Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Ahsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
Ndiyo maana hujawa na uwezo maana ungeishia kufanya ujinga mtupu!
 
Hata polisi pia huwa wanauwawa huko , hao wakuria ni watu wa ajabu mara nyingi wanaenda kuanzisha fujo kwenye mgodi wa North Mara ukienda ukaona jinsi walivyoyapiga mawe magari ya polisi hadi hayatamaniki number plate ilishapoteaga hawajui wameiacha wapi wanapiga nazo doria hivyo hivyo gari zimejaa wavu wa kuzuia mawe kwasababu ya ukorofi wa wakuria

Muda mwingine hawa watu wakipigwa risas haitakiwi hata kuwatetea kama umeshaishi huko kwao utajua Ni jinsi gani wanavyovuka mipaka ya kibinadam
siku nyingine ukienda huko Kurya land tuchukulie picha kadhaa, hawa watu wangetengwa hawana ustaarabu wa Kitanzania, nasikia bangi ni kama chakula huko.
 
Fresh graduates wasiombe rushwa?!!!!!!!!!!!!!

Vijana wenyewe kina Sabaya, Makonda, Ally Hapi, PolePole et all.


Una mawazo mazuri, ila kwa upande wa vijana kuwapa usukani..kawaze upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani vijana tuliokua nao ji wa ccm tu?au ni politicians tu?,tuna vijana wengi wapo safi, educated ila royal families zinawatupa nje, vijana hawa watakuwa well trained na kuwa msingi bora kuwa Tanzania bila rushwa inawezekana
 
Kwa hawa vijana wa 25-30 ukiwapeleka huko ni kama umempiga teke chura, wengi watazamia wachache watarudi, wengine watarudi na iPhone na mademu wa kizungu, wachache wenye weledi kidogo mfumo utawabana hawatakua na jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
I am positive kuwa vijana hawa wataifanya Tanzania kuwa zero corruption, why Botswana waweze sisi tushindwe?
 
Lengo ni kulifanya jeshi letu la police liwe la vijana weledi, dunia ya sasa ni technology sio mibavu, hawa vijana watakua trained vema na watakuja na attitude mpya,mfano tunapeleka vijana 500 Botswana wakajifunze kuwa traffic officer's,,(nchi hii almost ina zero corruption ),vijana 300 peleka pale USA wakajifunze kuhusu foresinc investigation, crime profile, 200 peleka pale UK, 350 peleka pale Israel wajifunze ili wawe special unit ya public order, hostages, ndio maana tunahitaji young graduates
Hivi unaijua gharama ya kumpeleka mwanafunzi mmoja kusoma abroad?
 
Wote waliohusika na mauaji na ubakaji watashikwa tu. Jeshi la police Tanzania lina weledi sana linapofanya kazi kwa uhuru bila kuibgiliwa. Naliamini sana jeshi letu la police ni werevu na intelligent kuliko hata police wa ulaya na Marekani. Kwa nini nasema hivi kwasababu police wetu hawatumii technology kubwa sijui mbwembwe za forensic science sijui psychology sijui kuzungushia utepe sijui miDNA lakini wanapeleleza matukio hadi kuwashika watuhuumiwa.
Hakuna watu wapumbavu Kama Hawa police wa kibongo yaani mwanangu akija kuwa police Bora kwangu asikanyage Baba angu mzazi ameuawa then akawekwa juu Ili ionekane kuwa amejinyonga police anasema uchunguzi wa kidaktari unasema marehemu alikosa hewa ndo ikapelekea kufariki,
Unamuuliza mtu akibanwa na mto hukosa hewa pia hupelekea kufariki mbili mtu akishikwa kwenye Koo hukosa hewa hupelekea kufariki na hyo kamba Sasa kukosa hewa kumetokeaje Hana majibu Zaid ya kusema Mimi sijui muulizeni doctor
Unamuuliza afande wakati unafika eneo la tukio ni kitu Gani ulichokiona ukaamini marehemu amejinyonga na ukaamuru mwili upelekwe mochwari?? Je ulikuta kiti alichopandia?? Je ulihakikisha kwamba nyao pale chini zilikuwa za marehemu tu na hakukua na nyao za watu wengne?? Anasema Mimi sikufika eneo la tukio unamuuliza Sasa hukufika eneo la tukio ilikuaje umepewa upelelezi wa kesi hii?? Hana majibu??
 
Mkuu unawajua wakurya ushawai ku interact nao?

Mm nimesoma nao nimeishi nao nawajua in & out....

Kwanza Watanzania wote wangekua ni jamii ya wakurya CCM isingekua madarakani muda huu....
Kwenye hili naishia hapo...

Ukimuonea mkurya jua lazima ata revenge...wana revenge mbaya tena za kuto tumia akili..... ingia YouTube Kuna jamaa waliwai kuua nyumba nzima mpk vitoto, wanyama , mazao mpka masufuria[emoji4]

Niliwai kua na Uhusiano na mdada wa kikurya yule ni sura ya baba[emoji4] sura mbaya mweusi ila pisi na shepu kali....

Alikua na upendo sana ila ana hasira sana..aliwai kukiri kua Mimi nimepevuka sana na mtu mwenye maamuzi sahihi [emoji851] na mstaimivilivu sana maana wale ni watu wa amri amri sanaa...

Nimechoka ku type...
Kumbe ukimkosea mkurya Ila kabla hujamkosea ni watu wapeace Sana Tena hawataki kuonewa
 
Wote waliohusika na mauaji na ubakaji watashikwa tu. Jeshi la police Tanzania lina weledi sana linapofanya kazi kwa uhuru bila kuibgiliwa. Naliamini sana jeshi letu la police ni werevu na intelligent kuliko hata police wa ulaya na Marekani. Kwa nini nasema hivi kwasababu police wetu hawatumii technology kubwa sijui mbwembwe za forensic science sijui psychology sijui kuzungushia utepe sijui miDNA lakini wanapeleleza matukio hadi kuwashika watuhuumiwa.
Samahani mkuu nazungumzia jeshi la polisi la nchi Gani?
 
uzi umejaa maswali mengi sana bila majibu sasa demu kama alikuwa wa mtu mbona tena wamembaka, na by the way kama demu ni baamedi ina maana si chawote kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake sasa wivu wa nini tena, kingine mademu wa tarime si kama midume tu , na daktari alikua na mke mzuri kama picha zinavyoonyesha , duh ila aisee haya bana nyege kitu kibaya sana, kwahiyo analewa anaendesha pikipiki tena usiku, graduate wa nchi hiyo ni majanga makubwa. Mademu wenyewe wa tarime wamekeketwa karibia wote sasa unajiuliza but why?
 
all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
mwanzo wa coment nilikua naona kama mtu uliye na akili sana ila ulipofika hapa nikaconlude kua wewe na genta a.k.a charismatic fella the entertainer wote akili zenu ni fupi sana.
 
siku nyingine ukienda huko Kurya land tuchukulie picha kadhaa, hawa watu wangetengwa hawana ustaarabu wa Kitanzania, nasikia bangi ni kama chakula huko.
Mbona wale wa Geita waliomuua Milembe mtumishi wa GGM hawajatengwa?

Mbona walioua mtumishi wa benki Kibaha maili moja hawajatengwa?

Enzi zile hawa wauaji wangejumuishwa kwa WASIOJULIKANA.
 
Niliishi Lindi kwa miaka 10 sikuwahi kusikia mauaji ya kikatili ya namna hii
Kwa ujumla mikoa ya ukanda wa Pwani ukiondoa Dar es Salaam kutokana na mchanganyiko wa makabila mbalimbali ni mikoa ambao si rahisi kusikia matukio ya mauaji kama ilivyo mikoa ya kanda ya Ziwa na mikoa ya nyanda za juu kusini
 
BINTI 'ZUCHU' ADAIWA KUWA NA DR. ISACK SIKU NZIMA KABLA HAJAUAWA NYAMONGO!

Mpendwa,
Mimi ni mkazi wa Nyamongo katika Wilaya ya Tarime. Ninaomba kupitia kwako umma ujue mambo ya msingi kuhusu tukio la kutekwa na kuuawa kwa Dr. Isack Daniel Athumani.

Kwanza tunaomba ifahamike kuwa watu wa jamii ya Nyamongo tuliokuwa tunahudumiwa na Dr. Isack hatukuwa na tatizo naye. Ni kijana mmoja aliyekuwa na moyo wa kujituma kwenye kazi yake, alikuwa na moyo wa kujitoleo sana. Kama jamii hatukuwa na shida naye kwani ni mtu ambaye alikuwa social sana na wananchi. Kama jamii hatukuwahi kuona kitisho chochote kwa Dr. Isack alipokuwa miongoni mwetu, na tulishirikiana naye vyema hata kwenye matukio mengine ya kijamii hapa kijijini.

Marehemu Dr. Isack alikuwa anafanya kazi kama Mganga Mfawidhi katika Kituo cha Afya cha Nyamongo katika kijiji cha Kerende, Kata ya Kemambo, na alikuwa anaishi hapo hapo kituoni yeye na familia yake.

Siku ya tukio, Daktari alionekana akiwa kituoni hadi majira ya saa 3 usiku. Baada ya hapo, alielekea kwenye Bar moja iliyopo hapo Kijijini Kerende kwa jina la "Charles Bar and Guest House." Hiyo ni Bar ambayo ipo umbali chini ya kilomita 1 kutoka hapo Kituo cha Afya. Taarifa za watu waliokuwa naye pale Bar zinasema kuwa ilipofika majira ya saa 5 usiku, aliwaaga kwamba anaondoka kwenda kutafuta chakula Nyangoto (hii ni Senta kubwa iliyopo mbali kidogo na Kijiji cha Kerende).

Wakati anaondoka pale Bar aliondoka na binti mmoja maarufu kwa jina la "Zuchu" ambaye inasemekana kuwa ni Msukuma na alikuwa Mhudumu wa ile Bar. Pia taarifa zinasema kuwa marehemu alikuwa na mahusiono ya kimapenzi ya muda na huyo mhudumu wa Bar. Siku hiyo hiyo kabla daktari hajaondoka kituoni saa tatu usiku, huyu mhudumu alionekana pale hospitali kwenye Benchi akiwa anamsubiria daktari. Majirani wa eneo lile wanasema kuwa ilikuwa ni kawaida yake kwenda pale kumwona Dr. Isack. Wakati anaondoka pale Bar alitumia pikipiki yake ambayo ni mali ya serikali.

Wakati Dr. Isack anavamiwa, watu wa kwanza kufika eneo la tukio majira ya saa tano usiku, walimkuta huyo binti naye ametekwa pamoja na Dr. Isack. Kwa taarifa za awali ilionekana huyo binti alibakwa na wale watekaji na suruali yake ilichanwa na aidha kisu au panga. Japo kuna watu wanaojiuliza ni wabakaji wachane suruali ya binti yule bila hata kumchubua ngozi. Kama alibakwa au la hilo litabaki kuwa ni suala la kitabibu zaidi.

Usiku uleule Dr. Isack na yule binti walipelekwa Kituo cha afya Nyangoto kwa ajili ya kupatiwa msaada wa kuokoa maisha yao. Ilisemekana baada ya taratibu za kitabibu, binti alikabidhiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi ambalo baadaye lilimwachia na kurudi kijijini. Wakati bado tupo msibani na taharuki, taarifa zinasema Polisi walimfuata yule binti, baada ya muda akarudi tena kwa boda boda. Lakini sisi hatukujua tena kilichokuwa kinaendelea.

Jambo la msingi tunalohitaji kutoka kwenye vyombo vya dola ni kuhakikisha kuwa wahalifu wanapatikana na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Kwa kuwa siku ya kuaga mwili hapa Kerende, OCD wa Wilaya ya Kipolisi Nyamwaga alitamka hadharani kwamba wameanza kupata muelekeo wa kuwapata washukiwa wa uhalifu huo, tunaomba hiyo aliyosema OCD yatimie ili tumalize vitendo vya uhalifu katika jamii yetu.

Mwananchi wa Nyamongo
Tarime, Mara; 7 Mei 2023
Dah!! Binti "Zuchu"...

Inasikitisha sanaa
 
Back
Top Bottom