Waliompiga picha na kuzisambaza binti anayehusishwa na chupa ya soda wanafaa kuchukuliwa hatua

Waliompiga picha na kuzisambaza binti anayehusishwa na chupa ya soda wanafaa kuchukuliwa hatua

Acha upumbavu, hivi kwanini hizi mambo huwa zinakua na ubaguzi? Yaan mtoto wa kike anajirekodi mwenyewe tena anaonekana ana enjoy anachokifanya lkn mnasingizia watu mara karubuniwa huu upuuzi na ujinga!!! Wale mabinti no wapuuzi tena walikua wanajirekod wenyewe huku wakionekana wana enjoy kabisa..

Huu upuuzi wa kusingizia watu wengine sijui kurubuniwa ni upimbi , acha upimbi mkuu
 
Futa huu ukuda ulioandika , yule binti karubuniwa na nani? Yaan mtu anaweka sim mwenywe anajiingzia chupa huku anaonekana ana pata raha kwa jambo analolifanya unakuja hapa kuandika upuuzi ukisingizia watu!!!

Yaan mnashindwa kuwalea watoto wenu mpaka wanakua malaya mnakuja hapa kusingizia watu wengine, kuna yule mwingine kalala chali kashika sim na mkono wa kushoto anajichomekea chupa ya Fanta kwenye tigo pesa huku anajiliza kimahaba alafu mnakuja hapa kusingizia watu wengine kwa upimbi wa watoto wenu.. hii tabia ya kipuuzi naona inazidi sasa, mtu anajirekodi mwenyewe kwa ujuha wake mnaanza kusingizia wanaume acheni ungese
 
Muwafundishe mabinti zenu kuacha tamaa za hela [emoji28] lasivyo tutawanyoosha kama hivyo yani!
Huu ni mwanzo tu!!!
Hahahahahahahahah nakubali mwamba, hela yangu halafu anipangie jinsi ya kutumia? Kwani nili force? Si njaa zake na tamaa za maisha ya kifahari ndio zimemfanya ajirekodi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hatukutuma Tena nimetoka kumrushia beka Manzese hapa anaenda ipigia puchu video
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] oya mtafanya watu wajiue mjue[emoji23][emoji23][emoji23] hebu acheni utani nyie majamaa, pamoja na wewe kunguru wa manzese!!!!!!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Hii picha ndio inakutoa povu humu,
Wkt mhusik anafurah kuw maaraf kw upuuz!!View attachment 2061655
Nobody Is Perfect
Usihukumu usije ukahukumiwa.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na hekima atusamehe pale tulipo kosea na atufanye viumbe vipya katika yeye.

Don't look back and steady your Nerves
"Always we have to learn from our mistake."
 
Wewe dada una bahati uko mbali na mimi, ningekutia Mkerub wa kichwa network ikukae sawa. Mnalea ukahaba na kutuficha wazazi wa kiume, yakiwashinda mnakuja kutoka kwa jamii muonewe huruma. Pumbafu kabisa mbwa we, huyo binti alitumwa ajitie chupa!? Alirekodiwa na nani? Mnawafundisha wenyewe kudanga hatimaye wanakuja kuwashinda.
 
Nalaani kitendo kilichofanywa na askari wa Jeshi la Polisi kumwita mtuhumiwa ofisini kwao nakumkalisha chini Kisha kumpiga picha nakuzisambaza. Hii siyo sahihi kabisa, sidhani kama watoto wao wanapotuhumiwa au watoto wa viongozi wanapokengeuka tunawafanyia hivi.

Lakini jambo la pili huyu mtoto ni mhanga wa ukatili unaofanywa na wanaume na watu wenye fedha, badala tutafute waliomrubuni tunakwenda kumdhalilisha na kumwaribia future yake. Hii siyo kazi ya Serikali. Mhanga wa matukio ya kialifu analindwa Duniani kote, udhalilishaji wa mtuhumiwa ni kinyume kabisa na Haki za binadamu.

Tulitegemea Jeshi liwe mfano wa kukemea picha zisizofaa wao ndio wanasambaza. Matokeo yake watoto wengi ambao wajapevuka kama alivyo mtuhumiwa wanaweza kutafuta umaarufu kwa kufanya matendo haya nakutegemea dola isambaze taarifa zao wafahamike Duniani.

Sijawahi kuona polisi Zanzibar wakipiga picha watu wanaotuhumiwa kuishi kinyume na maadili na kuzisambaza, aaskari bara mnafundishwa wapi ukatili na ya policing?Wapi nafasi ya dawati la jinsia?
Jeshi la polisi liwe mfano?! Wa nini unachodhani?!
 
Back
Top Bottom