cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Bar maid anakusaje mwanaume mkuu. Vitu vingine watu hujitaftia mabalaa wenyeweKwani huyo bar maid ni mke wa mtu? Sioni kosa lolote mtu kujichukulia zake bar maid eti auwawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bar maid anakusaje mwanaume mkuu. Vitu vingine watu hujitaftia mabalaa wenyeweKwani huyo bar maid ni mke wa mtu? Sioni kosa lolote mtu kujichukulia zake bar maid eti auwawe
[emoji2][emoji2][emoji2] gwajiboy akasingizia mkono wa baunsa ila wanawake ni anguko la wanaume wengiMbususu haijawahi kuwa na cha elimu wala uchungaji,,gwaji boy alikutwa na malaya sembuse dokta
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2]poleni wanaumeKwenye mbonyeo hakunaga cha kaomando, msomi wala jambazi. Wote hukutanikia hapo
Sana aise,ukimuwaza anavyokemea pepo,na aliponasa daa[emoji2][emoji2][emoji2] gwajiboy akasingizia mkono wa baunsa ila wanawake ni anguko la wanaume wengi
Hujui kitu ukikaa kimya itasaidia kuficha ujinga wako.Ahsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
Mifumo tu mibovu kuna watu wameenda huko JKT 2yrs wamerud wamenikuta tyr nishajifunza mambo kibao through shortcourses yaan ki intellectual wapo wiped off.. hakuna cha maana walichopata zaidi ya kuwa mizigo ktk family zao.Una point na hoja ya msingi ujue neno uzalendo imekuwa chaka la watu wasiotimiza majukumu na wajibu wao. Sioni Haja kukusanya vijana na kuimba tu mara kulima Kwa jembe la mkono kwanini wasitumie ma tractor ya kisasa zaidi.
Ni heri basi huko wangekuwa wanafundishwa vitu vya ku solve changamoto za kimaisha ka kilimo ufundi na mengineyo yanayotuzunguka inge solve hata umaskini na sio kutumia nguvu kazi vibaya in the name of uzalendo
Ndio maana kuna kabila lile lingine wazee wa Misifa wao waliwekeza ktk Elimu ndio maana huwakosi ktk sehem zinazotumia akili tofauti na wale wazee wa Mapanga na fimbo.Halo tuna safari ndefu kufika nchi ya maziwa na asali nchi hii. Yani kigezo Sio ubora ni undugu na favoritism, na Kuna kabila yalishajimilikisha hivo nafasi na reasoning Yao inajulikana Iko low below average wanaoamini kwenye kutumia nguvu, wakati sikuhizi watu wamewekeza kwenye technology na kutumia akili kwenye mambo ya msingi
Maneno ya simbachawene unayakumbuka ,lakini huwezi ajiri hao wakalinde mabenkAhsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
Akili nayozungumzia hapa ni Akili ya kujiongeza.Hizo akili mnazozisema ni zipi?
Kuwa na degree haimaanishi una akili.Akili ni kitu tofauti sana na unavyofikiri.
Graduates wengi ni wale wenye vipaji vya kukumbuka na kuiga maandishi.Akili ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho hakipati shuleni wala chuoni.
Na ambaye hatafika umri WA 40 na awe WA kwanza kumsakama aliye na 40 hivi sasa!! Kila mtu ni 40 years mtarajiwaSiye above 40 tumewakosea nini jamani???..
Kwanza hao akina 25 na 30 ndo wana njaa balaa, yaani wakianza tu kazi wanawaza kutafuta hizo CROWN, X1 na mijengo. By the time wako 40 kama siye we are in the same boat..
Ishu ya Uwajibikaji kwa nchi yetu ni la kimfumo zaidi na wala si umri.
Ishu tu ya mwanafunzi wa UDOM wanaomba taarifa badala ya kufanya UCHUNGUZI...
Acha upumbavu, jikite kwenye viajira uchwaraHujui kitu ukikaa kimya itasaidia kuficha ujinga wako.
Inaelekea wewe waalimu wako walifanya party baada ya kumaliza masomo, pls una rush nini kusoma comments ili uelewe lengo la aliye comment, what's a rush kujibia,,acha upumbavuKwa hiyo ukiondoa hivyo vizee hapo polisi ndio uingize hawa graduate vijana wanaokesha kubet, kutafuta video za connection mitandaoni, uchawa, kuuza mirungi, kutwa kushabikia Simba na Yanga?
Connection ipo Kwani mwanamke anapoonekana mahali kama Star anakuwa na connection nyingi hasa wanaompa vihela vya chips, hivyo akija mtu mwenye constant income anaonekana threat Kwa Vijana na chuki kubwa hujengeka, hao Vijana ni rahisi Sana kukamatika, kufanya kazi village inahitaji umakini sana!! Huko Rombo walimu wanauliwa piaWapi palipoonesha umalaya ndio umesababisha kifo hapo.
Then kuwa malaya au kuwa na huyo mwanamke sio kosa kisheria labda tusubiri maelezo ila bado hakuna connection bado ya huyo mwanamke na mauaji.
Graduates wenye akili hamuwachukui ktk recruitment mnakesha kuweka vigezo vya JKT na upumbavu kama huo. Hutapata wenye akili ktk Pool..
Naungana na weweSiye above 40 tumewakosea nini jamani???..
Kwanza hao akina 25 na 30 ndo wana njaa balaa, yaani wakianza tu kazi wanawaza kutafuta hizo CROWN, X1 na mijengo. By the time wako 40 kama siye we are in the same boat..
Ishu ya Uwajibikaji kwa nchi yetu ni la kimfumo zaidi na wala si umri.
Ishu tu ya mwanafunzi wa UDOM wanaomba taarifa badala ya kufanya UCHUNGUZI...
[emoji2][emoji2] Binti zuchu wa tarime kazua mambo, Hadi Dr kafa vibaya.
Ila msomi unashinswaje kusoma hulka ya jamii uliyopo ili uepuke majanga jamani.Huko tarime kunasifika Kwa kugechana Sasa wewe unanunua Malaya ka sikujitaftia majanga Nini?
Vipi ile issue ya dada yule wa Benki aliyeuwawa ulikamilisha Bw. Afande ?Wote waliohusika na mauaji na ubakaji watashikwa tu. Jeshi la police Tanzania lina weledi sana linapofanya kazi kwa uhuru bila kuibgiliwa. Naliamini sana jeshi letu la police ni werevu na intelligent kuliko hata police wa ulaya na Marekani. Kwa nini nasema hivi kwasababu police wetu hawatumii technology kubwa sijui mbwembwe za forensic science sijui psychology sijui kuzungushia utepe sijui miDNA lakini wanapeleleza matukio hadi kuwashika watuhuumiwa.
Hizo akili mnazozisema ni zipi?
Kuwa na degree haimaanishi una akili.Akili ni kitu tofauti sana na unavyofikiri.
Graduates wengi ni wale wenye vipaji vya kukumbuka na kuiga maandishi.Akili ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho hakipati shuleni wala chuoni.