Waliomaliza Form Four 2013 Njooni Hapa Tusalimiane !

Dah mi mwenyewe nasoma pre pcm ilimradi kujiprotect maana jamaa hawaaminiki,mtu unaweza ukarest nyumbani ukiwa na matumaini yako ya kuchaguliwa tech hlfu mwisho wa cku unasikia umepelekwa f5 dah ila hapo lzma ukorogeke kidogo maana ukiangalia wenzako walipofikia na ww ndo kwanza huna ki2 afu tena unakuta muda ushaisha wa kwend kuanz tuit
 


Ndo ivyo kaka !

Hawa jamaa uki waamini tu tayari unafanya mistake !
 
Arabic ulisoma wapi? Aiseee hii nchi

Unashangaa arabic Tanzania hii?? Hushanngai kifaransa na mpaka kuna biblia za kichaga (kimarangu)!!
International School nyingi tu mpk kireno Spanish svensca vinafundishwa.
 
Nilikua napiga pindi zangu za HKL mpaka sasa nimeshakata tamaa.
Au hawa jamaa wanataka tuandamane nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…