Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hoja yako ni nini hapa dogo?Yuko Masaki bwana, ni jirani yangu Chole Road. Wana duka la hardware mtaa wa Narung'ombe, ni mdogo wa binamu yake mbowe anaishi Washington DC Marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yako ni nini hapa dogo?Yuko Masaki bwana, ni jirani yangu Chole Road. Wana duka la hardware mtaa wa Narung'ombe, ni mdogo wa binamu yake mbowe anaishi Washington DC Marekani.
Ni shoga, anamiliki NGO ya LGBQT ni katika list ya Dr. MwakyembeDada jasiri kabisa. Jina lake? tuomtoe Rumande.
Polisi Tanzania muwe wazalendo, mwachiane dada na wote mliowakamata. Wanaopigania maslahi yenu na familia zenu kwa miaka 100 inayokuja.
[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Tukishirikiana vizuri hao polisi hawataweza kutufanya chochote.mimi kwenye maandamano alitaka kunikamata polisi nikamzaba kibao hadi aliona nyota na kuniacha.
😂😂😂😂 hii nchi hatuaminiani sio[emoji23][emoji23][emoji23] sina mwanasheria.
Uandamane uishie kupigwa alafu hao hao 2025 wanachagua CCM Kwa kishindo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana tu kutafuta ugali wako na wanao. Watawala wa kiafrika hawasikii lugha nyingine isipokuwa mtutu. Harakati za mabango na kulalamika ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.Mi ndo maana kila siku nasema Bungeni kitu kikipita hakuna maajabu yatakiondoa, zilikuwepo harakati za Tozo ila sasa hazipo tena, ikaja ushoga, sasa ni bandari yataisha
Nguvu ya Umma ijitokeze kwa namna zote kupinga maeneo ya Tanganyika kugeuzwa makoloni ya mabeberu
19 June 2023
Dar es Salaam, Tanzania
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Moja wame kamatwa na jeshi la polisi
Nguvu ya Umma ijitokeze kwa namna zote kupinga maeneo ya Tanganyika kugeuzwa makoloni ya mabeberu
19 June 2023
Dar es Salaam, Tanzania
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Moja wame kamatwa na jeshi la polisi
Nguvu ya Umma ijitokeze kwa namna zote kupinga maeneo ya Tanganyika kugeuzwa makoloni ya mabeberu
19 June 2023
Dar es Salaam, Tanzania
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Moja wame kamatwa na jeshi la polisi
Uonevu tu huu, kuandamana ni haki ya kikatiba.....nyie mnaoivunja hii haki mnakiuka katiba.
Mwanafunzi wa chuo kikuu toka familia masikini anazama ktk mkondo wa madeni ya fedha za mkopo wa elimu ya juu huku akiwa na matumaini potofu ya kupata ajira au kuwepo mazingira hewa ya kujiajiri.Gabriel Boric on the Chilean Student Movement:
59,554Views :2017 14 Jun
In a presentation at the School of Public Policy on June 7, 2017; Gabriel Boric offers a historical perspective and reflects on lessons learned. He focuses especially on the role of social movements in a well-developed democracy and provides insights on how to sustain collective action over an extended period of time. He speaks also about his transition from being a member of a political movement to being a member of Parliament. Gabriel Boric is a Chilean parliamentarian, and a former leader of the national student movement. He was the president of the Student Federation of the Universidad de Chile, one of the most important student unions in the country. Boric currently represents the Magallanes and Antarctic Region in Chile’s Chamber of Deputies. He was elected as an independent candidate and is not associated with either one of the two political coalitions that have traditionally dominated politics in Chile. Source:
Department of Public Policy at CEU
Wanaosema hivi ni SOCIAL MEDIA MANIPULATORS, sio wananchi wa kawaida, ni MAKACHERO HAO.Ni raha sana kutawala Taifa ambalo wengi wa wananchi hawana uelewa( wajinga wengi_, mtu atakwambia kwani hiyo Bandari ntaila? inanihusu nn ? mie napigania ugali wa wanangu bwana, nikaandamane afu wanivunje miguu nani atanitibia na kuwalisha wanangu nikiwa rumbande ama jela 😀 😀
Sasa hata mimi nginekuwa Rais hapo nachekelea tu, siku zinasonga mbele.