Ah wapi! Usikubali kufa kijinga. Damu watafukia na mchanga tu. Kisha kila mmoja na anaendelea na mishae zake.Mm ningewaambia hao maaskar waniue najua damu yangu ingekua chachu ya ukombozi wa bandari zetu.....
Ndugu sio rahisi kihivyo hasa kwenye hii nchi ya majungu na unafiki na punyeto kwa vijana katika hali isiyomithirikaTukiondoa uoga, kujipendekeza na unafiki,tunaweza kuionesha serikali kuwa Tanzania hii siyo ile ya Nyerere.
Hii ni Tanzania iliyochangamka, ni Tanzania inayojua nini inahitaji.
Cha msingi ni kuwa na umoja,
(Unit is power) na dhamira ya kweli.
Nguvu ya umma ni zaidi ya risasi na mabomu.
huu muda aliopoteza c angekuja niichakate jamanHii ndio Taarifa mpya ya sasa kutokea Mnazi Mmoja , Dar es Salaam .
Miongoni mwa Maelfu ya Waandamanaji wa kupinga Mauzo ya Bandari kuna Dada mmoja ambaye ametajwa kuwa shujaa wa Taifa hasa baada ya kujitokeza mstari wa Mbele bila kujali vitisho vya Polisi .
Mpeni Maua yake .
View attachment 2662236
Nimewakubali sana hawa. Hawakuangalia wingi wao, bali hoja zao. Hawakuangalia nani yupo pamoja nao bali wamesimama kwa ajili ya taifa lao.Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.
========
WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI
Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia.
MRATIBU WA MAANDAMANO AINGIA MITINI
Jeshi la Polisi limewakamata baadhi ya vijana waliojitokeza kuandamana kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.
Hata hivyo, a mratibu wa maandamano hayo, Deus Sokkatika hali ya kutofahamika, hajatokea kwenye maandamano hayo yaliyopangwa kuanzia Temeke na kuishia Ikulu, jijini Dar es Salaam.
Mwananchi Digital ilipomtafuta kwa simu zake zote za kiganjani, hakupatikana na katika majina ya waliokamatwa na polisi pia jina lake halikuwepo.
Juni 15 mwaka huu Deus Soka ambaye aligombea udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, alitangaza kuitisha maandamano kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.
Hata hivyo Juni 17 Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likipiga marufuku maandamano hayo na kueleza kuwa, mtu aliyeandaa maaandamano hayo ameshajibiwa kwa barua akielezwa ni marufuku kufanyika maandamano yoyote.
Juni 10, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha azimio kuhusu pendekezo la kuridhiwa kwa mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha ushirikiano katika uendelezaji wa maeneo ya bandari nchini.
Pendekezo hilo liliwasilishwa bungeni Juni 10, na kupitishwa na Bunge baada ya wabunge kupata fursa ya kuchangia na kuishauri Serikali kuhusu mkataba huo.
Mwananchi
Hao maelfu ya waandamanaji wako wapi? Wewe ulienda Posta?Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutokea Mnazi Mmoja , Dar es Salaam .
Miongoni mwa Maelfu ya Waandamanaji wa kupinga Mauzo ya Bandari kuna Dada mmoja ambaye ametajwa kuwa shujaa wa Taifa hasa baada ya kujitokeza mstari wa Mbele bila kujali vitisho vya Polisi .
Mpeni Maua yake .
View attachment 2662236
Kumbe kigezo cha kulitetea taifa, sharti uwe mkwasi?Kibaya zaidi huyu Deus Soka ni kutoka familia maskini kabisa na anadanganywa na hawa wahuni ambao wamekula na kushiba kama mzee mbowe,lissu na Lema
Sawa mkuu,Ah wapi! Usikubali kufa kijinga. Damu watafukia na mchanga tu. Kisha kila mmoja na anaendelea na mishae zake.
Wewe umejificha nyuma ya keyboard unasema Mungu awabariki wenzako saahizi wapo sege danceMungu awabariki walioandamana.
Wamedhihirisha kwa vitendo Uzalendo kwa nchi yao.
Wewe usimwangalie profesa bana. Kwani ungali under 18? Simama wewe kama wewe. What if profesa ameshalambishwa asali?Siku Profesa Lipumba akiitisha maandamano, ndo kidooogo naweza hata kuchungulia dirishani, Yule anakaaga frontline Hadi kuna clip moja polisi anamwambia we Profesa mzima unaungana na hawa watu wasiosomaπ€£π€£π€£
TANZANIA πΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏ nzima ingekua ni jamii ya WASHASHI,Tukiondoa uoga, kujipendekeza na unafiki,tunaweza kuionesha serikali kuwa Tanzania hii siyo ile ya Nyerere.
Hii ni Tanzania iliyochangamka, ni Tanzania inayojua nini inahitaji.
Cha msingi ni kuwa na umoja,
(Unit is power) na dhamira ya kweli.
Nguvu ya umma ni zaidi ya risasi na mabomu.
Uko sawa! kimsingi nakubaliana na wewe, natofautiana na wewe kuhatashisha maisha yako.Sawa mkuu,
Hatuna haja ya kubinafsisha bandari zetu
Inamaana pamoja na kuelimisha watu wetu na kuwa na rasilimali za Kila aina tunashindwa kusomesha manpower yetu na kununua technologies nakuweza kuziendesha wenyewe....
Uwezo upo hatuna haja ya kuingia mikataba ya ajab ajab uwezo tunao wa kuziendesha wenyewe...........
Tatizo LETU kama taifa πΉπΏπΉπΏπΉπΏ tumekua kama kuwaongoza MAPAKA wengi...Kila mtu ni mjanja.....Jaribu kufuga Paka 50 nyumbani kwako ndipo utakuja gundua UGUMU wa kuongoza MAPAKA
Nikwel utazimwa kama anology kwenda digitally ππππUko sawa! kimsingi nakubaliana na wewe, natofautiana na wewe kuhatashisha maisha yako.
AhaaaaaUtajuaje kama sijatokea?