Waliomkimbia Magufuli na kujenga wazo la kurudi baada ya Samia kuwa madarakani, wamefuta wazo la kurudi sababu as time goes on tyranny rule dominates

Utawala wa kiimla hauwezi kuondoka hapa nchini mpaka Katiba iliyopo sasa hivi itakapoondoka.
Huu ndio ukweli mchungu.
 
Hao wameolewa huko na mabwana zao na wewe kama unataka nenda ukaolewa mkuu utuachie nchi yetu wewe mwanasheria wakubumba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…