Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Kuwakamata hao waandamanaji ndio wanaharibu kabisa, polisi wanathibitisha Tanganyika tunatawaliwa na mkoloni.

Samia ni msaliti. Tunaitaka Tanganyika yetu.
mbona hukwenda umewacha wengine waandamane?

Uhodari wa kuandika kwenye mitandao tu
 
Kwa ni unawaita binadamu wenzio mbwa waoga?

Ikiwa wewe ulienda kwa maandamano umebadilisha mkataba?

Na kama hukuenda kwa maandamano je na wewe ni mbwa muoga?

Majibu ya maswali hayo yapeleke kwa m/kiti wa mtaa wako.
ni mbwa waoga na wanafiki wakubwa.
 
Maskini dada wawatu kiherehere kimemponza
 
Huyu dada hakuandamana ni mpita njia lakini Polisi wamemkamata kinyume na sheria.
 
Kwa ni unawaita binadamu wenzio mbwa waoga?

Ikiwa wewe ulienda kwa maandamano umebadilisha mkataba?

Na kama hukuenda kwa maandamano je na wewe ni mbwa muoga?

Majibu ya maswali hayo yapeleke kwa m/kiti wa mtaa wako.
Kwa hiyo mnapo shinda humu mnabwabwaja humu mkataba umebadirika?
Kama hamuwezi kusimamia kile mnacho kitetea kaeni kimia acheni kutupigia makelele.
 
Yaa

Polisi wa Tanzania wao wafuata amri na wamejiandaa kuvunja goko za watanganyika wenzao.

Na kufanya hali iwe ya kuogofya zaidi wamejipa jina la SWAT.

Yaani ile FFU haipo tena.

Tanganyika ina safari ndefu sana.
Polisi ni chombo Cha Dola,Dola ni kitu Cha mwisho kufa katika taifa,ni kheri raia wafe Dola ibaki,tia Hilo kwenye fuvu lako
 
Katika kuonyesha mshikamano kwa hili jambo la bandari, itapendeza wale wote wanaupinga wajitojeze mahakamani kwa wingi, πŸ™πŸ™
 
Kwa hiyo mnapo shinda humu mnabwabwaja humu mkataba umebadirika?
Kama hamuwezi kusimamia kile mnacho kitetea kaeni kimia acheni kutupigia makelele.
Nina mashaka kama upo central police, wewe nawe ni "mbwa muoga"

Endelea kuperuzi social media kupata umbea zaidi πŸ˜‚
 
Kuwakamata hao waandamanaji ndio wanaharibu kabisa, polisi wanathibitisha Tanganyika tunatawaliwa na mkoloni.

Samia ni msaliti. Tunaitaka Tanganyika yetu.
Na tunataka Samia na Mbarawa warudi kwao watuache nchi yetu
 
Ivi ili yaitwe maandamano waandamani wanatakiwa wawe kuanzia wangapi
 
Sidanganyikiii, Yani nikaumie kisa tumbo la mtu mwingine? Hao tuliowapa dhamana wakitaka watoe, wakitaka waache....as long hawatoi bure nitasubiri nione matokeo.....Ila Mimi NIANDAMANE never
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…