Yule banker aliyeuawa Kibaha uliingia chimbo lkn taarifa ukabaki nayo.Naingia chimbo hadi kesho asubuhi watashikwa wote kwasababu nataka kuisaidia Polisi.
Ni hivi Dokta itakuwa alikuwa anamgonga mke wa mtu. Wauaji wakaamua kumtumia huyo bar maid kumsogeza dokta wakamcharaza mna kumpigwaa miti kwa hiari na kuchana nguo maksudi kusingiziwa kabakwa
Hasara ni 90% faida 10% (Faida ni kuwalimia Wanajeshi chakula hivyo kutotia nchi hasara ya kununua chakula)Hicho kigezo cha jkt kina hasara zake.
And this is real, eti wanakuondoa uraia😁 na kukuvika uzalendo. Jeshi la nguvu nyingi akili kibabaUnapunguza watu wenye akili unabakishq TAKATAKA.
Naamini kbs mtu anayejielewa hawezi kwenda JTK kupoteza muda 2yrs.. Never.
Wengi ni mafala fala wanaenda kubeti maana washajua recruitment yetu inabeba ilimradi tu wenyewe wanaita kukata BOGI..
WANABEBA tu ilimradi ulienda huko.
2yrs kama ni graduate ukaenda huko for 2yrs huwezi kuwa competent never. Yaan unaenda kuwa wiped out ubongo unabaki na yale makelele ya nyimbo + kulima. Nothing new. Ukirud uraiani technology, methodologies etc vimechange pakubwa.
Hayo mambo wala hayahusiani na umri,wala elimu ya mtu,wala marital status ya mtu.Waliofanya ujinga huo ndio wapumbavu.Huwezi ukaua mtu eti kisa mapenzi??Vijana acheni umalaya Dr una mke unahamgaika na baamedi you don't care even about ur health, majanga mengine yakujitakia licha ya usomi shule haijamkomboa
Jeshi la polisi halidumazwi na umri wa askari, bali mafunzo yasiyojali wakati (maendeleo) wala, utaalamu, teknolojia na weledi wa hiyo kada. Hivyo hata hao watoto unaowalenga katika mafunzo ya Sasa watakuwa cabbage in, gabbage out yaani unawapa mafunzo ya hovyo, utendaji Utakuwa wa hovyo.Ahsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
Umeanza vizuri, ila mwishoni umeharibu.Ahsante sana kwa uzi huu uliotoa mwanga kidogo kuhusiana na kifo hiki cha Doctor, my blame ni kwa police, hawa jamaa ni bado sana na hawataki kwenda na technology ili isaidie case kama hii,why mpaka leo police hawana foresinc lab yao?,nini police walikikusanya pale kwenye crime scene?,je ilikuwa secured vema ili evidence isipotee?,home affairs pls anza mchakato wa kutoa IDs kwa watanzania wote including to capture finger prints na kuzihifadhi kwenye systems, pikipiki ni mine gold ya evidence, huyu dada ni key witness to Crack hii case, ningekuwa na uwezo jeshi lote la police ningelifumua,all above 40yrs wastaafu, ingiza graduates wengi wa 25yrs to 30yrs
Kwa hawa vijana wa 25-30 ukiwapeleka huko ni kama umempiga teke chura, wengi watazamia wachache watarudi, wengine watarudi na iPhone na mademu wa kizungu, wachache wenye weledi kidogo mfumo utawabana hawatakua na jipya.Lengo ni kulifanya jeshi letu la police liwe la vijana weledi, dunia ya sasa ni technology sio mibavu, hawa vijana watakua trained vema na watakuja na attitude mpya,mfano tunapeleka vijana 500 Botswana wakajifunze kuwa traffic officer's,,(nchi hii almost ina zero corruption ),vijana 300 peleka pale USA wakajifunze kuhusu foresinc investigation, crime profile, 200 peleka pale UK, 350 peleka pale Israel wajifunze ili wawe special unit ya public order, hostages, ndio maana tunahitaji young graduates
Na marekani kwenyewe wahalifu nao wame advance, ndio maana na wao kuna upelelezi unachukua muda mrefu..na kuna kesi zingine hazina ushahidi miaka mpaka zinakufa.Hicho kigezo Cha Jkt ni kuwapunguza kwenye usaili...
Maana naona kama hakina mashiko......
Ingekua marekani mzee mbona siku 3 ni nyingi zingejulikana mbivu na mbichi...
Fresh graduates wasiombe rushwa?!!!!!!!!!!!!!Nimekuelewa ila tunatofautiana na ni haki yetu to disagree, lengo langu ni kuweka fresh graduates ambao systems itawajenga na kuwa chanzo cha kuwa na jeshi jipya lisilo la wala rushwa, I wish mkuu utembelee Botswana uone traffic officer's wake wanavyofanya majukumu yao huku wakiwa na almost zero corruption
Wananukiwa na damu ya marehemu wengiWatu wa tarime wana roho mbaya sana
USSR
Aliyeuliwa naye hajitambui asingekuwa Malaya asingeuliwa kabla ya kulaumu wauaji ilaumuni pia tabia mbaya ya huyo kijanaHayo mambo wala hayahusiani na umri,wala elimu ya mtu,wala marital status ya mtu.Waliofanya ujinga huo ndio wapumbavu.Huwezi ukaua mtu eti kisa mapenzi??
Wana safari ndefu mchepuko hauonewi wivuHuko ni bora ugonge mke wa mtu na si hawara wa mtu, haya majitu ni mafala sana.
[emoji28][emoji28],eti xaxa, kuna dogo kamaliza chuo mwaka jana nikasema ngoja nimpime uelewa wake nikamuuliza Waziri mkuu wa UK ni nani wakati huo kuna sekeseke la Boris Johnson kwahio alikuwa anatajwa sana,akasema hajui,hafuatilii hayo mambo anafuatilia forex tu,,nikamuuliza mkuu wa mkoa anapatikanaje?akasema si mambo ya Uchaguzi mkuu hayo sijui nini,nikamwambia yule anateuliwa na Raisi,akashangaa eti nilikuwa Sijui kama anateuliwa na raisi,nikajua tuna shida sana sasahiviUmeanza vizuri, ila mwishoni umeharibu.
Hao graduate unaowasema, ndio hawa hawa tulio nao mtaani wanaoandika xaxa badala ya sasa?!
Bora kuwaongezea hao experienced huku ukiweka graduate taratibu, field hakuko hivyo kama movie za Hollywood na graduates wetu wengi ni mzigo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mtu kama huyo ukimpa data ataweza kuzichambua na kupata insight ?[emoji28][emoji28],eti xaxa, kuna dogo kamaliza chuo mwaka jana nikasema ngoja nimpime uelewa wake nikamuuliza Waziri mkuu wa UK ni nani wakati huo kuna sekeseke la Boris Johnson kwahio alikuwa anatajwa sana,akasema hajui,hafuatilii hayo mambo anafuatilia forex tu,,nikamuuliza mkuu wa mkoa anapatikanaje?akasema si mambo ya Uchaguzi mkuu hayo sijui nini,nikamwambia yule anateuliwa na Raisi,akashangaa eti nilikuwa Sijui kama anateuliwa na raisi,nikajua tuna shida sana sasahivi
Hamna kituSasa mtu kama huyo ukimpa data ataweza kuzichambua na kupata insight ?
Sent using Jamii Forums mobile app