Waliompiga picha na kuzisambaza binti anayehusishwa na chupa ya soda wanafaa kuchukuliwa hatua

Waliompiga picha na kuzisambaza binti anayehusishwa na chupa ya soda wanafaa kuchukuliwa hatua

Wabongo wana roho za kikatili na za kijinga mno.

Hakuna tatizo wal kosa yeye kujirokodi video, Tatizo lipo kwenye kusambaza. Bdala jamii kumlaani msambazaji jamii imekua bzy kumshutumu alierikodi. Kuna tatizo kubwa la ufahamu hapa nchini.
We kichwa panzi kweli aliyesambaza sisi tunamjua?????
 
Kwahiyo unaweza kujirekodi unakalia chupa kama huyo binti kwa ajili ya kumbukumbu rejea zako? Yaani kwako itakua haina shida kama haitavuja sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi kama mzazi nalaani hili tukio. Jamani tunaoshabikia haya leo siku tukija kuona picha za mabinti au vijana wetu tushabikie hivi hivi.

Mabint zenu na nani sema mabint zako
 
Wabongo wana roho za kikatili na za kijinga mno.

Hakuna tatizo wal kosa yeye kujirokodi video, Tatizo lipo kwenye kusambaza. Bdala jamii kumlaani msambazaji jamii imekua bzy kumshutumu alierikodi. Kuna tatizo kubwa la ufahamu hapa nchini.

Kweli Wewe Mpumbavu
 
Video nimeangalia binti anafurahia kuingiza chuma kwenye k kwa Nini umtete ,Tena anatingisha mpaka katako kwa mbwembwe na madoido. Na kelele juu, izi soda za chupa tunakunywa sijui Tuache.
 
Kwani video si alijirecord mwenyew au kuna mtu alishika simu na kurecord

Sasa nani asomjua watu wamemuona akiwa uchi na kajisambaza mwenye video karekodi mwenyewe..
Ww unakuja kulalamika picha alopigwa kakaa na nguo kweli!
 
kwani PGO inasemaje kuhusu wanaojirekodi wakiwa bila nguo na kurusha maudhui hayo mtandaoni?

alipopewa dili la hela alitakiwa aombe ushauri kwa wengineee ... kibao kimegeuka ndo analaumuuu......

ila kiuhalisia hata mie ukinipa dili la hela simstui mtuuu hahaaaaa
 
Wabongo wana roho za kikatili na za kijinga mno.

Hakuna tatizo wal kosa yeye kujirokodi video, Tatizo lipo kwenye kusambaza. Bdala jamii kumlaani msambazaji jamii imekua bzy kumshutumu alierikodi. Kuna tatizo kubwa la ufahamu hapa nchini.
Katili ni aliyesambaza au aliyerekodi? Kujirekodi ndio kumesababisha yote haya ndio maana unaona kakamatwa aliyejirekodi kwa hiyari yake. Asingefanya hilo tendo wasambazaji wasingepata cha kusambaza. Mtuhumiwa namba 1 ni huyo binti.

Sijui unanielewa?
 
Back
Top Bottom