Waliompiga mawe Askofu Gwajima kuhusu sintofahamu ya chanjo, njooni hapa. Mtalipa fidia gani kwa waathirika wa chanjo?

Waliompiga mawe Askofu Gwajima kuhusu sintofahamu ya chanjo, njooni hapa. Mtalipa fidia gani kwa waathirika wa chanjo?

Kwahiyo hayo madhara ya chanjo ndio hayo aliyoweka Hapo kwenye kivideo Cha YouTube?
Ningekuona, ningekupa juice ya mchanganyiko wa embe, limao, parachichi, tangawizi, iliki, nyanya na nini vile?
 
Anachozungumza mleta mada ni kwamba, sawa watu walikuwa wanafanya jitihada ya kuwaokoa watu dhidi ya janga la corona, lakini nyuma ya pazia walikusudia kutimiza lengo lao walilokusudia. Lakini wadadisi waliolibaini hilo mapema walipotoa angalizo kuhusu madhara ya hizo vaccine na mpango wa nyuma ya pazia wa hao waleta chanjo, WALISHAMBULIWA NA KUONEKANA MAADUI.
Unakula wapi lunch leo nikulipie? Naam!. Umenena hasa!.
 
Sometimes jaribu kukaa kimya ili uepushe ukoo wako na hizi Aibu ndogo ndogo.

On sasa kila mtu anaona ukoo wenu umejaa Majuha.
Wewe ndiye juha, unayesubiri uliwe mamba ndippo ujue meno ya mamba yanaua!. Pumbavu!.
 
Wewe ndiye juha, unayesubiri uliwe mamba ndippo ujue meno ya mamba yanaua!. Pumbavu!.

20220216_225742.jpg
 
Kabla ya kupiga kelele zozote ilikuwa ni vyema kutafuta toleo zima la utafiti na kulisoma, kuliko kulishwa maneno na kuruka nayo. Hata biblia inaweza kutumiwa na mchawi atakavyo.

1: Utafiti uliofanyika ni in-vitro/kwenye maabara na pia ni pre-clinical. Kwa kutumia ini Huh7. Haijafika hata clinical stage.

2: Dose iliyotumika kwa seli za ini husika ni kubwa ukilinganisha na dose ya kawaida ya chanjo. Ambayo wao pia wanasema itahitaji kunyambulishwa zaidi/kutolewa maelezo sahihi.

3: Imesharipotiwa na Pfizer na BioNTech kuwa asilimia 18 (18%) ya dose ya chanjo/dawa inaenda kwenye ini. Hilo linajulikana.

4: Tafiti zimeshaonyesha kuwa virusi vya SARS-Cov2 RNA vinaweza kuingilia mfumo wa DNA ya seli kwa mtindo wa Reverse-transcriptase. Nasisitiza VIRUSI na SI CHANJO ya mRNA.


5: Chanjo ya BNT162b2 ni sehemu ya SARS-Cov2 inaweza pia kujishikiza kwenye DNA kwa mtindo uleule.

MALENGO YA UTAFITI

1: Kuangalia/demonstrate kama BNT162b2/chanjo ina uwezo wa kuingia kwenye seli za ini na kwa njia ipi kwa kiasi gani?

2: Athari/demonstrate ya BNT162b2/chanjo kwenye Reverse Transcriptase Long Interspersed Nuclear Element-1 (LINE-1) na kiasi cha protein husika.

3: Kutafuta/demonstrate Reverse BNT162b2 DNA kwenye seli za Huh7/ini husika.

Majibu hapo juu yote yamepatikana ni kweli. Kinachofuata/unachohutaji kujua kabla ya kelele ni:

1: Je mabadiliko haya ni ya kudumu na kwa kiasi gani?

2: Mabadiliko haya yana-athiri ufanyaji kazi wa seli husika?

3: Mabadiliko haya yanaweza kusababisha vitu kama KANSA na au kuzaliana na kugeuka sumu kwa DNA ya seli za mwanadamu?

4: Swali pia litakuja kuwa kati ya aliyepata half impact ya Covi (chanjo) na ku-control multiplication na aliyepata Covid full range impact nani atapata athari zaidi kutokana na athari ya kila kimoja?

NB: Haya yanayozungumzwa hapa yanahusu pia walioambukizwa Covid, na kwa tafiti za mwanzo ililenga kujua kwa nini wagonjwa wa Covid waliendelea kuwa na majibu positive kwa kipimi cha PCR kwa muda mrefu kidogo baada ya maambukizi/kuumwa.

Kwenye utafiti huu, hakuna sehemu wamesema mtu atageuka ZOMBI au HATAZAA nk.

Tujisomee haya mambo.
acha ubishi, hao watu wanaofundisha hapo wapo deep sana.
 
Kutokuchanja mpaka sasa kumeshanikosesha mambo fulani lakini siba budi
 
Tangu ndugai abatizwe kwa moto Gwajima amekuwa mpole.
 
Usijifariji. This is scientific research. Scientists don't conclude without pieces of evidence but scientifically are able to see the end results.
Haya maswali, walipashwa kujiuliza wapiga debe wa chanjo badala ya kuwaambia watu wajinga, huku wakijua ni wajinga kwamba chanjo haina madhara.
Kwa kuprove ujinga wao juu ya wananchi wanaowangoza, wengine wakaenda hadi kujidhalilisha eti anatest side effects za chanjo kwa ufanisi wa kingono!. Hii siyo fedheha?

BTW, majibu haya yalitakiwa yasubiriwe kwenye laboratory rats na si kwa binadamu. Na hii ndio ilikuw ahoja ya Gwajima.
Wewe unatambua kuna so many hypothesis ambazo, huwezi kuziru rule out nje ya maabara.

Vipi pale zinakuwa ni lifetime effects?
DNA za chanjo zitakapokuwa tofauti na za Mungu, unakombine pamoja kinatokea nini? Baada ya muathirika, anaoa ama kuoelewa na mtu mwenye namna nyingine wanazaa kitu gani?
Ikitokea katika muunganiko mtoto mmoja anatokea kuwa na dna za chanjo tu, anakuwa ni kiumbe gani?
Please be human, heavens will honor you!.

Mimi ni muhanga wa thrombosis ya chanjom na wala si suala la siasa wala mjadiliano ya kunogesha bao.. Waganga wanakuambia hawana namna labda uende ukatafute Mungu!. Unataka kusemaje ndugu yangu? Omba yasikukute!.

1: Tujifunze kwanza mpaka chanjo inaingia kwenye clinical trial na phase three unaelewa maana yake?
Unaelewa nini kinazingatiwa?
Nenda kasome drug discovery and development then soma how clinical trials are monitored.

Pia, nitakuomba unijie na jina la dawa moja duniani ambayo haina side effect/s kwa mwanadamu. Watu wanachoangalia ni does the benefits outweigh the risks? And to what extent?

2: Madhira ya chanjo nimeeleza kwa uwazi. Kama chanjo inaweza kuingilia DNA hata maambukizi ya Covid yenyewe athari ni zilezile. Na hatujaona mpaka sasa mabadiliko makubwa ya ini zaidi ya watu kupata viral hepatitis. Hivyo, hakuna cha kushadadia hapo. Na hii watu walikuwa wanafuatilia kwa nini PCR inaendelea kudetect viral load kwa muda zaidi baada ya mgonjwa kupona. Kama ingekuwa ni suala la kudumu watu wasingekuwa negative baada ya muda. Hivyo, utaratibu wake siyo kama ilivyo kwa HIV.

Wenzetu wanajua what is the power of scientific research, wan-foresee vitu vingi. Sisi tunajua power of politics na umbea, hata kusoma available materials ni tatizo. Ndo maana tunaruka na vitaarifa vidogovidogo tika kwa anti- vaccine groups.
 
Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.

Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?

Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?

This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.





Umepost utopolo.
Nikifikiri utapost experience za humu nchini kumbe umeshabikia hot air.
Mimi nimechanja JJ na booster ya pfizer(sindano mbili) , mambo yote shwari.
 
acha ubishi, hao watu wanaofundisha hapo wapo deep sana.

Nimekwambia kasome paper achana na wako deep.Jitafutie maarifa uwe huru na uweze kunyambua haya. You can swing with the Bible to any side you want. Research paper iko nenda kasome kama uko dependant kwa hao ni juu yako. Jaribu kujitegemea
 
Nimekwambia kasome paper achana na wako deep.Jitafutie maarifa uwe huru na uweze kunyambua haya. You can swing with the Bible to any side you want. Research paper iko nenda kasome kama uko dependant kwa hao ni juu yako. Jaribu kujitegemea
Kwani hizo wanazofundisha hapo sio research paper???? Mfano hiyo video ya kwanza
 
Kwani hizo wanazofundisha hapo sio research paper???? Mfano hiyo video ya kwanza

1: Nenda kasome mwenyewe uelewe.

2: Mtafute Dr. Mobeen na video zake kuhusu Covid and vaccine. Msimlishe maneno yenu kwa interest zenu. Thinking ya mtu mnafanya conclusion na kuruka nazo.

3: Unaelewa kufanya reserch paper critical appraisal/analysis??
Si majibu yote yanahitaji hujibiwa ndani ya tafiti moja. Na tafiti moja yaweza kuwa mlango wa utafiti mwingine kwa kuangalia strength na weakness ya matokeo ya mwenzio njia iliyotumika.
 
Wewe huna haja ya kujifariji kwa namna yoyote. Tangu lini majaribio ya dawa yakafanyiwa kwa binadamu moja kwa moja? Maswali yote haya,na mijadala hii ilitakiwa ifunikwe kwa kiwango kikubwa na matokeo ya maabara nje ya binadamu.

Mnapowalazimisha watu kuchanjwa, halafu mnawasainisha viapo kwamba damu zao ziwe juu ya vichwa vyao, halafu wenye ufahamu zaidi ya agenda zenu mnawa persecute, na wengine kwa ujinga mnafanya ngono eti ndiyo kipimo cha usalama wa chanjo, mnategemea nani atawaamini? Fungeni shule zote na msema "book ni haram", halafu ndipo mje na hizo levels mnazozitaka.

Look here.


Leo hii watu wanaganda damu, miili inaavimba, wanashindwa kupumua, figo haziwezi, maumivu ya vichwa, kushindwa kuona, pressure kushuka n.k, waganga wanauliza kama alichanjwa. Halafu wanasema there is nothing we can do about this. Ombeni Mungu. Mtakomaa hadi lini kutetea uhaaribifu bila aibu na watu wanakufa?

Kumbuka hata kama hamtaki kuandika sababu ya madhara hayo kuwa ni chanjo, kama mlivyokuwa mnalazimishwa kuandika vifo vyote viandikwe ni vya korona ili kukuza namba, jueni hila zenu zina mwisho. Na mwisho wake ni Mbele ya "Mzee wa Siku".
 
Back
Top Bottom