Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Ahsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
Hujui kitu ukikaa kimya itasaidia kuficha ujinga wako.
 
Una point na hoja ya msingi ujue neno uzalendo imekuwa chaka la watu wasiotimiza majukumu na wajibu wao. Sioni Haja kukusanya vijana na kuimba tu mara kulima Kwa jembe la mkono kwanini wasitumie ma tractor ya kisasa zaidi.
Ni heri basi huko wangekuwa wanafundishwa vitu vya ku solve changamoto za kimaisha ka kilimo ufundi na mengineyo yanayotuzunguka inge solve hata umaskini na sio kutumia nguvu kazi vibaya in the name of uzalendo
Mifumo tu mibovu kuna watu wameenda huko JKT 2yrs wamerud wamenikuta tyr nishajifunza mambo kibao through shortcourses yaan ki intellectual wapo wiped off.. hakuna cha maana walichopata zaidi ya kuwa mizigo ktk family zao.
 
Halo tuna safari ndefu kufika nchi ya maziwa na asali nchi hii. Yani kigezo Sio ubora ni undugu na favoritism, na Kuna kabila yalishajimilikisha hivo nafasi na reasoning Yao inajulikana Iko low below average wanaoamini kwenye kutumia nguvu, wakati sikuhizi watu wamewekeza kwenye technology na kutumia akili kwenye mambo ya msingi
Ndio maana kuna kabila lile lingine wazee wa Misifa wao waliwekeza ktk Elimu ndio maana huwakosi ktk sehem zinazotumia akili tofauti na wale wazee wa Mapanga na fimbo.

Inabidi lifanyike fagio kuondoa kizazi cha wajinga na wenye upeo mdg wa akili.
 
Ahsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
Maneno ya simbachawene unayakumbuka ,lakini huwezi ajiri hao wakalinde mabenk
 
Hizo akili mnazozisema ni zipi?
Kuwa na degree haimaanishi una akili.Akili ni kitu tofauti sana na unavyofikiri.
Graduates wengi ni wale wenye vipaji vya kukumbuka na kuiga maandishi.Akili ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho hakipati shuleni wala chuoni.
Akili nayozungumzia hapa ni Akili ya kujiongeza.

Ikumbukwe kuwa ELIMU ya darasani inakupa exposure ndio maana reasoning level ya form 4 huweza fananisha na reasoning level ya mtu w
Aliyehitimu Degree.

Ndio maana hata kikazi kuna level ukifika unahitajika uongeze elimu ili upande CHEO na ni lazima.

So hivi vitu vinaenda parallel.

Aliyeenda darasani tofauti na aliyekaa tu nyumbani.

Ndio maana kuna MJINGA na MPUMBAVU hawa ni watu wawili tofauti.
 
Siye above 40 tumewakosea nini jamani???..

Kwanza hao akina 25 na 30 ndo wana njaa balaa, yaani wakianza tu kazi wanawaza kutafuta hizo CROWN, X1 na mijengo. By the time wako 40 kama siye we are in the same boat..

Ishu ya Uwajibikaji kwa nchi yetu ni la kimfumo zaidi na wala si umri.

Ishu tu ya mwanafunzi wa UDOM wanaomba taarifa badala ya kufanya UCHUNGUZI...
Na ambaye hatafika umri WA 40 na awe WA kwanza kumsakama aliye na 40 hivi sasa!! Kila mtu ni 40 years mtarajiwa
 
Kwa hiyo ukiondoa hivyo vizee hapo polisi ndio uingize hawa graduate vijana wanaokesha kubet, kutafuta video za connection mitandaoni, uchawa, kuuza mirungi, kutwa kushabikia Simba na Yanga?
Inaelekea wewe waalimu wako walifanya party baada ya kumaliza masomo, pls una rush nini kusoma comments ili uelewe lengo la aliye comment, what's a rush kujibia,,acha upumbavu
 
Wapi palipoonesha umalaya ndio umesababisha kifo hapo.

Then kuwa malaya au kuwa na huyo mwanamke sio kosa kisheria labda tusubiri maelezo ila bado hakuna connection bado ya huyo mwanamke na mauaji.
Connection ipo Kwani mwanamke anapoonekana mahali kama Star anakuwa na connection nyingi hasa wanaompa vihela vya chips, hivyo akija mtu mwenye constant income anaonekana threat Kwa Vijana na chuki kubwa hujengeka, hao Vijana ni rahisi Sana kukamatika, kufanya kazi village inahitaji umakini sana!! Huko Rombo walimu wanauliwa pia
 
Siye above 40 tumewakosea nini jamani???..

Kwanza hao akina 25 na 30 ndo wana njaa balaa, yaani wakianza tu kazi wanawaza kutafuta hizo CROWN, X1 na mijengo. By the time wako 40 kama siye we are in the same boat..

Ishu ya Uwajibikaji kwa nchi yetu ni la kimfumo zaidi na wala si umri.

Ishu tu ya mwanafunzi wa UDOM wanaomba taarifa badala ya kufanya UCHUNGUZI...
Naungana na wewe
 
[emoji2][emoji2] Binti zuchu wa tarime kazua mambo, Hadi Dr kafa vibaya.
Ila msomi unashinswaje kusoma hulka ya jamii uliyopo ili uepuke majanga jamani.Huko tarime kunasifika Kwa kugechana Sasa wewe unanunua Malaya ka sikujitaftia majanga Nini?

Huko ni bora ugonge mke wa mtu na si hawara wa mtu, haya majitu ni mafala sana.
 
Wote waliohusika na mauaji na ubakaji watashikwa tu. Jeshi la police Tanzania lina weledi sana linapofanya kazi kwa uhuru bila kuibgiliwa. Naliamini sana jeshi letu la police ni werevu na intelligent kuliko hata police wa ulaya na Marekani. Kwa nini nasema hivi kwasababu police wetu hawatumii technology kubwa sijui mbwembwe za forensic science sijui psychology sijui kuzungushia utepe sijui miDNA lakini wanapeleleza matukio hadi kuwashika watuhuumiwa.
Vipi ile issue ya dada yule wa Benki aliyeuwawa ulikamilisha Bw. Afande ?
 
Hizo akili mnazozisema ni zipi?
Kuwa na degree haimaanishi una akili.Akili ni kitu tofauti sana na unavyofikiri.
Graduates wengi ni wale wenye vipaji vya kukumbuka na kuiga maandishi.Akili ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho hakipati shuleni wala chuoni.

Lakini hao graduates wakija mnawapa u-ofisa bila hata mtihani wa IQ!!!
 
Back
Top Bottom