanini nchi za Ulaya imewezekana kwetu ishindikane? Tuangalie ubovu uko wapi katika utoaji wa elimu yetu.
Wanaobishana ni wale waliokariri wakahisi wameelewa.Watu wanajua sayansi hakuna kukariri hahahahah. Kuanzia Engineering hadi u daktari ni kukariri mwanzo mwisho.......sema tu ni kukariri wenye nafuu