Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Tukiondoa uoga, kujipendekeza na unafiki,tunaweza kuionesha serikali kuwa Tanzania hii siyo ile ya Nyerere.

Hii ni Tanzania iliyochangamka, ni Tanzania inayojua nini inahitaji.

Cha msingi ni kuwa na umoja,
(Unit is power) na dhamira ya kweli.

Nguvu ya umma ni zaidi ya risasi na mabomu.
Ndugu sio rahisi kihivyo hasa kwenye hii nchi ya majungu na unafiki na punyeto kwa vijana katika hali isiyomithirika
 
Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutokea Mnazi Mmoja , Dar es Salaam .

Miongoni mwa Maelfu ya Waandamanaji wa kupinga Mauzo ya Bandari kuna Dada mmoja ambaye ametajwa kuwa shujaa wa Taifa hasa baada ya kujitokeza mstari wa Mbele bila kujali vitisho vya Polisi .

Mpeni Maua yake .

View attachment 2662236
huu muda aliopoteza c angekuja niichakate jaman
 
Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.

Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.


========

WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI

Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia.


MRATIBU WA MAANDAMANO AINGIA MITINI

Jeshi la Polisi limewakamata baadhi ya vijana waliojitokeza kuandamana kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo, a mratibu wa maandamano hayo, Deus Sokkatika hali ya kutofahamika, hajatokea kwenye maandamano hayo yaliyopangwa kuanzia Temeke na kuishia Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi Digital ilipomtafuta kwa simu zake zote za kiganjani, hakupatikana na katika majina ya waliokamatwa na polisi pia jina lake halikuwepo.

Juni 15 mwaka huu Deus Soka ambaye aligombea udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, alitangaza kuitisha maandamano kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo Juni 17 Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likipiga marufuku maandamano hayo na kueleza kuwa, mtu aliyeandaa maaandamano hayo ameshajibiwa kwa barua akielezwa ni marufuku kufanyika maandamano yoyote.

Juni 10, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha azimio kuhusu pendekezo la kuridhiwa kwa mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha ushirikiano katika uendelezaji wa maeneo ya bandari nchini.

Pendekezo hilo liliwasilishwa bungeni Juni 10, na kupitishwa na Bunge baada ya wabunge kupata fursa ya kuchangia na kuishauri Serikali kuhusu mkataba huo.


Mwananchi
Nimewakubali sana hawa. Hawakuangalia wingi wao, bali hoja zao. Hawakuangalia nani yupo pamoja nao bali wamesimama kwa ajili ya taifa lao.
Nimehudhunishwa sana kwa ajili yao, nimefarijiwa na uthubutu wao.
Mungu wao na azidi kuwaimarisha
 
Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutokea Mnazi Mmoja , Dar es Salaam .

Miongoni mwa Maelfu ya Waandamanaji wa kupinga Mauzo ya Bandari kuna Dada mmoja ambaye ametajwa kuwa shujaa wa Taifa hasa baada ya kujitokeza mstari wa Mbele bila kujali vitisho vya Polisi .

Mpeni Maua yake .

View attachment 2662236
Hao maelfu ya waandamanaji wako wapi? Wewe ulienda Posta?
 
mamy k. situlikubaliana jana humu kuwa leo tunakinukisha hadi magogoni nyumba nyeupe? afu kauli mbiu yetu yetu " bandari haitoki" (in mzee mpili's voice)
 
Ah wapi! Usikubali kufa kijinga. Damu watafukia na mchanga tu. Kisha kila mmoja na anaendelea na mishae zake.
Sawa mkuu,
Hatuna haja ya kubinafsisha bandari zetu
Inamaana pamoja na kuelimisha watu wetu na kuwa na rasilimali za Kila aina tunashindwa kusomesha manpower yetu na kununua technologies nakuweza kuziendesha wenyewe....

Uwezo upo hatuna haja ya kuingia mikataba ya ajab ajab uwezo tunao wa kuziendesha wenyewe...........

Tatizo LETU kama taifa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumekua kama kuwaongoza MAPAKA wengi...Kila mtu ni mjanja.....Jaribu kufuga Paka 50 nyumbani kwako ndipo utakuja gundua UGUMU wa kuongoza MAPAKA
 
waliotimiza
haki ya kikatiba big up wanabahati nipo nje ya nchi

uasi unaanza kama chembe ya haradani
kuna.uasi.Wa kisiasa
uasi.Wa kidini
uasi.Wa kiuchumi
sasa tusifike huko
bandari haitochukuliwa
 
Siku Profesa Lipumba akiitisha maandamano, ndo kidooogo naweza hata kuchungulia dirishani, Yule anakaaga frontline Hadi kuna clip moja polisi anamwambia we Profesa mzima unaungana na hawa watu wasiosoma🤣🤣🤣
Wewe usimwangalie profesa bana. Kwani ungali under 18? Simama wewe kama wewe. What if profesa ameshalambishwa asali?

Usiitelekeze nchi yako. Ipiganie kufa na kupona. Ipambanie hadi tone la mwisho la damu yake! Isimamie imara, bila kuyumba. Ipatie kipaumbele. Nchi yako iwe moyoni mwako daima.

KauliMbiu: Bandari Haitoki!
 
Tukiondoa uoga, kujipendekeza na unafiki,tunaweza kuionesha serikali kuwa Tanzania hii siyo ile ya Nyerere.

Hii ni Tanzania iliyochangamka, ni Tanzania inayojua nini inahitaji.

Cha msingi ni kuwa na umoja,
(Unit is power) na dhamira ya kweli.

Nguvu ya umma ni zaidi ya risasi na mabomu.
TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nzima ingekua ni jamii ya WASHASHI,

WASHASHI ni watu wote wajamii ya mkoa wa mara.....

Mshashi ni MWANAUME au mwanamke kutokea mkoa wa mara........

Wale hudai haki zao, hawakubali uonevu, ukimkosea lazima atalipiza, wana misimamo,

Nyingine mtaongezea.....
 
Sawa mkuu,
Hatuna haja ya kubinafsisha bandari zetu
Inamaana pamoja na kuelimisha watu wetu na kuwa na rasilimali za Kila aina tunashindwa kusomesha manpower yetu na kununua technologies nakuweza kuziendesha wenyewe....

Uwezo upo hatuna haja ya kuingia mikataba ya ajab ajab uwezo tunao wa kuziendesha wenyewe...........

Tatizo LETU kama taifa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumekua kama kuwaongoza MAPAKA wengi...Kila mtu ni mjanja.....Jaribu kufuga Paka 50 nyumbani kwako ndipo utakuja gundua UGUMU wa kuongoza MAPAKA
Uko sawa! kimsingi nakubaliana na wewe, natofautiana na wewe kuhatashisha maisha yako.
 
siku bado haijafika. Ikija kutokea siku ya maandamano halisi nchi itavurugika. Jambo ambalo sio zuri kabisa
 
Watz ni watu wa ajabu sana yaani kwa jinsi mitandao ya kijamii ilivyo kuwa imechachama kupinga mkataba wa bandari ungeweza kusema kuwa wenda ndo mwisho wa utawala wa Sa100 , lakini leo hii mmeambiwa muandamane ili kuonesha hizo hisia zenu kama mitandaoni. cha kushangaza wote mmeingia mitini.

Kuanzia sasa kama unajijua hukutokea kwenye maandamano leo acha kushinda humu unatujazia page za jf kuukosoa mkataba huo kwa sababu utakuwa unatupigia kelele.

Watu wote mlio kuwa mna mwaga povu humu juu ya huu mkataba alafu mkashindwa kutokea kwenye maandamano ni mbwa waoga na wanafiki wakubwa.
 
Back
Top Bottom